Kati ya Mbeya na Mwanza, wapi patanifaa kwenda kuanza maisha?

Kati ya Mbeya na Mwanza, wapi patanifaa kwenda kuanza maisha?

Mbeya hakuna Dili mkuu, tena wenyeji wa ule mkoa ni wanonko kinona... Nenda mwanza na ndugu zako wote watakufuata maana ni fair ground. Unaweza ukaingia kwenye kilimo, ama ujasiliamali pote panakufaa. MWANZA utakuwa free kumiliki Ardhi, ila mbeya ushirikina na roho mbaya vitakukimbiza hata kama Ardhi umenunua kihalali.
Aisee
 
Nashangaa namna ambavyo watu wana chuki na mkoa wa Mbeya! Niko Mbeya maisha yangu yote, lakini mambo mengi yanayosemwa kuhusu hapa hadi mimi nakaa kushangaa mana ni mapya kwangu
Sio watu ni wapuuzi wachache wa Mwanza.

Wakati Mbeya yote Kuna kipato Cha watu Sasa waambie Watu wa Mwanza wakuletee mapato ya Misungwi,Nansio,Magu nk utacheka 😆😆👇👇
juma_zuberi_homera_1720609958796204.jpg
 
Nipo mwanza watu wa kazi zako wako wengi karibia kila sehemu ila wanasema kwenye ushindani ndipo hela ilipo km vipi tembelea mwanza uone kama utapamudu. Na vyema uje ujiunge na ofisi mojawapo km fundi huku unaakilizia upepo
 
Wakuu Habari ya uzima, Twende moja kwa moja kwenye mada, Kati ya hayo majiji mawili ni jiji lipi linaweza kunifaa kijana Mimi ninae taka kuanza maisha?

Nataka kujikita kwenye shughuli za ufundi kwani ninaujuzi wa utengenezaji wa samani za ndani (furniture) aina zote na pia nina vifaa vyote vinavyo weza kuniwezesha kufanya hizo kazi kwa viwango vya juu na vyenye ubora zaidi

Nataka nikawekeze zaidi kwenye utengenezaji / utoaji huduma kwenye mambo yafuatayo

1. Utengenezaji wa samani za ndani (furniture) aina zote

2. Alminium Eg. madirisha, milango frem n.k

3. Chuma Eg. mageti, milango, madirisha n.k

Nawasilisha,

Michango yenu inahitajika ili kijana wenu niweze kujikwamua kiuchumi. Asante.

#my take
Ndugu yangu hebu fikilia video vya mkoa wa kuanzisha maisha. Usiangalie mawazo ya watu ... ukizingatia video vya sehemu salama kuanza maisha utatoboa ila ukizingatia maneno ya watu utakuja kulia kisilisili chumbani af ghafla upayuke watu wake fikiri umeona simba ndani kwako. ..
Ipo hivi ...

Zingatia kipato cha mtu mmoja mmoja kwenye mkoa husika.
Ambapo utaona mwanza ni mkoa namba nane kwa pato la mtu mmoja mmoja. Huku dar, iringa, arusha, mbeya zikiwa vinara.

2. Angalia nature ya mchanganyiko wa watu kwenye mkoa hisika. Ambapo kwa mtazamo wangu mwanza Pana watu wengi sana ila wengi ni wazawa wa palepale.
Nikisema nikupe mfano mpana sana wa mikoa hii ni hivi .... Mwanza it's just like China ki mchangabyiko wa population pana wazawa wengi alaf mbeya, Iringa au dar au arusha panafanania na marekani mchanganyiko wa population yake ni ya Wageni wengi sasa katika maeneo ya nature ya population ya wazawa kama China utahitaji kua mzawa ili utoboe kirahisi ila sehem mchanganyiko kama marekani .. yoyote tu anaweza kama ataweka juhud na Ubunifu.

Mwisho . Eneo salama kuanzisha maisha kwa mjasiria Mali ni Dar , Iringa, Arusha, Mbeya, na mikoa mingine inafwata Sawa na pato la raifa lilivo kaa. Na pia zingatia nature ya watu unaoenda kuchangamana nao. Ogopa sana wazawa. Watakurudisha nyuma.


Lakini pia kuna halmashauri za nwanza ni bora kuliko baadh ya halmashaur za mbeya. So do research . And pia zingatia video muhim .....
 
Mkuu naendelea kukusisitiza usiende Mbeya, watu wa mbeya ni wajuaji na Wana majungu sana. Muangalie Sugu, Tulia, Mwakiembe, Mwandosya, Mwabukisi, Sativa, Mdude Nyagari na wengine wengi hao wote ndiyo sampo ya watu wa mbeya. Ukija kwenye swala la uchumi mkoa huo hauna mzunguko mkubwa wa pesa ukitaka kuamini Hilo angalia maeneo jirani Hayaendelei ukilinganisha na mkoa wa mwanza ambao miji midogo mingi anatoa bukup mfano kahama, katoro, geita nk. Uchumi wa Mwanza unasaportiwa na sekta zote za uchumi, kilimo, uvuvi, madini, ufugaji na biashara. Swali kwa ko ChoiceVariable
 
Nipo mwanza watu wa kazi zako wako wengi karibia kila sehemu ila wanasema kwenye ushindani ndipo hela ilipo km vipi tembelea mwanza uone kama utapamudu. Na vyema uje ujiunge na ofisi mojawapo km fundi huku unaakilizia upepo
Asante Brother Nitakuja kupaangalia huko
 
Mkuu naendelea kukusisitiza usiende Mbeya, watu wa mbeya ni wajuaji na Wana majungu sana. Muangalie Sugu, Tulia, Mwakiembe, Mwandosya, Mwabukisi, Sativa, Mdude Nyagari na wengine wengi hao wote ndiyo sampo ya watu wa mbeya. Ukija kwenye swala la uchumi mkoa huo hauna mzunguko mkubwa wa pesa ukitaka kuamini Hilo angalia maeneo jirani Hayaendelei ukilinganisha na mkoa wa mwanza ambao miji midogo mingi anatoa bukup mfano kahama, katoro, geita nk. Uchumi wa Mwanza unasaportiwa na sekta zote za uchumi, kilimo, uvuvi, madini, ufugaji na biashara. Swali kwa ko ChoiceVariable
Kulingana na Kazi anazotaka kufanya, Mbeya ni Bora zaidi kuliko Mwanza. Mzunguko wa Pesa upo, Karibu Mbeya inawezekana huijui Mbeya. Kama mzunguko wa Pesa usingekuwepo, basi hata top 3 ya mikoa yenye GDP Kubwa isingeingia.

Acha kupotosha umma.
 
Mkuu Tunduma mzunguko uko juu kuliko hata Mbeya mjini, tembelea siku moja upaone ni kama kariakoo.
Huu Sasa ni uongo ,kwamba Mjini kwenye watu wengi na kila kitu pawe na mzunguko mdogo? Wacha stori za kubunia.

Mzunguko upo ila sio Kwa namna ukiyoeleza
 
Kulingana na Kazi anazotaka kufanya, Mbeya ni Bora zaidi kuliko Mwanza. Mzunguko wa Pesa upo, Karibu Mbeya inawezekana huijui Mbeya. Kama mzunguko wa Pesa usingekuwepo, basi hata top 3 ya mikoa yenye GDP Kubwa isingeingia.

Acha kupotosha umma.
MWANZA inaizidi Mbeya kuanzia idadi ya watu na GDP.
 
Back
Top Bottom