Kati ya Mbappe na Haaland nani atakuwa wa kwanza kubeba Ballon d'Or?

Kati ya Mbappe na Haaland nani atakuwa wa kwanza kubeba Ballon d'Or?

uyo messi na neymar zama zao zimeisha ni zama za mbape ndio muda wake uyu mtoto kutusua apo PSG wako radhi aondoke messi lakini siyo Mbape si umeona mkataba aliopewa dogo anachukua €1milioni kwa wiki yani dogo anachukua zaidi ya billion mbili nq nusu za kibongo kwa wiki ndio mchezaji anayelipwa mshaara mkubwa duniani
Na watu wanasahau msimu ulioisha Messi na Neymar walionesha kutojitoa kwa dhati kwa timu na Mbape akabaki anapambana na kwa Sasa ndio alama ya Psg
Swala la majivuno na sifa ni siasa za madrid wanaomchafua baada ya kuwakatalia deal
 
Adidas na Nike ndio wanashindana nani awe mchezaji bora wao hii inahusu sana biashara zao ndio maana kuona mchezaji nje ya hizo lebo achukue hiyo Tuzo....ninyi endeleeni kuchagua wachezaji
 
Back
Top Bottom