Kati ya Subaru Forester and Toyota GX100 ipi ni mnyama barabarani?

Kati ya Subaru Forester and Toyota GX100 ipi ni mnyama barabarani?

Hizo gari zote hazifiki kwa nissan primera sport

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Kaka una masihara, hakuna mtu analinganishaga Subaru na Toyota, Forester league yake ni Mitsubish Evo na wenzake, primera hakuna kitu kaka!
 
Last edited by a moderator:
hio subaru forester ni noma kulinganisha na gari mlizoendesha,kuna magari hio subaru inapitwa kama imesimama...

subaru forester:
-engine size 1994cc
-0-100km/h 8.4sec
-top speed 180km/hr

sasa linganisha na magari ya kawaida tu hapo chini

vw golf gti
-engine size 2000cc
-0-100km/h 7.7
-top speed 240km/h[i can assure you,inamaliza huu mwendo]

bmw m3
-engine size 3000cc
-0-100km/h 4.8sec
-top speed 260km/h[2008-present model top speed ni 320km/h]

volvo s60T
-engine size 2000cc
-0-100km/h 8.5sec
-top speed 240km/h

bmw 523i
-engine size 2500cc
-0-100km 7.9sec
-top speed 260km/hr

gari ya subaru inayoweza kuyaacha magari ya hapo juu ni SUBARU IMPREZA TURBO UK SPECIFICATION[siyo ya japan coz ina top speed 180km/h

WRX STI
-engine size 2000cc
-0-100km/hr 5.3sec
-top speed 260km/h

WR1 STI
-engine size 2000cc
-0-100km/h 4.1sec
-top speed 260km/h

Naendesha moja ya european cars hapo juu subaru forester zote za bongo hazinisumbui hata kidogo,highway au kitaa,....machine yangu inakwenda 155MPH ambayo ni around 260km/h........
 
hio subaru forester ni noma kulinganisha na gari mlizoendesha,kuna magari hio subaru inapitwa kama imesimama...

subaru forester:
-engine size 1994cc
-0-100km/h 8.4sec
-top speed 180km/hr

sasa linganisha na magari ya kawaida tu hapo chini

vw golf gti
-engine size 2000cc
-0-100km/h 7.7
-top speed 240km/h[i can assure you,inamaliza huu mwendo]

bmw m3
-engine size 3000cc
-0-100km/h 4.8sec
-top speed 260km/h[2008-present model top speed ni 320km/h]

volvo s60T
-engine size 2000cc
-0-100km/h 8.5sec
-top speed 240km/h

bmw 523i
-engine size 2500cc
-0-100km 7.9sec
-top speed 260km/hr

gari ya subaru inayoweza kuyaacha magari ya hapo juu ni SUBARU IMPREZA TURBO UK SPECIFICATION[siyo ya japan coz ina top speed 180km/h

WRX STI
-engine size 2000cc
-0-100km/hr 5.3sec
-top speed 260km/h

WR1 STI
-engine size 2000cc
-0-100km/h 4.1sec
-top speed 260km/h

Naendesha moja ya european cars hapo juu subaru forester zote za bongo hazinisumbui hata kidogo,highway au kitaa,....machine yangu inakwenda 155MPH ambayo ni around 260km/h........

Umesoma heading ya thread lakini?
 
Umesoma heading ya thread lakini?

nimesoma.....pia kwenye thread watu wanazungumzia forester kama ndio mwisho....vile vile hata forester vs gx100 tofauti ni ndogo sana sio kama watu wanavyofikri....zote zina top speed 180km/hr....forester[yenye TURBO] inaizidi gx100 kwenye kufikisha 100km/h kwa sekunde 2/3 ambazo ni negligible....kama haina TURBO ziko sawa tu
 
hio subaru forester ni noma kulinganisha na gari mlizoendesha,kuna magari hio subaru inapitwa kama imesimama...

