Kati ya Nifah na The Bold, yupi aliyemuacha mwenzake?

Kati ya Nifah na The Bold, yupi aliyemuacha mwenzake?

Hatari sana watu wawili yanabaki kuwa makubaliano ya pande mbili tuheshimu maamuzi yao walipopatana hatukuuliza nani alianza kumtupia ndoano mwingine wapenda ubuyu hakosi maswali!
 
Kwenu;

Mapenzi ni ishu mtambuka, siku roho inapoumizwa ndo utajua dunia ilivyo.

Siku hiyo utaona kila kitu kinakuelemea, dunia yote ni chungu, ni kama umefiwa vile, ni upweke ulioje.

Maono yangu, kama ni mwanamke ameachwa ni hasara kubwa sana, tufanye mfano ametumika tokea akiwa binti mbichi, yawezekana hata bikra ametolewa na hiyo njemba, halafu inamuacha ghafla tu, itamuumiza sana.

Njemba imekutoa bikra, imetanua papuchi, una miaka zaidi ya 30, kumpata mtu sahihi ni ngumu, mwanamme gani atakubali kuchukua kitu iliyozeeshwa.

Ila mwanamme yeye ni ngoma mdundo, hata awe na miaka 40 bado atampata tu binti mbichi, na tena bikra.

Halafu hii kitu ya kuishi na kutaka kuoana dini mbili tofauti ni mbaya mno, mwanamke au mwanamme umekosa mtu sahihi kwenye dini yako?, tuzipende dini zetu. Tusiuze dini zetu kwa kigezo cha mali.

Tafakuri.
Wameachana kwa amani
Itoshe kusema kuwa, kwa staha walizotuonesha kwenye kuelezea mahusiano yao basi tuwaache waishi privacy zao.....
 
Kilomita za dem zilisoma sana jamaa akaona apapase papuchi nae aachie wengine, kizuri kula na wenzio ila usiweke ndani ana bwana ake huyo aliyemtoa bikra au aliyezaa nae.
 
😁😁!

Mambo yao tuwaachie wenyewe Nifa na aliekuwa mtuwe wao ndio wanaujua ukweli!

Maisha lazima yaendelee
Joined 2010-2020 mlikuwa vzr kwenye hayo maniaje niaje

Saiv ni zamu ya joined 2020-2030 kuwe na couple mingi mingi ili kuchangamke patembezwe tags, mentions na quotes za kutosha kwenye majukwaaa
 
Joined 2010-2020 mlikuwa vzr kwenye hayo maniaje niaje

Saiv ni zamu ya joined 2020-2030 kuwe na couple mingi mingi ili kuchangamke patembezwe tags, mentions na quotes za kutosha kwenye majukwaaa

Joined 2010 - 2015 tu 🙃
 
Back
Top Bottom