Kati ya Mbappe na Haaland nani atakuwa wa kwanza kubeba Ballon d'Or?

Kati ya Mbappe na Haaland nani atakuwa wa kwanza kubeba Ballon d'Or?

Mbappe ni complete player ila Halland ni clinical finisher, hivyo modern footbal ni results oriented ambayo inampa favor Halland kuliko Mbappe.

Mbappe anaweza staafu soka kama Neymar bila kumiliki Ballon d'Or, lakini Halland ndani ya miaka miwili kuanzia msimu huu atakuwa na

Ballon d'Or kabatini kwake.​

 
Mbappe ni complete player ila Halland ni clinical finisher, hivyo modern footbal ni results oriented ambayo inampa favor Halland kuliko Mbappe.

Mbappe anaweza staafu soka kama Neymar bila kumiliki Ballon d'Or, lakini Halland ndani ya miaka miwili kuanzia msimu huu atakuwa na

Ballon d'Or kabatini kwake.​

Ballon d' Or ijayo Neymar anaweza kubeba.
 
Mbappe lazima atakuwa wa kwanza kubeba Mbele ya Haaland.
Mbappe ni mchezaji mwenye uwezo mkubwa na anayeweza fanya makubwa dhidi ya timu yoyote kubwa tofauti na Haaland.
 
Mbappe ni complete player ila Halland ni clinical finisher, hivyo modern footbal ni results oriented ambayo inampa favor Halland kuliko Mbappe.

Mbappe anaweza staafu soka kama Neymar bila kumiliki Ballon d'Or, lakini Halland ndani ya miaka miwili kuanzia msimu huu atakuwa na

Ballon d'Or kabatini kwake.​

Labda ahame timu
 
Haaland ni gola machine ,anaweza kumaliza msimu ni ...

Top score wa epl ..

Top score wa uefa ...

Hapa kinachofuata ni club ,Kama man city akichukua epl ...hapa atakuwa na advantage ...


Kama psg ikichukua ubingwa league 1.. mbappe sio adavantage Kwan Kila mtu anajua ile ni farmer league...

Kama city ikichukua uefa + epl ,haaland akawa top score epl + uefa basi anapewa ....

Kama psg atabeba league 1+ uefa + mbabpe kuwa top score uefa na league 1 ...basii anapewa ...


Kingine tofuata na hivyo ni ukubwa wa mashabiki ,na kukubalika na wapiga kura ,kuanzia mareferee ma pundit wote wa mpira Duniani ...

Majivuno ya mbappe na dharau dhidi ya mess tayari alishajiharibia na kupunguza mapenzi kwa baadhi ya mashabiki na manguli wa mpira Duniani hata kura zikipigwa hapa haaland kule mbappe mbappe anaweza kupoteana ...mpira ni nidhamu tofauti na kipaji .....

Club walizopo city & psg ....

Lewandosik kaamua kwenda Barcelona huku akisema live ndio club inayoweza kumpa ballond or ,alipokuwa buyern alifanya Kila unachojua wewe kuchukua uefa ,bundasilga ,club world cup ,super cup ,uefa top score , bundasilga top scorers.....lakin hakuipata hio balloon dor [emoji23][emoji23][emoji23]


Haya Mambo yamekaa kibishara na kisiasa zaidi .....

Wapo tayari kumpa mtu tuzo nyingine ya mchongo ili ballondior apewe mess au Ronaldo..
 
Back
Top Bottom