subaru forester:
-engine size 1994cc
-0-100km/h 8.4sec
-top speed 180km/hr

sasa linganisha na magari ya kawaida tu hapo chini

vw golf gti
-engine size 2000cc
-0-100km/h 7.7
-top speed 240km/h[i can assure you,inamaliza huu mwendo]

bmw m3
-engine size 3000cc
-0-100km/h 4.8sec
-top speed 260km/h[2008-present model top speed ni 320km/h]

volvo s60T
-engine size 2000cc
-0-100km/h 8.5sec
-top speed 240km/h

bmw 523i
-engine size 2500cc
-0-100km 7.9sec
-top speed 260km/hr

gari ya subaru inayoweza kuyaacha magari ya hapo juu ni SUBARU IMPREZA TURBO UK SPECIFICATION[siyo ya japan coz ina top speed 180km/h

WRX STI
-engine size 2000cc
-0-100km/hr 5.3sec
-top speed 260km/h

WR1 STI
-engine size 2000cc
-0-100km/h 4.1sec
-top speed 260km/h

Naendesha moja ya european cars hapo juu subaru forester zote za bongo hazinisumbui hata kidogo,highway au kitaa,....machine yangu inakwenda 155MPH ambayo ni around 260km/h........
mkuu hapo kwenye BMW naweza kukuunga mkono.
 
mkuu hapo kwenye BMW naweza kukuunga mkono.

tatizo la watu wengi walikuwa wanaendesha toyota/nissan then wanaingia kwenye subaru wanaona ndio mwisho,jaribuni bmw/vw golf/merc amg/volvo/jaguar muone 240km/hr ikoje......ila SUBARU IMPREZA WRX STI UK SPEC naivulia kofia,sio subaru za kubandika badge za WRX STI zilizojaa bongo.
 
mkuu umenikumbusha mbali sana sana sana Hans was my favourate,nilikuwa napenda kukaa kipleft cha florida nimuone anvyoshuka kutoka mianzini akipambana na kina shamsi, lukumay na wengine.siku hizi hakuna burudani tubaki kunywa pombe,wanawake na kuangalia porno so saad!hapo ndipo nilipoipenda na kijua subaru.

Kipindi kile mimi pia nilikua mpenzi sana na Rally, nakumbuka Baba D, Papa king walikua wanamajina sana kwa upande wa watu weusi ukiwatoa wahindi na waarabu kwenye rally Arusha, binafsi nakumbuka nilikua nahakikisha hakuna rally inanipita Arusha.. Naamini kabisa kifo cha Omary Bhakresa kule Zanzibar akiwa na Subaru N12 mpya kabisa kipindi kile kimepelekea kupotea kwa Rally country-wise.. kuna rally Bhakressa na team yake alikuja A-town kwenye rally wakaja na Hummer na rally ilivyokwisha wakapakiza hummer yao kwenye "semi" wakarudi dar.. I miss rally i used to be a great fan..
 
tatizo la watu wengi walikuwa wanaendesha toyota/nissan then wanaingia kwenye subaru wanaona ndio mwisho,jaribuni bmw/vw golf/merc amg/volvo/jaguar muone 240km/hr ikoje......ila SUBARU IMPREZA WRX STI UK SPEC naivulia kofia,sio subaru za kubandika badge za WRX STI zilizojaa bongo.

Ukiona mtu kabandika ujue nibishoo, lakini mbona zipo kibao bongo, na sku hizi tuna manguli maspecialist wa subaru wanajua kutune mpaka utashangaa! Chama hiki hapa utaona vitu vingi vya ukweli: https://www.facebook.com/groups/13243860283/
 
nimesoma.....pia kwenye thread watu wanazungumzia forester kama ndio mwisho....vile vile hata forester vs gx100 tofauti ni ndogo sana sio kama watu wanavyofikri....zote zina top speed 180km/hr....forester[yenye TURBO] inaizidi gx100 kwenye kufikisha 100km/h kwa sekunde 2/3 ambazo ni negligible....kama haina TURBO ziko sawa tu

Ni kweli mkuu, forester haiwezi kuwa mwisho hata kidogo, ila katika kundi lake its one of the best. Tunapolinganisha magari lazima tuyaweke kwenye makundi, hata hivyo mwisho wa siku utakuja kuona winning a race is not all about top speed, na wala gari kuwa na cc nyingi hainaanishi ndiyo mbabe wao, nadhani unaelewa hilo kaka.
 
