Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Huyo wa pesa ana strategy zake nyingine.Ukoo vizuri japo sio guarantee maanA kuna ambae anaweza kuwa karibu KWA malengo fulani Mfano pesa n.k akishapata HII IMEENDA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo wa pesa ana strategy zake nyingine.Ukoo vizuri japo sio guarantee maanA kuna ambae anaweza kuwa karibu KWA malengo fulani Mfano pesa n.k akishapata HII IMEENDA
Mmmh lakini ni mule mule anakuonyesha response A, ukaribu A+ ila anayake ya moyoni (Ame target kitu fulani)Huyo wa pesa ana strategy zake nyingine.
Sawa mkuu.. ipo siku nitapretend nimeishiwa damu nione mwisho wakeHakupendi anataka kukunyonya damu
Daah, hapa nitaachwa kika kukicha.Na Kwann usimtext morning dear . How are? Am very busy with work today I will call you when am free?
yani we acha tu😥😥Tutakuwa na genetic zinazoshabihiana,,, maana mie hadi mtu nimtafute ni kipengele aisee,,, yaani nimejitahidi kuepuka hili lakini waapi.
Mimi nanunua tuu.Hapana we endelea tu kuuza unakouzaga my wangu
Mkuu ndio ushapenda hivyo, huyo unampenda ila ukimtafuta anarespond vizuri?Mm nna kiberenge changu yan ndio kwanza tumeanza relationship ,mzee haknitafut kbs yan kla sku n mm daah sjui inakuaje hii na huwa sina tabia yakutafuta watu ovyo ila hpa sjui kwkwel na sina nomah ht asponichek aseeh na mm wala sichoki kumchek.
Sjui kama ntakuja kukachoka kbs.
Well said na huo ndio upendoUkiona kila wakati ni ww tu unayemtafuta mwenzio na yy amekauka tu anakusubiri, ujue hupendwi. Mapenzi ya dhati lazima yaonekane kutoka pande zote 2.
Mtu akisema alikua busy anakua hajaamua tu kumtafuta mwenzake mana kama sms kuandika ni sekunde tu.Na Kwann usimtext morning dear . How are? Am very busy with work today I will call you when am free?
Kama Huyu ndo ni wewe[emoji15]Kwenye mahusiano kati ya mwanaume na mwanamke nani anatakiwa awe wa kwanza kuwa anamtafuta mwenzake like everyday ile kumjulia hali na siku yake imeendaje?
Au inatakiwa iwe effort iwe inaendana kwa both sides? Au mmoja wapo ndo anatakiwa awe Ana initiate mawasiliano ili uhusiano uendelee?
Mtu huyo huyo yupo na simu mda wote, whatsapp online mda wote ila atakuambia yupo busyMtu akisema alikua busy anakua hajaamua tu kumtafuta mwenzake mana kama sms kuandika ni sekunde tu.
Ndio inavyokua. Inaumiza na kama ndio huwezi kujiongeza hamna rangi utaacha onaMtu huyo huyo yupo na simu mda wote, whatsapp online mda wote ila atakuambia yupo busy
😂😂 we acha ni mateso makali makalioNdio inavyokua. Inaumiza na kama ndio huwezi kujiongeza hamna rangi utaacha ona
Makalio tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we acha ni mateso makali makalio
Naunga mkono hoja mwenyekiti.Mi naona mwenye hela ndio atafutwe.....
Akili zangu nazijua mwenyewe 😂Makalio tena [emoji23][emoji23][emoji23]
Wanunuzi hawanaga maneno mengi utakua unajiuza tu tena unauza donatiMimi nanunua tuu.