Strong and Fearless
JF-Expert Member
- Apr 24, 2017
- 815
- 1,983
- Thread starter
- #461
Daah, hapa nitaachwa kika kukicha.
[emoji19][emoji849][emoji849]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah, hapa nitaachwa kika kukicha.
Yah anarespond fresh tu ila hawez kunitafuta kamwe yan had nmtafute mm nahs kudharauliwa sometimesMkuu ndio ushapenda hivyo, huyo unampenda ila ukimtafuta anarespond vizuri?
Mbn bado mapema watu tulisota miaka Saba mwendo wakuugulia kimoyomoyo na hatukusema wewe Mwaka tu una hahahah tulia na ujiulize ni wapi unakosea mpk unyoshe mikono basi akili imefeli kabisaNa mwaka naye sasa, yupo hivi hivi
Kibunda unampa ?Yah anarespond fresh tu ila hawez kunitafuta kamwe yan had nmtafute mm nahs kudharauliwa sometimes
Kwenye kibunda labda kumnunulia mazaga tu kama nguo etc.Kibunda unamp
Vizuri ila cheza kuendana na biti mkuuKwenye kibunda labda kumnunulia mazaga tu kama nguo etc.
Daah aseeh ntajtahd sana mkuu.Vizuri ila cheza kuendana na biti mkuu
Kila la heriDaah aseeh ntajtahd sana mkuu.
Mi naona mwenye hela ndio atafutwe.....
Niuzie yakoWanunuzi hawanaga maneno mengi utakua unajiuza tu tena unauza donati
Upo sahihi mkuuKwa watu wanaopendana sidhani kama ishu ya mawasiliano kwao ni changamoto, na mara nyingi hii huwa kwenye penzi jipya kadri muda unavyozidi sogea na mawasiliano yanazidi kupungua kwa ambao hawajapatana kivile.
Una kitu mzee,utafika mbalipale unapoona mzani unaelemea kwako zaidi, yaani usipomtafuta hata mwezi mzima hajali na hakutafuti ng'oo simply unapaswa ujiongeze kuwa huitajiki. Mtu anaekupenda lazima atakutafuta tu.
YapLove ni two way traffic!ukiona mmoja ndio unapambania sana penzi kuliko mwenzio piga chini.sio wako
Tunaopenda sana tupo wengi,sema tatizo tunawapenda wasiotupenda,yani unantumia muda mwingi kumuonyesha mtu upendo lkn ndo kwanza hata haelewiWewe si ni dada yangu tunafanana baadhi ya tabia [emoji4]
Unajua nini dada, mimi huwa nnajali sana hasa nikipenda kweli kuna kipindi niliona kama nakosea lakini dada yangu akaniambia upo sahihi mdogo wangu.
Dawa yao ni kuachana nao usipoteze muda wako sana kuwekeza upendo mahali ambapo return yake hailingani na unachowekezaTunaopenda sana tupo wengi,sema tatizo tunawapenda wasiotupenda,yani unantumia muda mwingi kumuonyesha mtu upendo lkn ndo kwanza hata haelewi
Mbali wapi tena 😅Una kitu mzee,utafika mbali
Sie ambao ni nati hatutafutwiUmeniwahi.
Na sio mwenye hela, anaetoa washeli au grisi ili penzi lichochee ndo atafutwe. Unaweza kua na hela ila bahili.
[emoji23][emoji23],nakuja am on the way twende huko mbaliMbali wapi tena [emoji28]
Fanya basi tufike wote
Kweli kabisaDawa yao ni kuachana nao usipoteze muda wako sana kuwekeza upendo mahali ambapo return yake hailingani na unachowekeza