Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha na jiko la Subaru mkuu, hiyo habari nyingine kabisa.
Hapo mkuu unaongelea mnyama wa safari ndefu na gari ya kuendea disco.Kwa hiyo mkuu gx ikasome sana co? Vp kuhu starlet glanza sport unaiongeleaje??
Jamani naomben kujua,btn subaru forester and toyota gx100 ..ipi ni mnyama barabarani??
inategemea tu.....nshapiga league na Subaru forester Namanga road alinyoosha mikono....gx 100 no Norma wakuu....
Jamani naomben kujua,btn subaru forester and toyota gx100 ..ipi ni mnyama barabarani??
subaru ni kitu cha arusha
Subaru mbele ya Gx100 ni sawa na kuilinganisha JF na blog ya Michuzi
GX10o kwa Subaru kweli Subaru ipo juu but mwanaume wa wanaume road ni Altezza Kama unataka ligi na kufa barabarani mdomo wazi........ Hata v8 ikikaa vibaya itaona vumbi.
Mkuu hivi rally A-town zimepotelea wapi? nakumbuka kila nanenane kulikuwa na rally.. Navraj Hans alikuwa anapeperusha bendera ya Arusha vilivyo akiwa na subaru imprezza..
GX10o kwa Subaru kweli Subaru ipo juu but mwanaume wa wanaume road ni Altezza Kama unataka ligi na kufa barabarani mdomo wazi........ Hata v8 ikikaa vibaya itaona vumbi.