Kati ya Subaru Forester and Toyota GX100 ipi ni mnyama barabarani?

Kati ya Subaru Forester and Toyota GX100 ipi ni mnyama barabarani?

Poa mkuu, bado kuna kitu unasahau gear shifting na driver confidence then tena unasahau pulling ya gari. kuwa na 260KPH[160MPH sio kigezo cha pulling ya gari mkuu. thats why unaona kila mwaka SUBARU IMPREZA ina beat kwa sana.

Naweza kukuwekea GT 500 SHELBY yenye CC 2000 but limited to USA SPECS 180KPH[113MPH], still utaona vumbi tuu .

ndugu yangu,sidhani kama ni mgumu wa kuelewa au umeamua kubisha tu....pulling ya gari inatokana na nguvu ya gari....nguvu ya gari inatokana na ukubwa wa engine na few modification kama kuweka TURBO/SUPERCHARGER...sasa wewe na kigari chako cha cc1490 mimi nina 2500cc na ina TURBO mbona unataka kuchekesha.....nimekuelewesha SUBARU WRX zina turbo na ndio maana zina nguvu pmoja na kuwa na cc200 btw SUBARU zinatofautiana WRX zipo kuanzia BHP 160-350[kama unaelwa BHP] im 100% sure kati yenu hamna mwenye WRX yenye BHP 350....wote mnazo znye BHP 160-250 TU.....cha mwisho USA hawajui kutengeneza gari.....zaidi ya BIG SPACE na KULA MAFUTA HAMNA KITU,umesikia wapi racing car ya marekani???
 
Poa mkuu, bado kuna kitu unasahau gear shifting na driver confidence then tena unasahau pulling ya gari. kuwa na 260KPH[160MPH sio kigezo cha pulling ya gari mkuu. thats why unaona kila mwaka SUBARU IMPREZA ina beat kwa sana.

Naweza kukuwekea GT 500 SHELBY yenye CC 2000 but limited to USA SPECS 180KPH[113MPH], still utaona vumbi tuu .

hio SUBARU inabeat nani kila mwaka????unajua WRC???WORLD RALLY CHAMPIONSHIP......angalia katika miaka 15 iliopita SUBARU IMESHINDA MARA NGAPI.......acheni stori za mitaani......inashindwa hata na CITROEN,joke of europe.......

World Rally Championship - Statistics


kwa kuongezea tu SUBARU hawana gari FORMULA 1,hawana gari NASCAR waje huku wajaribu maanake hata WRC imewashinda........
 
hio SUBARU inabeat nani kila mwaka????unajua WRC???WORLD RALLY CHAMPIONSHIP......angalia katika miaka 15 iliopita SUBARU IMESHINDA MARA NGAPI.......acheni stori za mitaani......inashindwa hata na CITROEN,joke of europe.......

World Rally Championship - Statistics


kwa kuongezea tu SUBARU hawana gari FORMULA 1,hawana gari NASCAR waje huku wajaribu maanake hata WRC imewashinda........

Hii ligi kali sana, mi mtazamaji tu endeleeni...
 
Kuna team ilikua inatisha kipindi kile inaitwa stado.jamaa walikuwa noma sana
 
ndugu yangu,sidhani kama ni mgumu wa kuelewa au umeamua kubisha tu....pulling ya gari inatokana na nguvu ya gari....nguvu ya gari inatokana na ukubwa wa engine na few modification kama kuweka TURBO/SUPERCHARGER...sasa wewe na kigari chako cha cc1490 mimi nina 2500cc na ina TURBO mbona unataka kuchekesha.....nimekuelewesha SUBARU WRX zina turbo na ndio maana zina nguvu pmoja na kuwa na cc200 btw SUBARU zinatofautiana WRX zipo kuanzia BHP 160-350[kama unaelwa BHP] im 100% sure kati yenu hamna mwenye WRX yenye BHP 350....wote mnazo znye BHP 160-250 TU.....cha mwisho USA hawajui kutengeneza gari.....zaidi ya BIG SPACE na KULA MAFUTA HAMNA KITU,umesikia wapi racing car ya marekani???


Mkuu hukunielewa punguza jazba tueleweshane, IMPREZA niliyokwambia siyo ya CC 1490. Nakumbuka juzi kati ulinambia nifanye home work yangu vizuri. Kwa hii comment uliyoshusha hapa ngoja nirudi nikaganye home work yangu.
Napata vitu kutoka kwako na nina update my brain on racing cars.

All in all taja hapa your GINGA then nikupe beat yake.
 
hio SUBARU inabeat nani kila mwaka????unajua WRC???WORLD RALLY CHAMPIONSHIP......angalia katika miaka 15 iliopita SUBARU IMESHINDA MARA NGAPI.......acheni stori za mitaani......inashindwa hata na CITROEN,joke of europe.......

