Kati ya Mbeya na Mwanza, wapi patanifaa kwenda kuanza maisha?

Kati ya Mbeya na Mwanza, wapi patanifaa kwenda kuanza maisha?

Calis10

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2020
Posts
406
Reaction score
1,165
Wakuu Habari ya uzima, Twende moja kwa moja kwenye mada, Kati ya hayo majiji mawili ni jiji lipi linaweza kunifaa kijana Mimi ninae taka kuanza maisha?

Nataka kujikita kwenye shughuli za ufundi kwani ninaujuzi wa utengenezaji wa samani za ndani (furniture) aina zote na pia nina vifaa vyote vinavyo weza kuniwezesha kufanya hizo kazi kwa viwango vya juu na vyenye ubora zaidi

Nataka nikawekeze zaidi kwenye utengenezaji / utoaji huduma kwenye mambo yafuatayo

1. Utengenezaji wa samani za ndani (furniture) aina zote

2. Alminium Eg. madirisha, milango frem n.k

3. Chuma Eg. mageti, milango, madirisha n.k

Nawasilisha,

Michango yenu inahitajika ili kijana wenu niweze kujikwamua kiuchumi. Asante.
 
Mbeya hakuna Dili mkuu, tena wenyeji wa ule mkoa ni wanonko kinona... Nenda mwanza na ndugu zako wote watakufuata maana ni fair ground. Unaweza ukaingia kwenye kilimo, ama ujasiliamali pote panakufaa. MWANZA utakuwa free kumiliki Ardhi, ila mbeya ushirikina na roho mbaya vitakukimbiza hata kama Ardhi umenunua kihalali.

Mijitu ya Mbeya mijuaji kinoma mifano mizuri ni Sugu, Tulia, Mwakiembe, Mwandosya, Mwabukisi, Sativa, Mdude Nyagari na wengine wengi akiwemo yule mchungaji Mbarikiwa.
 
Mbeya hakuna Dili mkuu, tena wenyeji wa ule mkoa ni wanonko kinona... Nenda mwanza na ndugu zako wote watakufuata maana ni fair ground. Unaweza ukaingia kwenye kilimo, ama ujasiliamali pote panakufaa. MWANZA utakuwa free kumiliki Ardhi, ila mbeya ushirikina na roho mbaya vitakukimbiza hata kama Ardhi umenunua kihalali.
Hakuna watu washirikina kama wasukuma
 
Back
Top Bottom