Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Acha kujichuaKaa kwa kutulia NONDO ikuingie vzr.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kujichuaKaa kwa kutulia NONDO ikuingie vzr.
Ooh haleluyaKuuliza sio ujinga ni part ya kuongeza maarifa mkuu kufika chuo haimaanishi unajua kila kitu.
1 Wak 8:2
Adhaniae anajua neno, hajui kitu bado kama impasavyo kujua.
Unataka kutoa KOPA?Acha kujichua
Mbunge ana mamlaka anaweza kusema simtaki huyu mkuu wa wilaya kwa sababu anazoziona lkn mkuu wa wilaya hana mamlaka hayo.Kwema wakuu
Kama title inavyosomeka ningependa kujuzwa, kati ya Mbunge na Mkuu wa wilaya yupi ana mamlaka zaidi ya kiutawala/kiuongozi?
Naelewa mbunge yupo kwenye mhimili wa bunge(legislature) na mkuu wa wilaya yupo kwenye mhimili wa serikali kuu(executive), ila yupi kati yao ana nguvu ya kimamlaka/kiuongozi kuzidi mwingine?
Changia kwa hoja
Karibu
Hapana ila sio vzrUnataka kutoa KOPA?