Kati ya single mama na Asiekuwa na mtoto Nani anafaa

Kifupi wewe na huyo moyo wako plus huyo singo maza wote ni maboya.......

Na wewe kama boya mkuu nakuambia once it comes to marriage mwanaume hatumii moyo anatumia akili kuamua amuoe nani na amuache nani. Sawa boya mkuu
 
Huu ushauri wa chini ndio ulitakiwa umpe, ukimwambia mwanaume asikilize moyo unampoteza, mwanaume yake akili, mambo ya moyo ni wanawake.
 
Baki na Linda, Prisca mambo yake muachie mwenyewe...
 
una sehemu unapendwa na una sehemu uliumizwa lakini inaelekea umeamua kuchagua maumivu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…