Kati ya Songea na Singida ni mkoa upi mzuri kwa mtu anaetaka kuishi na kujishuhurisha na ufugaji na kilimo?

Bro samahani ni mgao Kijiji au mgao wa mashamba je mbeya walima nini
 
Bro ww mchanganyiko wako wa wazaz upo kama mie but mie dingi rufiji mama ndo huko mara musoma vijijini majita, bro nimeitikia zao la korosho huku mtwara na ndio mara ya kwanza nafika mtwara wilaya ya tandahimba aisee si mchezo utajiri wa ardhi upo huku na huku watu wamelala bado karibu mtwara ila mie nimekuja kuwekeza tu makazi yangu ni dar
 
Nenda pm pls
 
Naishi Singida karibu sana kama una lengo la kufuga kuku aisee huku ndo penyewe njoo pm nikupe full data za singida
Hizo data huwezi kuziweka hapa ili na wengine wakafaudu? Mijitu mingine ikoje lakini? Au unajimbilia pm ili ukatongozwe?
 
Hakuna soko lakitu gani mkuu? Na kwanini production cost iko juu?
Unaongea kimakaratasi zaidi au wewe ni mkulima?
 
Nipo njian kuelekea huko kufanya physical verification nadhan ntakuja na jibu zur zaid
 
Tatizo lingine la Ruvuma bila mbolea huvuni chochote! Mikoa ambayo iko vizuri kwa kilimo na ufugaji ni Kigoma, Rukwa, Katavi, Lindi, Mtwara, Kagera (mvua za uhakika lakini watu wamelala usingizi wa pono).
 
Nenda songea kilimo kikikulipa nenda singida kale bata kuna totoz wa ukweli
 
Nipo njian kuelekea huko kufanya physical verification nadhan ntakuja na jibu zur zaid
Ukitoka huko Mkuu pitia na Katavi, Rukwa, uje utokee Kigoma wilaya za Kasulu na Kibondo wakati unarudi kwenu ndipo ufanye ulinganifu kwa usahihi!
 
Songea.
Singida kuna kaukame fuani hivi, ambako tofauti yake ni ndogo sana na Dodoma
 
Ukitoka huko Mkuu pitia na Katavi, Rukwa, uje utokee Kigoma wilaya za Kasulu na Kibondo wakati unarudi kwenu ndipo ufanye ulinganifu kwa usahihi!
Nipo naelekea songea,then lindi mpaka mtwara na ntapitia morogoro kurudi mbeya. Nina wilaya na vijiji ambavyo wadau wameshauri nikajionee fursa huko
 
Hivi wewe unakujua mtwara kweli... Unakujua songea kweli..??! Daah aisee
 
Nani aliwadanganya ruvuma kuna uchawi sana...
[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Safi... We umeelezea uhalisia wa songea... Sina haja ya kulezea tena...umemaliza kila kitu bosd
 
Kwa ufugaji wa kuku nenda Singida, kwa kilimo Ruvuma patakufaa zaidi.
Hauni kwamba sehemu ambayo kuku wapatikana kwa bei juu ndyo ina opportunity kubwa katika ufugaji wa wa kuku... ??! Kafugie kuku songea utapiga mpunga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…