Kati ya Mwanaume na Mwanamke nani anatakiwa awe wa kwanza kuwa anamtafuta mwenzake

Kati ya Mwanaume na Mwanamke nani anatakiwa awe wa kwanza kuwa anamtafuta mwenzake

Mimi hapa na tafutwa sana na huyu mwanamke wangu, ananipeleka mbio mbio sana yani sipumziki, siii meseji sii kupigiwa napelekwa mbio kweli inabidi tuu nifate upepo wake huku nimeshikilia akili zangu sawa sawa maana naweza ziacha njiani

Na kwenye kugegedana sasa ni mbio mbio tuu kwa kweli muda wote yeye ananyege yani sipumziki wakuu na kila wakati anataka kuniona . Natamani ni mwambie ila naona acha tuu ni mvumilie japo vihela vya hapa na pale nampampa.

Wakuu hapa napendwa au ndiyo imekaaje ?
 
Mimi hapa na tafutwa sana na huyu mwanamke wangu, ananipeleka mbio mbio sana yani sipumziki, siii meseji sii kupigiwa napelekwa mbio kweli inabidi tuu nifate upepo wake huku nimeshikilia akili zangu sawa sawa maana naweza ziacha njiani

Na kwenye kugegedana sasa ni mbio mbio tuu kwa kweli muda wote yeye ananyege yani sipumziki wakuu na kila wakati anataka kuniona . Natamani ni mwambie ila naona acha tuu ni mvumilie japo vihela vya hapa na pale nampampa.

Wakuu hapa napendwa au ndiyo imekaaje ?
Mkuuu kabila gani ilo 😂😂
 
Mkuuu kabila gani ilo [emoji23][emoji23]
Binti wa kichagga mkuu, yani ananikimbiza siyo mchezo, mpaka kazini wananiambia sahivi tunakuona uko bussy sana na simu. Haipiti lisa txt zimejaa ndii na usipo jibu ni simu zinapigwa
 
Binti wa kichagga mkuu, yani ananikimbiza siyo mchezo, mpaka kazini wananiambia sahivi tunakuona uko bussy sana na simu. Haipiti lisa txt zimejaa ndii na usipo jibu ni simu zinapigwa
😂😂Hizi zimeanza lini Binti wa kichaga kupendelea uterezi mda wote wakati kichwa kinawaza pesa
 
Mimi hapa na tafutwa sana na huyu mwanamke wangu, ananipeleka mbio mbio sana yani sipumziki, siii meseji sii kupigiwa napelekwa mbio kweli inabidi tuu nifate upepo wake huku nimeshikilia akili zangu sawa sawa maana naweza ziacha njiani

Na kwenye kugegedana sasa ni mbio mbio tuu kwa kweli muda wote yeye ananyege yani sipumziki wakuu na kila wakati anataka kuniona . Natamani ni mwambie ila naona acha tuu ni mvumilie japo vihela vya hapa na pale nampampa.

Wakuu hapa napendwa au ndiyo imekaaje ?
Ndo mapenz hayo
 
[emoji23][emoji23]Hizi zimeanza lini Binti wa kichaga kupendelea uterezi mda wote wakati kichwa kinawaza pesa
Yani hata mm mwenyewe sielewi.. ndiyo maana nauliza hapa napigwa au ndiyo imekaaje mkuu.. maana sijawahi kudate na binti anayenipeleka mbio hivi?
 
Yani hata mm mwenyewe sielewi.. ndiyo maana nauliza hapa napigwa au ndiyo imekaaje mkuu.. maana sijawahi kudate na binti anayenipeleka mbio hivi?
😂😂😂Mwangalie manka asikuletee ka mimba ndani ukajua lako kumbe umebambikwa kiiruuuuuuuuuuuuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Mwangalie manka asikuletee ka mimba ndani ukajua lako kumbe umebambikwa kiiruuuuuuuuuuuuu
Ngoja niendelee kuona, ndiyo maana natembea na akili zangu , yani kila siku nayo lala naye na note tarehe na muda bila yeye kujua nafanya kisiri siri..
 
Yani wanawake bwana, unaweza kushangaa upo busy kwa siku hiyo hata muda wa kula umekosa ile unapata kachance unamtafuta unakutana na malalamiko yasiyo na kichwa Wala mabega. Anashindwa hata kuuliza Nini kilikupata mpaka ukawa kimya, yeye mwenyewe hakukutafuta kipindi ukiwa kimya Ila anaamua tu kulaumu.
Mungu atusaidie Sana wanaume tunapitia mengi Sana.
 
Ngoja niendelee kuona, ndiyo maana natembea na akili zangu , yani kila siku nayo lala naye na note tarehe na muda bila yeye kujua nafanya kisiri siri..
Hali ni mbaya ktk penzi lako mimi mwanamke akishaanza kuleta miondoko tofautibnajua tyr mapenzi kombo alafu unafiki umewajaaa zaidi kuliko wanavyojielewa
 
Hali ni mbaya ktk penzi lako mimi mwanamke akishaanza kuleta miondoko tofautibnajua tyr mapenzi kombo alafu unafiki umewajaaa zaidi kuliko wanavyojielewa
Ngoja niendele kuona mkuu maana sija notice dalili mbaya kwake tokea niwe naye ila mwendo ni mbio mbio tuu
 
Back
Top Bottom