Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oooh kumbe!! Basi sawa!!Kwenye ubunge kuna uwaziri, hakuna mambo ya kutumbuana ubunge maana hawajibiki kwa rais
SawaNielewesheni
Nahisi anayelipwa mshahara mkubwa ndiye mwenye mamlaka zaidiKwema wakuu
Kama title inavyosomeka ningependa kujuzwa, kati ya Mbunge na Mkuu wa wilaya yupi ana mamlaka zaidi ya kiutawala/kiuongozi?
Naelewa mbunge yupo kwenye mhimili wa bunge(legislature) na mkuu wa wilaya yupo kwenye mhimili wa serikali kuu(executive), ila yupi kati yao ana nguvu ya kimamlaka/kiuongozi kuzidi mwingine?
Changia kwa hoja
Karibu
Eee bwana eeh!Kipindi wenzako form one wanasoma CIVICS w3we ulikua unalamba kamasi
Humu Jf kuna watu wanajua kusuta.noma sana
NdioDC anaweza kumuweka ndani mbunge?
Posho na malipo ya ubunge ni makubwa kuliko DC.Sasa mbona tunaona RCs na DCs wanaondoka huko na kugombea Ubunge?
Basi kuna kitu hakiko sawa. Lol
Vyombo vya dola ulinzi na usalamaUnaposema mbunge hana mamlak una maanisha nini?Mamlaka ni nini?
Alafu na wewe jiheshimuSio lazima kuchangia kama hauna cha kuchangia binamu.
Kuuliza sio ujinga ni part ya kuongeza maarifa mkuu kufika chuo haimaanishi unajua kila kitu.Hili swali limeulizwa na mtu amesoma chuo na ukute ana familia sasa...
Halafu mnashangaa CCM tunashindaje uchaguzi
Kaa kwa kutulia NONDO ikuingie vzr.Alafu na wewe jiheshimu