ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Kwa miaka hiyo mimi sitaki kuhesabu, nitachoka...muhimu bwana Habib aliinjoi😅Tuhesabu magoli mangapi yalifungwa au sio 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa miaka hiyo mimi sitaki kuhesabu, nitachoka...muhimu bwana Habib aliinjoi😅Tuhesabu magoli mangapi yalifungwa au sio 🤣🤣
Nimeamua kumsemea bwana Habib coz kiuhalisia resources zake zilitumika zaidi, sasa asipoinjoi si shida tena😅Kwanini Habib pekee[emoji1787] inabidi iwe wote waliinjoi baaas
Kwani za nifah hazikutumika jamani.....hapa twende haki sawaNimeamua kumsemea bwana Habib coz kiuhalisia resources zake zilitumika zaidi, sasa asipoinjoi si shida tena[emoji28]
Kiafrika na kiutamaduni, resources nyingi zilizotumika naamini ni za bwana mdogo, outings, misosi, zawadi kubwa kubwa...au nadanganya queen?Kwani za nifah hazikutumika jamani.....hapa twende haki sawa
Mh labda aje aseme mwenyewe si unajua 🤣🤣🤣 ya ndani ni mengiKwa miaka hiyo mimi sitaki kuhesabu, nitachoka...muhimu bwana Habib aliinjoi😅
Kwa kwelHahahaaa.. Nimecheka neno Kamzozo
Yeah ni Changamoto sana
Hakika, hizo ni siri za chumbani huko.Mh labda aje aseme mwenyewe si unajua 🤣🤣🤣 ya ndani ni mengi
Nakutumia Jang hyuk Mvaa Kobazi aku nyooshe😀🤣Nipo live nishavaa mavazi ya kazi nasubiri order Tu ,sina huruma zaidi ya kutembea chuma tu..View attachment 2860783
Mimi sihitaji kujua ni dini gani wala haya maelezo sitaki. Wala sikutaja dini ya MTU.Tofauti ya muafrika na asiye muafrika ni kwenye ufuatiliaji wa mambo interreligion marriages zimekuwa nyingi kwa sababu watu hawasomi dini zao unakalia kukomaa na elimu ya mzungu huku unaiacha elimu ya dini yako nyuma ndiyo mambo kama haya yanakuja kutokea.
Kama ulivyoandika kwamba kuna dini hairuhusu kusherehekea sikukuu za wengine dini hiyo ni UISLAMU wala hilo halina shaka ,ila ingekuwa umefuatilia angalau ni kwa sababu gani hawasherehekei sikukuu lakini mambo mengine wanasaidiana ungepata jibu na usingekuja kuandika hapa anyway nikusaidie kukujibia.
Ni hivi imani ya uislamu imeegemea kwenye kumuamini ,kumtegemea na kumuabudu Allah (the almighy) ambaye hakuzaa , hakuzaliwa wala hana mshirika (ushahidi ni kwenye sura ya 112 kwenye quran au surat ikhlas ) . Ukiamini nje ya hapo kwa kujua kabisa inakuwa umefanya shirki na umetoka moja kwa moja nje ya uislamu na ni dhambi kubwa inayoongoza kati ya madhambi makubwa.
Sasa imani ya kikristo imebase kwenye kumuamini yesu kama ni Mwana wa Mungu au Mungu na christmas (25th december) kama mnavyoamini (though yesu hakuzaliwa 25th ,dec bali siku hii imetokana na sherehe ya kipagani sartunalia ambayo warumi wapagani walikuwa wnasherehekea kuzaliwa Mungu sartun au cronus kwa wagiriki. ambapo mnamo 25 dec ,336 pope julius wa kwanza aliadhimisha rasmi iwe siku ya kuzaliwa yesu effectively incoporating pagan holiday in christianity).
Sasa kama christmas ni siku mnayoamini kuzaliwa Mungu na huyu muislamu haamini kama Mungu anazaliwa je? Atawezaje kuvunja imani yake na kuwa amefanya dhambi kubwa itakayomuondoa kwenye uislamu ili tu awafurahishe wakristo ????? Not a logical move .
Allah (the almighty) inatuambiaje kuhusu ili ndani ya quran? Jibu ni kwenye surat baqara (sura 2:120)
Al-Baqarah 2:120
وَلَن تَرْضَىٰ عَنكَ ٱلْيَهُودُ وَلَا ٱلنَّصَٰرَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْۗ قُلْ إِنَّ هُدَى ٱللَّهِ هُوَ ٱلْهُدَىٰۗ وَلَئِنِ ٱتَّبَعْتَ أَهْوَآءَهُم بَعْدَ ٱلَّذِى جَآءَكَ مِنَ ٱلْعِلْمِۙ مَا لَكَ مِنَ ٱللَّهِ مِن وَلِىٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.
Watu tusome dini zetu ILI TUFUNGUKE KIFIKRA TUSIJE PELEKESHWA PELEKESHWA .
Yaani...Kwa hiyo wadada wa kiislam tusiwaweke mkuu? Hem acheni kutunyima fursa, wao wakitaka tuwanyime?
Mbele ya Gun hao hawasemi kitu wala hawatoboi kauli yangu Moja tu "Once you aim your gun , you shouldn't hesitate even for a second ,the moment your target will have disappeared " kabla ya kuwaita waonye kabisa Gun man from Joseon sina mzaha mtu akijaa kwenye 6× 3 zangu..Nakutumia Jang hyuk Mvaa Kobazi aku nyooshe😀🤣
Tuna kuletea washika mapanga was kwenye six flying dragons😀🤣.Mbele ya Gun hao hawasemi kitu wala hawatoboi kauli yangu Moja tu "Once you aim your gun , you shouldn't hesitate even for a second ,the moment your target will have disappeared " kabla ya kuwaita waonye kabisa Gun man from Joseon sina mzaha mtu akijaa kwenye 6× 3 zangu..
Ina season 2 hii🤒Intelligent businessman hapa nitamuhofia Mvaa Kobazi yeye ni Lee Bang Je mtu mbad yupo fasta lakini hatoboi atasumbua ila mwengine mvaa suti
Hapo nakubali wakupiga kolabo Muhuyul , Lee bange Je na yule dada Chok Ga San(kama sikosei) hapo nitapigika kirahisi..Tuna kuletea washika mapanga was kwenye six flying dragons😀🤣.
👉Lazima uliwe bichwa 🤣😀🤒
Kama hatutoishi kwa minajili ya dini, basi tutakuwa ni watu wenye hasara kubwa sana kesho mbele za mungu, kwamba tunafanya vile nafsi inavyokuongoza. Mkuu usifanye ivo.Mkuu heri ya mwaka mpya.
Pamoja na faida nyingi za dini,
Ila imeleta utengano katika jamii. Imagine umempenda mnapendana Kwa Moyo wote halafu dini inawatenganisha inawafanya hamuwezi kuishi pamoja, mnaachana mnaenda Kwa mnaofanana dini kisha hampendani kilasiku ugonmvi hamna Amani Ila mna dini moja iliyowaunganisha... Nini SASA hiki??
Kuna dini inakataza kujumuika katika sikukuu za wengine haziruhusu Kula wala kusheherekea nao pamoja wala kuwaunga mkono... Yaani wakwako ni wale wadini yako tuu... Kweli hawa watu wa middle East walikujua kutuweza Sisi waafrica.
Anyway, Mungu atufungulie uelewa zaidi 2024.
Nitaingia dramaCool kuchekiIna season 2 hii🤒