Ni kweli mkuu, forester haiwezi kuwa mwisho hata kidogo, ila katika kundi lake its one of the best. Tunapolinganisha magari lazima tuyaweke kwenye makundi, hata hivyo mwisho wa siku utakuja kuona winning a race is not all about top speed, na wala gari kuwa na cc nyingi hainaanishi ndiyo mbabe wao, nadhani unaelewa hilo kaka.

nakubaliana na wewe kabisa.
 
huwa naziona...kuna wahindi wachache wanazo latest model kabisa.....so what do exactly tune???fixing huge spoiler??[/QUOTE]

Hahahhaa, hapana mkuu!
Mkuu, tuning ni somo refu na linainvolve mambo mengi kutegemea na mtu anataka kuachieve kiasi gani, kiukweli engeneer anaweza kufanya mambo mengi sana kwenye gari yako kuimprove perfomance, limit ni mfuko wako tu. Kuanzia kwenye kubadili stock parts kuweka high tech racing parts ambazo kikawaida ni expensive. Kuanzia kwenye Air intake, exhaust system, racing tyres, turbo kubwa zaidi mpaka kwenye engine reprogramming! Ndiyo maana unakuta mtu anaingia kwenye race na gari model ya nyuma kabsa anashindana na watu wenye mashine za kisasa!
 
nimesoma.....pia kwenye thread watu wanazungumzia forester kama ndio mwisho....vile vile hata forester vs gx100 tofauti ni ndogo sana sio kama watu wanavyofikri....zote zina top speed 180km/hr....forester[yenye TURBO] inaizidi gx100 kwenye kufikisha 100km/h kwa sekunde 2/3 ambazo ni negligible....kama haina TURBO ziko sawa tu

it takes more than engine capacity and torque to accelerate with a high speed

they have to be compensated with balance and stability as well..

Either ways whenever mentioning TURBO...the whole story changes
 
huwa naziona...kuna wahindi wachache wanazo latest model kabisa.....so what do exactly tune???fixing huge spoiler??[/QUOTE]

Hahahhaa, hapana mkuu!
Mkuu, tuning ni somo refu na linainvolve mambo mengi kutegemea na mtu anataka kuachieve kiasi gani, kiukweli engeneer anaweza kufanya mambo mengi sana kwenye gari yako kuimprove perfomance, limit ni mfuko wako tu. Kuanzia kwenye kubadili stock parts kuweka high tech racing parts ambazo kikawaida ni expensive. Kuanzia kwenye Air intake, exhaust system, racing tyres, turbo kubwa zaidi mpaka kwenye engine reprogramming! Ndiyo maana unakuta mtu anaingia kwenye race na gari model ya nyuma kabsa anashindana na watu wenye mashine za kisasa!

hayo ndio nilitaka nijue kama mna mafundi wanafanya hivi hongereni.......wengine wakiweka spoiler na stainless steel exhaust pipe anaona ana race car
 
it takes more than engine capacity and torque to accelerate with a high speed

they have to be compensated with balance and stability as well..

Either ways whenever mentioning TURBO...the whole story changes

i know....thats why kuna gari ina cc 2000[impreza] inakimbia na ina nguvu kuliko gari nyingi zenye cc zaidi 2000....its all down to fuel/air mixture[intake,hapa ndipo turbo magic inapoonekana],pia weight to power ratio then mambo mengine.
 
i know....thats why kuna gari ina cc 2000[impreza] inakimbia na ina nguvu kuliko gari nyingi zenye cc zaidi 2000....its all down to fuel/air mixture[intake,hapa ndipo turbo magic inapoonekana],pia weight to power ratio then mambo mengine.

Uko sahihi kaka!
 
Back
Top Bottom