The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Assimilation sijui neno lake kwa kiswahili.
Niiweke hivi asimileshen ni idea flani hivi watu wanalazimishwa kwa hiari kufuata na kuridhia tamaduni za wengine nakuacha tamatuni zao.
Mfaransa na Mreno waliweza kufanikisha hili kwenye makoloni zao walizotawala Africa kwa mafanikio makubwa sana.
Lakini kwa upande wangu mimi naona Wareno walifanikisha zaidi.
Kwasababu mataifa wareno waliyoyatawala Africa Cape Verde, Guinea Bissau, Angola na Msumbiji yani wameiga kila kitu kutoka Ureno hadi majina yao ya ukoo ni ya kireno ukiachilia mbali na lugha.
Tofauti na nchi zilizotawaliwa na Ufaransa. Ambapo nyingi tu unakuta bado lugha zao za asili wanaongea sana mfano Senegal Wolof na majina yao ya ukoo bado wanatumia ya ukoo.
Mental slavery is real.
Niiweke hivi asimileshen ni idea flani hivi watu wanalazimishwa kwa hiari kufuata na kuridhia tamaduni za wengine nakuacha tamatuni zao.
Mfaransa na Mreno waliweza kufanikisha hili kwenye makoloni zao walizotawala Africa kwa mafanikio makubwa sana.
Lakini kwa upande wangu mimi naona Wareno walifanikisha zaidi.
Kwasababu mataifa wareno waliyoyatawala Africa Cape Verde, Guinea Bissau, Angola na Msumbiji yani wameiga kila kitu kutoka Ureno hadi majina yao ya ukoo ni ya kireno ukiachilia mbali na lugha.
Tofauti na nchi zilizotawaliwa na Ufaransa. Ambapo nyingi tu unakuta bado lugha zao za asili wanaongea sana mfano Senegal Wolof na majina yao ya ukoo bado wanatumia ya ukoo.
Mental slavery is real.