Kati ya Nissan Patrol vs Toyota VX vs Range Rover: Ipi ni the best SUV? Maoni pls

Kati ya Nissan Patrol vs Toyota VX vs Range Rover: Ipi ni the best SUV? Maoni pls

Mdau wa Jukwaa ni vizuri kudeeal na facts kulko mahaba yasio na justifiable facts. Sitatumia sana energy kupangua claim zako kua Land cruiser ni bora Kulko Range rover as it seems tayari una ur own conclusion huitaji facts au kukubali reality. By the way what is ur known definition kati ya turbocharge na twin turbo? unajua maana ya the word TWIN.

Alafu elewa kitu kimoja izo turbocharger,supercharger na twinturbo unawezakufunga hata kwenye corola au starlet coz siku izi kuna turbocharger,supercharger na twintubo for normal cars,mm nawajua washikaj fulan wanafunga turbo tofaut hapa bongo kwa bei nzur, kama unagari wapelekee wambie wakuwekee supercharger utafulai jinsi kitu kitakavyo chomoka
 
Alafu elewa kitu kimoja izo turbocharger,supercharger na twinturbo unawezakufunga hata kwenye corola au starlet coz siku izi kuna turbocharger,supercharger na twintubo for normal cars,mm nawajua washikaj fulan wanafunga turbo tofaut hapa bongo kwa bei nzur, kama unagari wapelekee wambie wakuwekee supercharger utafulai jinsi kitu kitakavyo chomoka

Nimeipenda hii
 
Alafu elewa kitu kimoja izo turbocharger,supercharger na twinturbo unawezakufunga hata kwenye corola au starlet coz siku izi kuna turbocharger,supercharger na twintubo for normal cars,mm nawajua washikaj fulan wanafunga turbo tofaut hapa bongo kwa bei nzur, kama unagari wapelekee wambie wakuwekee supercharger utafulai jinsi kitu kitakavyo chomoka

Mambo si haya sasa yanafunguka hebu weka adress mkuu kuna watu hizi mambo ndio zinawapa raha . . . .
 
Jamaa yangu hilo jiko la V8 5.6 haliwezi sogelea kabisa jiko la Kilimo kwanza
popote itakapopita VX-V8 Petrol hakuna mnyama atafuata kunusa vumbi au kuona hata taa zake iwe offroad au onroad
kwani ina Horsepower kubwa na Torque kubwa bado barabarani linatulia na ulifukuzapo kwa vigari km RR au NISSAN mzunguko wako wa injini (RPM) utakuonesha injini inavyoumia na humsogelei labda VX-V8 ATAKE MWENYEWE

Mkuu, hivi nikiwa na ka Subaru kangu siwezi kuona hata vumbi lake? Maana unanitisha.
 
Mkuu tupo pamoja! Kwa range sipindui iwe ya kinduu au kike hayo ni makelele tu! Akipita Range Rover hata asiyejua gari lazima aitolee macho! Range tamu has a muungurumo wake,tatizo wabongo mnafikiri kila gari inatengenezwa kwa kuangalia njia zenu! Range si ya vjjn,hii gari kwake lami utaipenda! Kila mtengenezaji huwa anaangalia
soko lake ,sisi huku ubishi tu ,range kwa kwenda kwetu Tarime tena kijijini Nyarero sijui Nyamongo utaitesa tu. Range ni tamu kweli, naomba kiwanda kisife mpaka ninunue yangu!

Hilo gari Mkuu acha tu,manufacturer kakomesha mbaya,ukija kwenye VOGUE kisu,SPORT ndio usintanie kabisa,ndio maana hata masuperstar mbele wanapush mandinga haya, na brand zingine kama HUMMER,LAMBOGRIN,BUGGATI,etc,huwakuti wakipush mi-land cruiser aisee
 
wakuu...itapendeza sana kama mtu akishamaliza kuisifia gari anayoiamini amalizie pointi zake kwa kuelezea uhusiano alionao na gari husika...mfano...sifia gari hiyo gari weeee mwisho sema...mimi ninayo range rover ya kwangu....mwingine aseme....vx v8 kiboko bana..mimi ni dereva wa mheshimiwa flani....mwingine aseme...nakuambia hakuna kama nissan patrol...mimi ni fundi gereji wa dt dobie.... maana kuna wengine wanasifia vitu kwa kuviona rodini kama mimi! sawa jamani?haya twende kazini sasa:smile-big::smile-big::smile-big:
 
