TGInnocent
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 1,088
- 582
Mkoloni aliiacha Tanganyika sio Tanzania, ukifuata umakini basi Masoud hapa kachemka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipanya ni legend kaanza longtime na bado anawakilisha, huyo Said nimeanza kumsikia hivi karibun. Anyway, what abt Nathan Mpangala?
Huenda pengine wachoraji hawa hawajijui! Said Michael amespesholaiz caricature na Masoud Kipanya kaspesholaiz katuni.
Caricature na katuni zinatofautiana sana. Caricature ni kuchora watu halisi, kwa nia ya kuwakejeli/kutania. Said Michael is a talented caricaturist, na Masoud ni expert wa general cartoons.
Hizi hapa chini ni baadhi ya caricature za Said Michael:
View attachment 229993View attachment 229994
Hata Said Michael anajua kuwa Masoud Kipanya anaogopesha katika tasnia ya katuni Tanzania. Lakini top ni James Gayo wa Kingo ambaye haandiki hata neno moja
Huwezi kuwalinganisha kirahisi kwa kua hawapo kwenye level ground.View attachment 229825View attachment 229827
Said Michael Wa kudata
View attachment 229829View attachment 229830
Masoud Kipanya
Huenda pengine wachoraji hawa hawajijui! Said Michael amespesholaiz caricature na Masoud Kipanya kaspesholaiz katuni.
Caricature na katuni zinatofautiana sana. Caricature ni kuchora watu halisi, kwa nia ya kuwakejeli/kutania. Said Michael is a talented caricaturist, na Masoud ni expert wa general cartoons.
Hizi hapa chini ni baadhi ya caricature za Said Michael:
View attachment 229993View attachment 229994
Hata Said Michael anajua kuwa Masoud Kipanya anaogopesha katika tasnia ya katuni Tanzania. Lakini top ni James Gayo wa Kingo ambaye haandiki hata neno moja
Mkuu umemaliza kabisa. Watu walikuwa wanajadili bila kuwa na elimu ya katuni. Kama ulivyosema kila mmoja ni bora katika aina ya uchoraji wake.Huenda pengine wachoraji hawa hawajijui! Said Michael amespesholaiz caricature na Masoud Kipanya kaspesholaiz katuni.
Caricature na katuni zinatofautiana sana. Caricature ni kuchora watu halisi, kwa nia ya kuwakejeli/kutania. Said Michael is a talented caricaturist, na Masoud ni expert wa general cartoons.
Hizi hapa chini ni baadhi ya caricature za Said Michael:
View attachment 229993View attachment 229994