Kati ya Mbappe na Haaland nani atakuwa wa kwanza kubeba Ballon d'Or?

Na watu wanasahau msimu ulioisha Messi na Neymar walionesha kutojitoa kwa dhati kwa timu na Mbape akabaki anapambana na kwa Sasa ndio alama ya Psg
Swala la majivuno na sifa ni siasa za madrid wanaomchafua baada ya kuwakatalia deal
 
Adidas na Nike ndio wanashindana nani awe mchezaji bora wao hii inahusu sana biashara zao ndio maana kuona mchezaji nje ya hizo lebo achukue hiyo Tuzo....ninyi endeleeni kuchagua wachezaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…