Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeanza πππAta ukiachika si nipo single kuna shida gani π
Mke wangu yupi? Ata akinuna wewe utanichekeaUmeanza πππ
Mkeo anakusikia, utapewa mnuno we jishaue
Ngoja leo nikae kimya nione kama nitatafutwaMwenye udaga atatafutwa
Hiyo inakujaga tu automatically mkuuππππVipi kuhusu Libeneke fc au napo sio mtu wa mikasi sana? π€£
Mimi sina stories aisee ππUnakosaje story kwa mtu unayempenda
Hapo nakubaliana na wewe...sio lazima kiivyo ila basi tu yaniπ€₯Na wala hakuna ulazima wa kutafutana,,,ni hulka zetu Hasii tuu!!
Jamaniπππππ€π€Ili uenjoy dunia ya leo kua kijana wa hovyo utapata wengi wa kufanana nao.
Utampata. We tulia tu usiwe na wenge.
Mungu analetaga tu. Kuwa na subira.
Hujajibu swali kwa ufasaha lakini. We ni mtu wa show au baishoo?Hiyo inakujaga tu automatically mkuuππππ
Mpenzi ambaye hana story nikijikaza sana ni week 2. Inaboa sana tena hapo ukute hata kutoa gemu mvivu dah inaboa kichiziKabisa story haziishi
Upo sahihi taikon, automatically mawasiliano ya wapendanao siku zote huwa yanachangiwa na wote sio one sided communicationUkishawaza hivi au ukiona MTU anawaza namn Hii ujue hapo hakuna Mapenzi (Upendo).
Watu wanaopendana Hawana muda wa kufikiri au kuhesabu wametafutwa au wametafuta Wenza wao mara ngapi
Mimi ni mtu wa show bhana,, nikimmisi namwambia na yeye hivyo hivyo π π πHujajibu swali kwa ufasaha lakini. We ni mtu wa show au baishoo?
Kama mtu wa show hio kasoro inavumilika. Ila kama kwenye show nako ungekuwa huna story basi π ningehitimisha na alamsiki!Mimi ni mtu wa show bhana,, nikimmisi namwambia na yeye hivyo hivyo π π π
Tukiwa kule tunakua kwenye sayari nyingine kabisa π π πKama mtu wa show hio kasoro inavumilika. Ila kama kwenye show nako ungekuwa huna story basi π ningehitimisha na alamsiki!
Maana ugonjwa wa kupooza mbaya sanaπ€£Tukiwa kule tunakua kwenye sayari nyingine kabisa π π π
πππMi naona mwenye hela ndio atafutwe.....
Upo sahihi taikon, automatically mawasiliano ya wapendanao siku zote huwa yanachangiwa na wote sio one sided communication
HahahhaππππππMaana ugonjwa wa kupooza mbaya sanaπ€£