Kati ya Said Michael na Masoud Kipanya, Nani mkali kwenye Katuni za uchambuzi?

Kati ya Said Michael na Masoud Kipanya, Nani mkali kwenye Katuni za uchambuzi?

attachment.php

Kipanya habari nyingine! Akili zake zinamtosha(ga) mwenyewe
 
Unafananishaje watu wa viwango visivyokaribiana!! Huyu Saidi mvivu anakata picha za nyuso magazetini na kubandika na hana ubongo wa kuchambua kumkaribia Masoud, ni mvivu wa vidole na ubongo.
 
Back
Top Bottom