Mwamuzi wa Tanzania JF-Expert Member Joined Apr 7, 2020 Posts 15,486 Reaction score 45,256 Feb 3, 2023 #1 Je, tutoe jibu kulingana na idadi ya wafuasi? Kamba ikivutwa na watu 10, watano kwa watano wenye nguvu ndio watawavuta wengine upande wao. Je, kuongezeka kwa maovu ni ishara ya nguvu kubwa ya shetani dhidi ya Mungu? Your browser is not able to display this video.
Je, tutoe jibu kulingana na idadi ya wafuasi? Kamba ikivutwa na watu 10, watano kwa watano wenye nguvu ndio watawavuta wengine upande wao. Je, kuongezeka kwa maovu ni ishara ya nguvu kubwa ya shetani dhidi ya Mungu? Your browser is not able to display this video.
Sa 7 mchana JF-Expert Member Joined Dec 30, 2018 Posts 5,214 Reaction score 10,276 Feb 3, 2023 #2 Binadamu ananguvu kuliko wote.
F fazili JF-Expert Member Joined Jun 10, 2011 Posts 16,427 Reaction score 22,418 Feb 3, 2023 #3 Sandali Ali said: Je, tutoe jibu kulingana na idadi ya wafuasi? Kamba ikivutwa na watu 10, watano kwa watano wenye nguvu ndio watawavuta wengine upande wao. Je,bkuongezeka kwa maovu ni ishara ya nguvu kubwa ya shetani dhidi ya Mungu? View attachment 2504644 Click to expand... Mungu ni muumba na shetani ni kiumbe cha Mungu, unasemaje hapo shekhe?
Sandali Ali said: Je, tutoe jibu kulingana na idadi ya wafuasi? Kamba ikivutwa na watu 10, watano kwa watano wenye nguvu ndio watawavuta wengine upande wao. Je,bkuongezeka kwa maovu ni ishara ya nguvu kubwa ya shetani dhidi ya Mungu? View attachment 2504644 Click to expand... Mungu ni muumba na shetani ni kiumbe cha Mungu, unasemaje hapo shekhe?
Determinantor Platinum Member Joined Mar 17, 2008 Posts 59,045 Reaction score 94,974 Feb 3, 2023 #4 Sasa kama CCM ni product ya Shetani unategemea jibu gani
Mwamuzi wa Tanzania JF-Expert Member Joined Apr 7, 2020 Posts 15,486 Reaction score 45,256 Feb 3, 2023 Thread starter #5 Elli said: Sasa kama CCM ni product ya Shetani unategemea jibu gani Click to expand... Hapo hamna kitu kipya. Kusubiri kitu kipya kwa CCM ni sawa na kutafuta bikra maternity
Elli said: Sasa kama CCM ni product ya Shetani unategemea jibu gani Click to expand... Hapo hamna kitu kipya. Kusubiri kitu kipya kwa CCM ni sawa na kutafuta bikra maternity
Determinantor Platinum Member Joined Mar 17, 2008 Posts 59,045 Reaction score 94,974 Feb 3, 2023 #6 Sandali Ali said: Hapo hamna kitu kipya. Kusubiri kitu kipya kwa CCM ni sawa na kutafuta bikra maternity Click to expand... Dadeeeeeki
Sandali Ali said: Hapo hamna kitu kipya. Kusubiri kitu kipya kwa CCM ni sawa na kutafuta bikra maternity Click to expand... Dadeeeeeki