World Rally Championship - Statistics


kwa kuongezea tu SUBARU hawana gari FORMULA 1,hawana gari NASCAR waje huku wajaribu maanake hata WRC imewashinda........

Nafanya my home work nitarudi kaka.
 
Nafanya my home work nitarudi kaka.

angalia hizo 2008 WRX[kwenye link below].....zote zina cc2500 lakini moja is more powerful than the other ina 325BHP the other 295BHP......na matokeo yake moja iko quicker than the other[quicker meaning it reaches certain speed quicker than the other,but they have same top speed 260KM/HR(155M/HR).....kwahio usione tu SUBARU WRX 2000cc ukafikiri ndio fastest inaweza kuwa ya mwisho kundini.....je unafikiri kwanini SUBARU hizi zina 260KM/HR na hizo zenu zina 180KM/HR???i guess not to make speedometer bigger.....

Subaru Impreza STi (08-08) Performance - Facts and Figures | Parkers
 
angalia hizo 2008 WRX[kwenye link below].....zote zina cc2500 lakini moja is more powerful than the other ina 325BHP the other 295BHP......na matokeo yake moja iko quicker than the other[quicker meaning it reaches certain speed quicker than the other,but they have same top speed 260KM/HR(155M/HR).....kwahio usione tu SUBARU WRX 2000cc ukafikiri ndio fastest inaweza kuwa ya mwisho kundini.....je unafikiri kwanini SUBARU hizi zina 260KM/HR na hizo zenu zina 180KM/HR???i guess not to make speedometer bigger.....

Subaru Impreza STi (08-08) Performance - Facts and Figures | Parkers

Still hunielewi tuu, kama unakumbuka ulipost picha ukasema jamaa yako anazo zimetoka UK, Me nikakujibu ninayo hiyo ni ya 2008, but tena nikakwambia nina nyingine IMPREZA SPORTS WAGON ya 2005 CC 1490 ajili ya route zangu za kawaida hapa town. Sasa me nashangaa unasahau ila unakomaa na hiyo WAGON ya CC 1490 but unasahau WRX niliyokwambia mwanzo ambazo ulikuwa ukizifanyia udalali.

Mkuu nipm your GINGA then nami nikupe beat yake hapo nadhan topic itafungwa kabisa na INVISIBLE
 
Still hunielewi tuu, kama unakumbuka ulipost picha ukasema jamaa yako anazo zimetoka UK, Me nikakujibu ninayo hiyo ni ya 2008, but tena nikakwambia nina nyingine IMPREZA SPORTS WAGON ya 2005 CC 1490 ajili ya route zangu za kawaida hapa town. Sasa me nashangaa unasahau ila unakomaa na hiyo WAGON ya CC 1490 but unasahau WRX niliyokwambia mwanzo ambazo ulikuwa ukizifanyia udalali.

Mkuu nipm your GINGA then nami nikupe beat yake hapo nadhan topic itafungwa kabisa na INVISIBLE

CYBERTEQ ndio alikwambia zipo from UK......beat zake zipo nyingi tu.....moja ni 2008 SUBARU WRX STI 325BHP,ingine MITSUBISHI EVO 10[Kuna post nimeiweka] mi naendesha 2003 BMW M3
 
DUDE the term M3......says a lot more than gtr,gt,turbo whatever.......M SPORT THREE SERIES.....ukishasema M kwenye BMW thats another BEAST not your average BMW.....kuna M1,M3,M5,M6,X5M,X6M.

Ngoja niendelee na home work kaka, Hongera on that GINGA. Nakuja na mjanja wa hiyo M3
 
hIYO BMW M3 ni GTR au hizi za kawaida?

kama hio...


2003_bmw_m3_convertible-pic-22478.jpeg
 
Subaru noumer kitu cha turbo KUNA SAA GIA KAMA ZINARUKA UNAKANYAGA MIA THEN MIA80 v8 unaziacha kwa mbaalii sembuse hiyo gx 100 mdosho tu huo ukipitwa na Subaru airisha safari
 
sasa mkuu hizi alteza, fielder, vtz, gx 100, gx 110 etc wote watoto tu kwa subaru mkuu

ndo maana yake hiyo fielder nilikuwa namvuta na mia20-140, Tu nilipofika mi60 cjui alipptelea wapi
 
Itafutwe hiyo sehemu i see,halafu mashahidi tutakuwepo,Hivi hakuna Club za magari hapa Tanzania jama???Hii thread ina mvuto wa aina yake,tuifanyie kazi wadau
Dodoma kote kutafuta nini, kama mko serious tutafute barabara ambayo haina magari mmalize ubishi, hata km5 tu zinatosha. Wanaume huwa hawabishani kwa maneno, VITENDO.
 
Barabara nzuri ni namanga road haina gari nyingi
 
Back
Top Bottom