Kati ya mwanaume na mwanamke, nani ana uzao (kizazi)?

Kati ya mwanaume na mwanamke, nani ana uzao (kizazi)?

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
2,536
Reaction score
4,621
Hapo vipi,

Kwanza kwa tafsiri ya Kizazi au uzao ni ile hali au hasili ya muendelezo wa watu wenye asili ya damu, sura, umbile, rangi na tabia ya watu wenye asili inayofanana kutoka nyakati na nyakati (enzi na enzi).

Sasa kwa tafsiri rahisi niliyotoa hapo juu. Je, kati ya mwanaume na mwanamke nani mwenye kizazi au uzao hapa Duniani? Kwasababu nimemsikia mwanamke mmoja anasema uzao wangu nikashangaa juu ya kauli yake.
 
Sasa unashangaa nini wakati wababa kila siku wanakataa mimba, ni uzao wake na mimba ni mali yake km uliikataa.
 
Hv wamenipga ban kwenye id yangu hii? Yaani nashindwa kupost wala ku create post. Sasa namm nimepewa kazi ya kupiga ban yaan nitapiga ban kila mtu [emoji23]
Screenshot_20230602-071841.jpg
 
Mwanamke ni kama shamba lenye rutuba, na mwanaume ni mbegu ambayo inatarajiwa ikipandwa ikue

Hapo mwenye uzao ni mwanaume ila kwa kushirikiana na mwanamke ndio imewezekana hilo

maana mbegu atakayopanda ndiyo itakayoota, ila sasa kutegemeana na aina ya udongo na rutuba iliyopo ndio hiyo mbegu inaweza kuwa imara, ikawa nyonge, ikawa ndefu au ikadumaa ila haitotoka nje ya kile kilichopandwa
 
Uzao anao mwanaume, uzazi ni kwa mwanamke.

Determinant ya azaliwe wa jinsia ipi ipo kwa mwanaume, sio mwanamke. Hivyo uzao ni wa mwanaume, tumbo la mwanamke ni mfuko wa kubeba uzao wa mwanaume.

Nadhani nimejibu😜
Mwanaume bloodline, Mwananke flesh .
 
Mwanamke = KIZAZi.

Mwanaume = UZAO.

japo vinafanana sana.

Mtoto ni WA Mwanamke UZAO WA Mwanaume
Hivi vichwa ni mzigo kwa shingo.

Mtoto wa mama halafu anatumia ubini wa baba na Kabila la baba, something is wrong somewhere.

Waislamu ndio wana utaratibu mtoto akizaliwa nje ya ndoa ni wa mama.
 
Kwa akili yngu mbovu ,watoto wa kiume ni wamama , watoto wa kike ni wababa.
 
A
Uzao anao mwanaume, uzazi ni kwa mwanamke.

Determinant ya azaliwe wa jinsia ipi ipo kwa mwanaume, sio mwanamke. Hivyo uzao ni wa mwanaume, tumbo la mwanamke ni mfuko wa kubeba uzao wa mwanaume.

Nadhani nimejibu😜
At least umenyoosha moja kwa moja
 
Back
Top Bottom