Kati ya Nifah na The Bold, yupi aliyemuacha mwenzake?

Nimeamua kumsemea bwana Habib coz kiuhalisia resources zake zilitumika zaidi, sasa asipoinjoi si shida tena[emoji28]
Kwani za nifah hazikutumika jamani.....hapa twende haki sawa
 
Mimi sihitaji kujua ni dini gani wala haya maelezo sitaki. Wala sikutaja dini ya MTU.
 
Nakutumia Jang hyuk Mvaa Kobazi aku nyooshe😀🤣
Mbele ya Gun hao hawasemi kitu wala hawatoboi kauli yangu Moja tu "Once you aim your gun , you shouldn't hesitate even for a second ,the moment your target will have disappeared " kabla ya kuwaita waonye kabisa Gun man from Joseon sina mzaha mtu akijaa kwenye 6× 3 zangu..
 
Tuna kuletea washika mapanga was kwenye six flying dragons😀🤣.
👉Lazima uliwe bichwa 🤣😀🤒
 
Tuna kuletea washika mapanga was kwenye six flying dragons😀🤣.
👉Lazima uliwe bichwa 🤣😀🤒
Hapo nakubali wakupiga kolabo Muhuyul , Lee bange Je na yule dada Chok Ga San(kama sikosei) hapo nitapigika kirahisi..

Ila nikimcheki Maghayo akinipa vipisi vyake vya akiba mzuka unapanda nakuwa katika hii mood ni vyuma Tu kwenda mbele mpaka wote nawamaliza..
 
Kama hatutoishi kwa minajili ya dini, basi tutakuwa ni watu wenye hasara kubwa sana kesho mbele za mungu, kwamba tunafanya vile nafsi inavyokuongoza. Mkuu usifanye ivo.
 
Katika kuachana kuna moja kati ya haya matatu.
1. Bibie papuchi inanuka
2. Bibie k kubwa kama wanawake wa jf
3. Mzee bolo legelege kama fagio used au kibamia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…