Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Wacha hizo mwamba!Kipindi wenzako form one wanasoma CIVICS w3we ulikua unalamba kamasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha hizo mwamba!Kipindi wenzako form one wanasoma CIVICS w3we ulikua unalamba kamasi
Kichwa cha habari yako, umetaka kujua nani mwenye mamlaka, ukumbuke, siyo anaelipwa vizuri.Ila mkuu mbona mbunge analipwa zaidi kuzidi DC? imekaaje hii?
Ni kweli, ila mkuu wa wilaya ni mwakilishi wa rais wilayani, ni kama rais wa wilaya, nilitegemea yeye ndio alipwe vizuri kwa mamlaka yake.Kichwa cha habari, umetaka kujua nani mwenye mamlaka, ukumbuke, siyo anaelipwa vizuri.
Mbunge yeye yuko jikoni, lazima wajipendee.
Hapo sijamwelewa anachomaanisha, kuwa mbunge maslahi yake ni madogo au la.Ni kweli, ila mkuu wa wilaya ni mwakilishi wa rais wilayani, ni kama rais wa wilaya, nilitegemea yeye ndio alipwe vizuri kwa mamlaka yake.
Nasema hivi kwasababu, juzi Mhe. Lissu alisema hakuna uwiano wa malipo kwa viongozi na ukubwa wa idadi ya watu wanaowawakilisha.
Umefafanua vyema.Kila mtu ana mamlaka yake.Mbunge hayuko katika mfumo wa DC wala DC hayuko katika Mfumo wa Bunge.Kwenye Ngazi ya Wilaya Mbunge ni Diwani tu ila DC haingii kwenye vikao vya madiwani.Kule anakluwepo Mkurugnezi mtendaji wa Halmashauri.
So kimamlaka hakuna anayewajibika kwa Mwenzake.Mbunge hawajibiki kwa Mtu yeyote yule nje ya Bunge ispokuwa wapiga Kura ila ndani ya Bunge anayawajibika kwa Spika to certain extent na Ndani ya vikao vya halmashauri kwa Mwenyekiti wa halmashauri au kwa Meya kwa kiwango Fulani.
So inshort Mbunge ni Mamlaka inayojitegemea ambayo inawajibu wa kuisimamia serikali katika Ngazi mbalimbali,
Kwenye hii serikali ya machawa kila kiongozi anayo mamlaka ya kiuongoziKwema wakuu
Kama title inavyosomeka ningependa kujuzwa, kati ya Mbunge na Mkuu wa wilaya yupi ana mamlaka zaidi ya kiutawala/kiuongozi?
Naelewa mbunge yupo kwenye mhimili wa bunge(legislature) na mkuu wa wilaya yupo kwenye mhimili wa serikali kuu(executive), ila yupi kati yao ana nguvu ya kimamlaka/kiuongozi kuzidi mwingine?
Changia kwa hoja
Karibu
Sio lazima kuchangia kama hauna cha kuchangia binamu.Kipindi wenzako form one wanasoma CIVICS w3we ulikua unalamba kamasi
Navyojua Mkuu wa wilaya anasimamia wilaya ambayo ndani yake inaweza kuwa na jimbo moja au zaidi, mbunge yeye anahusika na jimbo moja tu.Me bado najifunza, hivi kwani mbunge anaishi ndani ya wilaya iliyo bebwa na mkuu wa wila/mkoa au mkuu wa mbunge?
anhaa sawa, tunaweza kusema DC ana power ya kiutendaji na kutekeleza sheria wakati MP ana power ya kiushawishi na kutunga sheriaDC ana mamlaka zaidi, ana power na machinery za kuwajibisha. Mbunge hana sauti zaidi ya connection za kumtumia DC na DED
Anayepigiwa saluti na Askari ndio mwenye mamlakaKwema wakuu
Kama title inavyosomeka ningependa kujuzwa, kati ya Mbunge na Mkuu wa wilaya yupi ana mamlaka zaidi ya kiutawala/kiuongozi?
Naelewa mbunge yupo kwenye mhimili wa bunge(legislature) na mkuu wa wilaya yupo kwenye mhimili wa serikali kuu(executive), ila yupi kati yao ana nguvu ya kimamlaka/kiuongozi kuzidi mwingine?
Changia kwa hoja
Karibu
Kwenye ubunge kuna uwaziri, hakuna mambo ya kutumbuana ubunge maana hawajibiki kwa raisSasa mbona tunaona RCs na DCs wanaondoka huko na kugombea Ubunge?
Basi kuna kitu hakiko sawa. Lol