Ituzaingo Argentina
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 1,868
- 2,191
Kuna dini inakataza kujumuika katika sikukuu za wengine haziruhusu Kula wala kusheherekea nao pamoja wala kuwaunga mkono... Yaani wakwako ni wale wadini yako tuu... Kweli hawa watu wa middle East walikujua kutuweza Sisi waafrica.
Tofauti ya muafrika na asiye muafrika ni kwenye ufuatiliaji wa mambo interreligion marriages zimekuwa nyingi kwa sababu watu hawasomi dini zao unakalia kukomaa na elimu ya mzungu huku unaiacha elimu ya dini yako nyuma ndiyo mambo kama haya yanakuja kutokea.
Kama ulivyoandika kwamba kuna dini hairuhusu kusherehekea sikukuu za wengine dini hiyo ni UISLAMU wala hilo halina shaka ,ila ingekuwa umefuatilia angalau ni kwa sababu gani hawasherehekei sikukuu lakini mambo mengine wanasaidiana ungepata jibu na usingekuja kuandika hapa anyway nikusaidie kukujibia.
Ni hivi imani ya uislamu imeegemea kwenye kumuamini ,kumtegemea na kumuabudu Allah (the almighy) ambaye hakuzaa , hakuzaliwa wala hana mshirika (ushahidi ni kwenye sura ya 112 kwenye quran au surat ikhlas ) . Ukiamini nje ya hapo kwa kujua kabisa inakuwa umefanya shirki na umetoka moja kwa moja nje ya uislamu na ni dhambi kubwa inayoongoza kati ya madhambi makubwa.
Sasa imani ya kikristo imebase kwenye kumuamini yesu kama ni Mwana wa Mungu au Mungu na christmas (25th december) kama mnavyoamini (though yesu hakuzaliwa 25th ,dec bali siku hii imetokana na sherehe ya kipagani sartunalia ambayo warumi wapagani walikuwa wnasherehekea kuzaliwa Mungu sartun au cronus kwa wagiriki. ambapo mnamo 25 dec ,336 pope julius wa kwanza aliadhimisha rasmi iwe siku ya kuzaliwa yesu effectively incoporating pagan holiday in christianity).
Sasa kama christmas ni siku mnayoamini kuzaliwa Mungu na huyu muislamu haamini kama Mungu anazaliwa je? Atawezaje kuvunja imani yake na kuwa amefanya dhambi kubwa itakayomuondoa kwenye uislamu ili tu awafurahishe wakristo ????? Not a logical move .
Allah (the almighty) inatuambiaje kuhusu ili ndani ya quran? Jibu ni kwenye surat baqara (sura 2:120)
Al-Baqarah 2:120
وَلَن تَرْضَىٰ عَنكَ ٱلْيَهُودُ وَلَا ٱلنَّصَٰرَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْۗ قُلْ إِنَّ هُدَى ٱللَّهِ هُوَ ٱلْهُدَىٰۗ وَلَئِنِ ٱتَّبَعْتَ أَهْوَآءَهُم بَعْدَ ٱلَّذِى جَآءَكَ مِنَ ٱلْعِلْمِۙ مَا لَكَ مِنَ ٱللَّهِ مِن وَلِىٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.
Watu tusome dini zetu ILI TUFUNGUKE KIFIKRA TUSIJE PELEKESHWA PELEKESHWA .
Mods huu uzi unganisha na ule wa katazo la vyama vya siasa kupiga kampeni.
Cc Smart911Mambo yao waachie wenyewe.
Mkuu tupiako basi picha full ya NifahThe bold hana hela....Nifah kaona ajiongeze mapema. wanawake wa jf wote ni wasimbe kasoro Faizafoxy na Dada Heaven sent.
Wengine wote wadangaji tuu.
Endelea kula mtori boss. Nyama utazikuta chini.Mkuu tupiako basi picha full ya Nifah
Hakika...Hayanaga muongozo
Mnataka tu kutukandamiza[emoji1787]Kiafrika na kiutamaduni, resources nyingi zilizotumika naamini ni za bwana mdogo, outings, misosi, zawadi kubwa kubwa...au nadanganya queen?
Mabikra wenyewe wapo basi?!Kwenu;
Mapenzi ni ishu mtambuka, siku roho inapoumizwa ndo utajua dunia ilivyo.
Siku hiyo utaona kila kitu kinakuelemea, dunia yote ni chungu, ni kama umefiwa vile, ni upweke ulioje.
Maono yangu, kama ni mwanamke ameachwa ni hasara kubwa sana, tufanye mfano ametumika tokea akiwa binti mbichi, yawezekana hata bikra ametolewa na hiyo njemba, halafu inamuacha ghafla tu, itamuumiza sana.
Njemba imekutoa bikra, imetanua papuchi, una miaka zaidi ya 30, kumpata mtu sahihi ni ngumu, mwanamme gani atakubali kuchukua kitu iliyozeeshwa.
Ila mwanamme yeye ni ngoma mdundo, hata awe na miaka 40 bado atampata tu binti mbichi, na tena bikra.
Halafu hii kitu ya kuishi na kutaka kuoana dini mbili tofauti ni mbaya mno, mwanamke au mwanamme umekosa mtu sahihi kwenye dini yako?, tuzipende dini zetu. Tusiuze dini zetu kwa kigezo cha mali.
Tafakuri.
Ukweli uanujua, jamaa kama alifaidi inatosha.😅 Sio kila mahusiano yanaishia kwenye ndoaMnataka tu kutukandamiza[emoji1787]
wa anta jazakallah khairanMaashaAllah MashaAllah sheikh, baarakallahu fiik!
Now you know.Mimi sihitaji kujua ni dini gani wala haya maelezo sitaki. Wala sikutaja dini ya MTU.
Sawa ila miaka 7 mingi aisee, personally enzi hizo miezi 6 nikiona hamna linaloendelea napiga chiniUkweli uanujua, jamaa kama alifaidi inatosha.[emoji28] Sio kila mahusiano yanaishia kwenye ndoa