Kati ya Songea na Singida ni mkoa upi mzuri kwa mtu anaetaka kuishi na kujishuhurisha na ufugaji na kilimo?

Mara mia uende singida coz iko jirani na miji mikubwa ya soko kama Dar Arusha,mwanza na Dom,,pili ni transit,,Ruvuma hata ulime au ufuge hakuna soko,dar iko mbali,pili miundombinu ya barabara na umeme ni shida ,mwisho iko kanda ya kilimo hakuna mzunguko wa pesa,
Last hata ukilinganisha maendeleo na ukuaji wa miji hii Singida iko mbele ya Dar
 
Dah we mjumbe Safi sana umeeleza facts yaani nimependa
Binafsi hili suala la kuwekeza katika sekta ya kilimo inakuna sana nilikuwa najiuliza niende wapi nikajichimbie huko hata kama ni kijijini sana mi niko poa kabisa, naanza kupata mwanga na nilifocus sana RUVUMA kulingana na hali ya hewa ya kule na mazingira ya soko baada ya kuzalisha. Miki nipo Iringa ila nikilinganisha hali ya hewa ya hapa ni nzuri sana but in my opinion naona si poa sana kwa ufugaji wa kuku maana ni baridi ila kama wapo watakao nishauri kubaki hapa na wakanipa muongozo itakuwa poa pia
 
Upon iringa sehem gani?
 
Povu wa huko Songea naona walishakula na kutafuna ndugu zako nini? Maana huko nasikia nyie wa Mara mkienda na wake zenu wakikunwa kidogo na wangoni wanaanza kuwadharau, Nasikia wangoni ni Expert wa kukamua papuchi
 
Mkuu nenda singida, kwa ufugaji wa kuku utafauru mi mwenyewe mwezi kama miwili mbele ntakua na Safari yakwenda huko nataka nikawe mkulima na mfugaji mpaka kieleweke.
 
Singida kuna kuku wengi wa kienyeji halafu bei rahisi lakini kati ya mkoa wa Singida na Ruvuma kwa kuishi na kufanya shughuli za kilimo ni bora uende Songea. Singida ni kukame sana kuliko Ruvuma
Nyie kumbe hamjui, bora singida ili usafirishaji kwenda makao makuu ya nchi hata mwanza ni rahisi sana , sasa huko ruvuma au awe anauza msumbiji?
 
Ati??
 
Sio ati soma uelewe,kwa hoja hizo hapo 100 times Singida kuliko Songea,hata mji wa Singida ni mkubwa na unaendeleaj kuliko songea
Tatizo limeanzia kwa " singida kuwa mbele ya dar". Soma vizur mpaka mwisho
 
Mkuu pole nmekuambia soma post yako ya kwanza mpaka jamaa akauliza Ati?
Mwishon umemalizia singida ipo mbele ya dar. Jaribu kurudia halafu tuambie kuwa ulikosea au thibitisha kuwa singida ipo mbele kwa dar
 
Soma hii post niliyo-quote mwishon umesema hata kimaendeleo singida ipo mbele ya dar
 
Unit cost of production ni kubwa huko Songea kwa peasant unless ww ni large scale farmer
Barabara sio hoja hata rukwa au mbeya kuna barabara lakini kilimo hakijawa na tija kwa mkulima mdogo sababu ya soko kuwa mbali so madalali ndo mnawafanyia kazi
Better Morogoro kama ishu ni kilimo,songea hakuna soko huko
 
 
Mkuu pole nmekuambia soma post yako ya kwanza mpaka jamaa akauliza Ati?
Mwishon umemalizia singida ipo mbele ya dar. Jaribu kurudia halafu tuambie kuwa ulikosea au thibitisha kuwa singida ipo mbele kwa dar
ooh true,typing error ps alipitiwa,nilikuwa namaanisha Singida inakua kwa kasi na iko mbele ya Songea not Dar
 
ooh true,typing error ps alipitiwa,nilikuwa namaanisha Singida inakua kwa kasi na iko mbele ya Songea not Dar
Hapo sawa mkuu!. Ok nashukuru sana kwa mawazo yenu yananijenga na kunipa changamoto za kutosha kuweza kufanya maamuzi.
Mungu awabariki na bado napata challenges
 
Kiukweli Mimi nilikuaga najua Dar ndo mambo yote... Mwaka Jana nilienda Singida kupiga kazi flani for around 5 months.. Kazi imeisha lakini nimejikuta safari za Singida haziishi, sio kufanya kazi kama ile niliokwenda kuifanya mwanzo, Bali michakato ya kiujasiliamali.... Kuanzia kwenye Kuku wa kienyeji, mafuta ya alizeti, Asali mpaka Vitunguu... Usipoamua kuchuuza hizo bidhaa, basi Lima au fuga kabisa.... Nenda Singida Mzee baba..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…