Peaceforever
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,030
- 2,200
Umeniwahi boss, nilikuwa nachek kama kuna mtu amepasemea!Nenda Tunduma (Songwe) boss, kule mpakani. Ukifanikiwa uje kuanzisha uzi wa kunishukuru.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeniwahi boss, nilikuwa nachek kama kuna mtu amepasemea!Nenda Tunduma (Songwe) boss, kule mpakani. Ukifanikiwa uje kuanzisha uzi wa kunishukuru.
Ushirikina ni kuamini kwenye ushirikina kwa hapo ushirikina upo maeneo mengi ila mbeya ni pabovu mno mkuuHakuna watu washirikina kama wasukuma
Mnawezaje kukabiliana na hizi changamoto za ushirikin na Roho mbaya?Mbeya hakuna Dili mkuu, tena wenyeji wa ule mkoa ni wanonko kinona... Nenda mwanza na ndugu zako wote watakufuata maana ni fair ground. Unaweza ukaingia kwenye kilimo, ama ujasiliamali pote panakufaa. MWANZA utakuwa free kumiliki Ardhi, ila mbeya ushirikina na roho mbaya vitakukimbiza hata kama Ardhi umenunua kihalali.
Zingatia ushauri huu@calis10Nenda Dodoma ukufanikiwa
uje usema thnk you brother,naongea kwa uzoefu
Solution ni kukimbia maeneo hayo.Mnawezaje kukabiliana na hizi changamoto za ushirikin na Roho mbaya?
Samahani hivi ubora wa mbao aina ya mlingoti upoje?Mbeya. Mbao ni nyingi: mlingoti, mpaina, Mninga zipo Mbeya.
Wilaya yoyote ile itakufaa. Ila Chunya inachipuka zaidi.
Kuna watu washirikina kama wasukuma?...mbeya ni free port kuna kila aina ya watu toka makabila yote hadi nchi tunazopakana nazo wafanyabiashara wakubwa mbeya siyo wenyeji Acha kumdanganya mshkajiMbeya hakuna Dili mkuu, tena wenyeji wa ule mkoa ni wanonko kinona... Nenda mwanza na ndugu zako wote watakufuata maana ni fair ground. Unaweza ukaingia kwenye kilimo, ama ujasiliamali pote panakufaa. MWANZA utakuwa free kumiliki Ardhi, ila mbeya ushirikina na roho mbaya vitakukimbiza hata kama Ardhi umenunua kihalali.
Hii mbao iko vizuri, ila changamoto kubwa ni kupinda, hasa mazingira yenye joto Sana, mikoa nyanda za juu kusini inafanya kazi Vizuri kabisa ila kabla ya kutumiwa unatakiwa kuhakikisha umekauka kabisaSamahani hivi ubora wa mbao aina ya mlingoti upoje?
Naona watu wengi wanatumia mpaina kuliko mlingoti. Milingoti nasikia Mbao zake zinapinda mapema.Samahani hivi ubora wa mbao aina ya mlingoti upoje?
Wasukuma kwa ushirikina ni nyoko,hawana mpinzani nchi hiiKuna watu washirikina kama wasukuma?...mbeya ni free port kuna kila aina ya watu toka makabila yote hadi nchi tunazopakana nazo wafanyabiashara wakubwa mbeya siyo wenyeji Acha kumdanganya mshkaji
Nenda Chunya mafundi seremala ni wachache kule. Pia Chunya Mbao za Mninga ni nyingi kuliko sehemu yoyote ya mkoa wa Mbeya. Mwanza Mbao wana-import toka Tabora, Kwa hiyo bei yake lazima iwe juu kuliko Mbeya.I
Inategemeana na kazi/ bidhaa unayohitaji, kwenye utengenezaji wa sofa hii mbao ni ngumu na imara kuliko mipaini
Mbeya malighafi kama zote, hata kwa kuanzia wakati unajitafuta ni rahisi kuingia gharama ndogo na kutengeneza sampuli kuvutia wateja na pia gharama za maisha zipo chini hivyo hata mambo yakiwa magumu unaweza kusurviveWakuu Habari ya uzima, Twende moja kwa moja kwenye mada, Kati ya hayo majiji mawili ni jiji lipi linaweza kunifaa kijana Mimi ninae taka kuanza maisha?
Nataka kujikita kwenye shughuli za ufundi kwani ninaujuzi wa utengenezaji wa samani za ndani (furniture) aina zote na pia nina vifaa vyote vinavyo weza kuniwezesha kufanya hizo kazi kwa viwango vya juu na vyenye ubora zaidi
Nataka nikawekeze zaidi kwenye utengenezaji / utoaji huduma kwenye mambo yafuatayo
1. Utengenezaji wa samani za ndani (furniture) aina zote
2. Alminium Eg. madirisha, milango frem n.k
3. Chuma Eg. mageti, milango, madirisha n.k
Nawasilisha,
Michango yenu inahitajika ili kijana wenu niweze kujikwamua kiuchumi. Asante.
Huo ushirikina wa kumloga mtu mnaousema siku hizi haupo! Watu wamedevelop. Labda uende machimboni hukoWasukuma kwa ushirikina ni nyoko,hawana mpinzani nchi hii
Mkuu ni maoni yangu lakini Sasa usiite uongo chief.Kuna watu washirikina kama wasukuma?...mbeya ni free port kuna kila aina ya watu toka makabila yote hadi nchi tunazopakana nazo wafanyabiashara wakubwa mbeya siyo wenyeji Acha kumdanganya mshkaji
Machimboni yes watu washirikina ila kwenye maisha mengine hizo mambo zilishaisha.Hizi habari za ushurikina Kuna Unataka kuniambia hadi miaka hii watu wanahangaika nao? N
Nakubaliana na wewe.Mkuu Tunduma mzunguko uko juu kuliko hata Mbeya mjini, tembelea siku moja upaone ni kama kariakoo.