Kati ya Mbeya na Mwanza, wapi patanifaa kwenda kuanza maisha?

Mnawezaje kukabiliana na hizi changamoto za ushirikin na Roho mbaya?
 
Kuna watu washirikina kama wasukuma?...mbeya ni free port kuna kila aina ya watu toka makabila yote hadi nchi tunazopakana nazo wafanyabiashara wakubwa mbeya siyo wenyeji Acha kumdanganya mshkaji
 
I
Naona watu wengi wanatumia mpaina kuliko mlingoti. Milingoti nasikia Mbao zake zinapinda mapema.
Inategemeana na kazi/ bidhaa unayohitaji, kwenye utengenezaji wa sofa hii mbao ni ngumu na imara kuliko mipaini
 
I

Inategemeana na kazi/ bidhaa unayohitaji, kwenye utengenezaji wa sofa hii mbao ni ngumu na imara kuliko mipaini
Nenda Chunya mafundi seremala ni wachache kule. Pia Chunya Mbao za Mninga ni nyingi kuliko sehemu yoyote ya mkoa wa Mbeya. Mwanza Mbao wana-import toka Tabora, Kwa hiyo bei yake lazima iwe juu kuliko Mbeya.
 
Mbeya malighafi kama zote, hata kwa kuanzia wakati unajitafuta ni rahisi kuingia gharama ndogo na kutengeneza sampuli kuvutia wateja na pia gharama za maisha zipo chini hivyo hata mambo yakiwa magumu unaweza kusurvive


IMwanza pamechangamka ila ngoma ngumu mpaka utoboe sio kipolepole
 
Kuna watu washirikina kama wasukuma?...mbeya ni free port kuna kila aina ya watu toka makabila yote hadi nchi tunazopakana nazo wafanyabiashara wakubwa mbeya siyo wenyeji Acha kumdanganya mshkaji
Mkuu ni maoni yangu lakini Sasa usiite uongo chief.
 
Huo ushirikina wa kumloga mtu mnaousema siku hizi haupo! Watu wamedevelop. Labda uende machimboni huko
Hizi habari za ushurikina Kuna Unataka kuniambia hadi miaka hii watu wanahangaika nao? N
 
Mkuu Tunduma mzunguko uko juu kuliko hata Mbeya mjini, tembelea siku moja upaone ni kama kariakoo.
Nakubaliana na wewe.
Sasa hivi Tunduma ni mji mkubwa unaongozwa na Mkurugenzi wa Mji. Tunduma kama sio ya kwanza basi haiwezi kukosa kwenye tatu bora ya miji ya mpakani inayokuwa kwa kasi, ikiwa na mzunguko mkubwa wa kibiashara Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…