hahahahahah! umenifurahisha! kwaiyo unapima nguvu ya gari kwasababu ililipita ulivyokuwa unasafiri!nyinyi ndio mnasemaga basi fulani linakimbia sana kuliko lingine kwasababu 2lilipita tulipokuwa tunasafiri! unapima gari kama linakimbia kwa kucheki accelation yake kutoka 0-100km/h. SASA CHEKI ACCELATION ZA IYO DISCOVARY 4 YAKO NA LAND CRUISER
DISCOVARY 4 (2013) 3.0 TDV6 0-100Km/h ni 9.60sec WAKATI LAND CRUISER VX V8 (2013) 0-100Km/h ni 8.4sec. acha story za zamani za kitoto

sawa mkubwa...kama umewahi kusafiri kuna watu wanapenda ligi ndio huyo mwenye vx alichokuwa anataka ila alichemsha.
na hio 0-100kph ni mbio za kuanzia ambapo gari zenye engine kubwa mara nyingi zinakuwa superior na wala sio kipimo cha max speed ya gari,kukimbia kwa gari kunapimwa na max speed ambayo gari inaweza kwenda.

kuna vx v8 zina 240kph nyingine zina 180kph,hizi zote 0-100kph ni hizo sekunde ulizoweka hapo,sasa mimi binafsi nina european beast yenye 160MPH or 260KPH sasa hii engine yake ni cc2500 0-100kph obvious hizo vx zitakuwa superior lakini kwenye long distance hamna vx wala gx inanisumbua hata siku moja labda aanze kuruka matuta yenu hayo kama ya viazi ila lami kwa lami atasoma namba tu
 
wakuu...itapendeza sana kama mtu akishamaliza kuisifia gari anayoiamini amalizie pointi zake kwa kuelezea uhusiano alionao na gari husika...mfano...sifia gari hiyo gari weeee mwisho sema...mimi ninayo range rover ya kwangu....mwingine aseme....vx v8 kiboko bana..mimi ni dereva wa mheshimiwa flani....mwingine aseme...nakuambia hakuna kama nissan patrol...mimi ni fundi gereji wa dt dobie.... maana kuna wengine wanasifia vitu kwa kuviona rodini kama mimi! sawa jamani?haya twende kazini sasa:smile-big::smile-big::smile-big:

mimi fundi magari huwa nazitest sana.
 
rrondo nakuunga mkono..kuwa v8 or v6 cyo sababu ya moja kwa moja..kuna additional accessories engine tuneups zinaweza fanya hata gari ya cylinder nne kuwa balaa kuliko v8...cheki nissan gtr35 a v6 car ila hamna v8 toyota ya kuisumbua kwenye normal road

kuna mambo mengi....kubwa ni weight to power ratio, vinginevyo malori au bulldozers yangekuwa fastest maanake yana nguvu ajabu!!
 
Kwa umbo hazivutii ila wanafanya customization ndani zinakuwa kali sana tu, niliongea na mmiliki mmoja anasema yake ni Piston tano ila ina power ya ajabu sana haswa kwenye mazingira magumu anayo pia X5 ila kwa mujibu wake anasema Hummer ni mashine kuliko gari

RRONDO, t blj

that thing is DAMN UGLY[my opinion].....haina chochote kizuri,big engine lakini very slow ukifananisha na SUV nyingine, bad handling like a tank! in short kama hujui gari ndio utanunua HUMMER!!!!!
 
that thing is DAMN UGLY[my opinion].....haina chochote kizuri,big engine lakini very slow ukifananisha na SUV nyingine, bad handling like a tank! in short kama hujui gari ndio utanunua HUMMER!!!!!

Hummer ni kwa ajili ya showoffs
 
wakuu...itapendeza sana kama mtu akishamaliza kuisifia gari anayoiamini amalizie pointi zake kwa kuelezea uhusiano alionao na gari husika...mfano...sifia gari hiyo gari weeee mwisho sema...mimi ninayo range rover ya kwangu....mwingine aseme....vx v8 kiboko bana..mimi ni dereva wa mheshimiwa flani....mwingine aseme...nakuambia hakuna kama nissan patrol...mimi ni fundi gereji wa dt dobie.... maana kuna wengine wanasifia vitu kwa kuviona rodini kama mimi! sawa jamani?haya twende kazini sasa:smile-big::smile-big::smile-big:
Umeongea kiutani hivi lakini hoja inamantiki.
 
Back
Top Bottom