ProBook
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 559
- 264
Kwa kweli vita vya tembo nyasi ndo huumia,,sie wengine twajifunza sanaah hapa me naomba kujuzwa swala moja tu hapa especially kwa wale tunaokaa Arusha watoto wa kihindi wanatusumbuaga sanah na forester zao sa mie napenda kujua huwa wanazifanya nini zinakuwa zinatoa ule mlio wa racing cars na zinakuwa kama 'zinacheua' wanapo kanyaga mafuta na kuachia(waliopo Arusha wataelewa hapa) na je kama naweza funga hivyo vifaa kwa my Suzuki Escudo,
Thanx Sanah
Thanx Sanah