Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Aisee 😃😃🤔🤔Au ukiona unatuma meseji unafunguka meseji ndefu mwenzako anajibu kifupi tu
Hiyo ni red flag tosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee 😃😃🤔🤔Au ukiona unatuma meseji unafunguka meseji ndefu mwenzako anajibu kifupi tu
Hiyo ni red flag tosha
Jitahidi Kwa mpenzi wako..nichukukue notes hapa, maana mimi ni mvivu kutafuta watu.. Hua wanahisi nafanya kusudi kumbe ndo nilivyo hivyo
Wewe ni kama Mimi,nikimpenda mtu huwa sifichi wala sivungi,na hata ukileta cinema Nina uwezo wa kuwa humble Kwa certain period of time,ila nitapoona inatosha huwa inatosha.Mzani ni muhimu ubalansi, sio mwenzio akikaa kimya ndio imeisha hiyo. Mi nikikupenda nitakutafuta sana mpaka pale ntakapoona sasa hapa inatosha.
Amini kwamba unatakiwa ujiongeze japo inaumiza kwa mtu unaemuelewa. Mtu akikunyima mawasiliano mazuri kakunyima almost everything.Au ukiona unatuma meseji unafunguka meseji ndefu mwenzako anajibu kifupi tu
Hiyo ni red flag tosha
Yani itabidi nijitahidi kwakweli...maana nahisi kama uzi nimeandikiwa mimi🤥,, ni mvivu sana halafu hata kwenye texts pia unaweza ukaandika essay halafu nikaishia tu kusema sawa sijui nikoje yani🤒🤒Jitahidi Kwa mpenzi wako..
Yaani kama mtu hakupendi hauhitaji hata kutumia nguvu nyingi kujua 🤣Aisee 😃😃🤔🤔
Wewe si ni dada yangu tunafanana baadhi ya tabia 😊Wewe ni kama Mimi,nikimpenda mtu huwa sifichi wala sivungi,na hata ukileta cinema Nina uwezo wa kuwa humble Kwa certain period of time,ila nitapoona inatosha huwa inatosha.
Hapa sikupingi sio rahisi ila ni kumove on tuAmini kwamba unatakiwa ujiongeze japo inaumiza kwa mtu unaemuelewa. Mtu akikunyima mawasiliano mazuri kakunyima almost everything.
Nakazia 🤣🤣🤣Mi naona mwenye hela ndio atafutwe.....
Sasa hiyo sio poa,unakuwa kama umelazimishwa,mi mpenzi wa namna Yako ananipa tabu sana kudeal nae....na mbona hapa JF upo active muda wote Kwa mwenzio Kwa Nini umedorora?Yani itabidi nijitahidi kwakweli...maana nahisi kama uzi nimeandikiwa mimi🤥,, ni mvivu sana halafu hata kwenye texts pia unaweza ukaandika essay halafu nikaishia tu kusema sawa sijui nikoje yani🤒🤒
This is the best way.Hapa sikupingi sio rahisi ila ni kumove on tu
ΔYani itabidi nijitahidi kwakweli...maana nahisi kama uzi nimeandikiwa mimi🤥,, ni mvivu sana halafu hata kwenye texts pia unaweza ukaandika essay halafu nikaishia tu kusema sawa sijui nikoje yani🤒🤒
Hamna bhana...unawezakuta mtu unampenda vizuri tu, ila kwenye mawasiliano ndo inakuwaga tatizo cause mimi sinaga stories, yani nikishajua umeamka salama na unaendelea vizuri siwezi kukusumbua sumbua kila mda...ila itabidi nijitahidi nibadilike maana naona huu ni uzi wangu leo😅😅😅Yaani kama mtu hakupendi hauhitaji hata kutumia nguvu nyingi kujua 🤣
Ndio hivyo mkuu ukisema ukomae unaonekana boya tuHapa sikupingi sio rahisi ila ni kumove on tu
Umesema vyemaThis is the best way.
Upo sahihi kumuonyesha mpenzi wako Upendo,ila uwe na moyo thabiti muda wa kuondoka ukifika...Kuna siku atakumbuka japo Upendo wako uliomuonyesha ila ndio itakuwa too lateWewe si ni dada yangu tunafanana baadhi ya tabia 😊
Unajua nini dada, mimi huwa nnajali sana hasa nikipenda kweli kuna kipindi niliona kama nakosea lakini dada yangu akaniambia upo sahihi mdogo wangu.
Kazia vizuri 😂Nakazia 🤣🤣🤣
Jirani unapendaje hovyo na pesa huna? 😂Wewe si ni dada yangu tunafanana baadhi ya tabia 😊
Unajua nini dada, mimi huwa nnajali sana hasa nikipenda kweli kuna kipindi niliona kama nakosea lakini dada yangu akaniambia upo sahihi mdogo wangu.
Sipendagi tu usumbufu, nikishjua unaendelea vizuri inatosha na mimi sio mtu wa story sana😃😃... by the way natakiwa nichange sasa naona maana nimepoteza watu wengi sana hadi marafikiSasa hiyo sio poa,unakuwa kama umelazimishwa,mi mpenzi wa namna Yako ananipa tabu sana kudeal nae....na mbona hapa JF upo active muda wote Kwa mwenzio Kwa Nini umedorora?