Kati ya Nifah na The Bold, yupi aliyemuacha mwenzake?

Kati ya Nifah na The Bold, yupi aliyemuacha mwenzake?

Kwenu;

Mapenzi ni ishu mtambuka, siku roho inapoumizwa ndo utajua dunia ilivyo.

Siku hiyo utaona kila kitu kinakuelemea, dunia yote ni chungu, ni kama umefiwa vile, ni upweke ulioje.

Maono yangu, kama ni mwanamke ameachwa ni hasara kubwa sana, tufanye mfano ametumika tokea akiwa binti mbichi, yawezekana hata bikra ametolewa na hiyo njemba, halafu inamuacha ghafla tu, itamuumiza sana.

Njemba imekutoa bikra, imetanua papuchi, una miaka zaidi ya 30, kumpata mtu sahihi ni ngumu, mwanamme gani atakubali kuchukua kitu iliyozeeshwa.

Ila mwanamme yeye ni ngoma mdundo, hata awe na miaka 40 bado atampata tu binti mbichi, na tena bikra.

Halafu hii kitu ya kuishi na kutaka kuoana dini mbili tofauti ni mbaya mno, mwanamke au mwanamme umekosa mtu sahihi kwenye dini yako?, tuzipende dini zetu. Tusiuze dini zetu kwa kigezo cha mali.

Tafakuri.

Hiyo ni miaka yao au umekadilia?
 
Hizi Dini unazosemea ni Hizi hizi tulizoletewa na wazungu?? Au Kuna zingine??

Wachana na Maswala ya Dini, Turudi enzi zetu za Matambiko na dini za asili.
Hakuna dini imeletwa na mzungu, huko unakopasemea utapotoka mzee, dini ameleta mungu.
 
Kwa hiyo wadada wa kiislam tusiwaweke mkuu? Hem acheni kutunyima fursa, wao wakitaka tuwanyime?
Dini zote hizi islam, christianity na judaism zimekataza zinaa kiujumla na si kwamba mtu akiwa muislam ndiyo hatendi dhambi ndiyo maana mlango wa toba ukawepo SHIDA NI KUIHALALISHA HIYO DHAMBI yaani imefikia hatua watu wanachukulia zinaa kama kunywa maji tu.

MDIYO MAANA NIKASEMA WATU TUSOME DINI ZETU na nyongeza TUFANYE IBADA ILI MAMBO KAMA HAYO TUYAEPUKE KIURAHISI.
 
Back
Top Bottom