Kati ya Nifah na The Bold, yupi aliyemuacha mwenzake?

Kati ya Nifah na The Bold, yupi aliyemuacha mwenzake?

Kuna dini inakataza kujumuika katika sikukuu za wengine haziruhusu Kula wala kusheherekea nao pamoja wala kuwaunga mkono... Yaani wakwako ni wale wadini yako tuu... Kweli hawa watu wa middle East walikujua kutuweza Sisi waafrica.

Kwamba watu wa Middle East walikujua kutuweza sisi waafrika!! Unaelewa unachokiongea lakini!

Uislamu una sheria zake bwana, na sio kujifanyia utakavyo wewe ukaona upo sawa, Muislamu kama Muislamu ni haram kuolewa na mtu asie wa imani yako, au kuowa mtu asie wa imani yako, ila kwa sharti moja, naomba uisikilize hii clip mpaka mwisho👇


View: https://youtu.be/L5yuw64T6Ys?si=rbYzcNGCEl1C6hUv
 
Tofauti ya muafrika na asiye muafrika ni kwenye ufuatiliaji wa mambo interreligion marriages zimekuwa nyingi kwa sababu watu hawasomi dini zao unakalia kukomaa na elimu ya mzungu huku unaiacha elimu ya dini yako nyuma ndiyo mambo kama haya yanakuja kutokea.

Kama ulivyoandika kwamba kuna dini hairuhusu kusherehekea sikukuu za wengine dini hiyo ni UISLAMU wala hilo halina shaka ,ila ingekuwa umefuatilia angalau ni kwa sababu gani hawasherehekei sikukuu lakini mambo mengine wanasaidiana ungepata jibu na usingekuja kuandika hapa anyway nikusaidie kukujibia.

Ni hivi imani ya uislamu imeegemea kwenye kumuamini ,kumtegemea na kumuabudu Allah (the almighy) ambaye hakuzaa , hakuzaliwa wala hana mshirika (ushahidi ni kwenye sura ya 112 kwenye quran au surat ikhlas ) . Ukiamini nje ya hapo kwa kujua kabisa inakuwa umefanya shirki na umetoka moja kwa moja nje ya uislamu na ni dhambi kubwa inayoongoza kati ya madhambi makubwa.

Sasa imani ya kikristo imebase kwenye kumuamini yesu kama ni Mwana wa Mungu au Mungu na christmas (25th december) kama mnavyoamini (though yesu hakuzaliwa 25th ,dec bali siku hii imetokana na sherehe ya kipagani sartunalia ambayo warumi wapagani walikuwa wnasherehekea kuzaliwa Mungu sartun au cronus kwa wagiriki. ambapo mnamo 25 dec ,336 pope julius wa kwanza aliadhimisha rasmi iwe siku ya kuzaliwa yesu effectively incoporating pagan holiday in christianity).

Sasa kama christmas ni siku mnayoamini kuzaliwa Mungu na huyu muislamu haamini kama Mungu anazaliwa je? Atawezaje kuvunja imani yake na kuwa amefanya dhambi kubwa itakayomuondoa kwenye uislamu ili tu awafurahishe wakristo ????? Not a logical move .

Allah (the almighty) inatuambiaje kuhusu ili ndani ya quran? Jibu ni kwenye surat baqara (sura 2:120)

Al-Baqarah 2:120

وَلَن تَرْضَىٰ عَنكَ ٱلْيَهُودُ وَلَا ٱلنَّصَٰرَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْۗ قُلْ إِنَّ هُدَى ٱللَّهِ هُوَ ٱلْهُدَىٰۗ وَلَئِنِ ٱتَّبَعْتَ أَهْوَآءَهُم بَعْدَ ٱلَّذِى جَآءَكَ مِنَ ٱلْعِلْمِۙ مَا لَكَ مِنَ ٱللَّهِ مِن وَلِىٍّ وَلَا نَصِيرٍ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.


Watu tusome dini zetu ILI TUFUNGUKE KIFIKRA TUSIJE PELEKESHWA PELEKESHWA .

MaashaAllah MashaAllah sheikh, baarakallahu fiik!
 
Hizi Dini unazosemea ni Hizi hizi tulizoletewa na wazungu?? Au Kuna zingine??

Wachana na Maswala ya Dini, Turudi enzi zetu za Matambiko na dini za asili.
 
Kiafrika na kiutamaduni, resources nyingi zilizotumika naamini ni za bwana mdogo, outings, misosi, zawadi kubwa kubwa...au nadanganya queen?
Mnataka tu kutukandamiza[emoji1787]
 
Kwenu;

Mapenzi ni ishu mtambuka, siku roho inapoumizwa ndo utajua dunia ilivyo.

Siku hiyo utaona kila kitu kinakuelemea, dunia yote ni chungu, ni kama umefiwa vile, ni upweke ulioje.

Maono yangu, kama ni mwanamke ameachwa ni hasara kubwa sana, tufanye mfano ametumika tokea akiwa binti mbichi, yawezekana hata bikra ametolewa na hiyo njemba, halafu inamuacha ghafla tu, itamuumiza sana.

Njemba imekutoa bikra, imetanua papuchi, una miaka zaidi ya 30, kumpata mtu sahihi ni ngumu, mwanamme gani atakubali kuchukua kitu iliyozeeshwa.

Ila mwanamme yeye ni ngoma mdundo, hata awe na miaka 40 bado atampata tu binti mbichi, na tena bikra.

Halafu hii kitu ya kuishi na kutaka kuoana dini mbili tofauti ni mbaya mno, mwanamke au mwanamme umekosa mtu sahihi kwenye dini yako?, tuzipende dini zetu. Tusiuze dini zetu kwa kigezo cha mali.

Tafakuri.
Mabikra wenyewe wapo basi?!

Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
 
Ndio akina nani hao.
Wasanii wapya wa wcb, konde gang au niaje?
 
Ukweli uanujua, jamaa kama alifaidi inatosha.[emoji28] Sio kila mahusiano yanaishia kwenye ndoa
Sawa ila miaka 7 mingi aisee, personally enzi hizo miezi 6 nikiona hamna linaloendelea napiga chini
 
Back
Top Bottom