Kati ya Millard Ayo na Dijaro Arungu, Nani Radio Presenter mkali?

Kati ya Millard Ayo na Dijaro Arungu, Nani Radio Presenter mkali?

yule mbabu ni wakumlinganisha na millard??? usingizi na kifo
 
Mkali lazaro matarange,hao uliowataja madj tu watangazaji wenyewe wa redio wapo,,,hao labda uwaite ma-mc au madj...kina salim kikeke wale,akina Charles Hillary,kina Waihenya Kabiru enzi hizo ndo watangazaji hawa vijana ni wazungumzaji tu ni sawa leo uniambie eti wale jamaa wa jahazi ni watangazaji nitakukatalia wale ni wapiga Porojo tu,redio zenye watangazaji Tanzania kwa sasa chache mno labda rfa,redio one,rfi,bbc tz, lakini majority ya fm stations tz zina wapiga soga tu kama wale wa power breakfast Mawingu ni waongeaji tu hata wewe usiesomea journalism unaweza kupiga domo vile,....Utangazaji ni uwasilishaji wa maudhui yaliyopangiliwa kwenye muswada maalum au script,,,,,na sio kupiga soga kama wanavofanya siku hizi,,,,ndo maana hata mbwiga wa mbwiguke anajiita mtangazaji ilhali ni mpiga domo tu....ndo maana kila mtu huko siku hizi ajiita ati! Mchambuzi,,,,utangazaji tz unapata pancha...
 
Hallo wandugu nimepita kijiwe flani nimekuta watu wanabishana eti kati ya dijaro arungu wa tbc fm na millard ayo wa clouds fm nani mkali kama radio presenter mm binafsi nikaona ni millard mkali.. Je ww unaonaje

Salim kikeke
 
Watanzania na ubishi wa nani mkali...hatuachagi hizi swaga za kiloooser....
 
Mkali lazaro matarange,hao uliowataja madj tu watangazaji wenyewe wa redio wapo,,,hao labda uwaite ma-mc au madj...kina salim kikeke wale,akina Charles Hillary,kina Waihenya Kabiru enzi hizo ndo watangazaji hawa vijana ni wazungumzaji tu ni sawa leo uniambie eti wale jamaa wa jahazi ni watangazaji nitakukatalia wale ni wapiga Porojo tu,redio zenye watangazaji Tanzania kwa sasa chache mno labda rfa,redio one,rfi,bbc tz, lakini majority ya fm stations tz zina wapiga soga tu kama wale wa power breakfast Mawingu ni waongeaji tu hata wewe usiesomea journalism unaweza kupiga domo vile,....Utangazaji ni uwasilishaji wa maudhui yaliyopangiliwa kwenye muswada maalum au script,,,,,na sio kupiga soga kama wanavofanya siku hizi,,,,ndo maana hata mbwiga wa mbwiguke anajiita mtangazaji ilhali ni mpiga domo tu....ndo maana kila mtu huko siku hizi ajiita ati! Mchambuzi,,,,utangazaji tz unapata pancha...

Hata Mpoki mtangazaji na Zembwela pia.
 
waliozaliwa juzi watasema millardayo ila siyewakitambo tunasema dijaro walungu
NB:MTOTO ATABAKI KUWA MTOTO KWA BABA YAKE
 
Back
Top Bottom