Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Some other wanasema urusi yupo juu na ndo mbabeMkuu usilinganishe USA na hayo matakataka ya Kirusi. Ni Sawa na kulinganisha Toyota Passo na Scania 124
Kwa hiyo Sadam Husein alikuwa na nguvu kuliko USA na NATO? Au tuseme Korea Kaskazini ina nguvu za kijeshi kupita USA na NATO? Unapokuwa na adui kichaa ni lazima kutumia kila mbinu kumkabili ili asikudhuru wewe na wanao. Adui dhaifu yeye hata Kama akirusha bomu la mafuta nyumbani kwako na akatimua mbio na nyumba yako ikaungua,kwake ni ushindi mkubwa. KWA HIYO UNACHOTAKIWA NI KUWEKA FENCE NDEFUUU NA KWENDA JUU NA ULINZI MKALI BOTH ARTIFICIAL AND NATURAL( CCTV CAMERA NK)1.Waulize wazungu kwa nini walianzisha Muungano wa wa kijeshj (NATO Nchi 28+USA tajiri zaidi duniani) dhidi ya nani??
2.Muulize USA kwa nini kila kukicha ananzisha military base za kijeshi kuizunguka Russia
Liliteuliwa na Nani?RUSSIA TAIFA TEULE
1.Waulize wazungu kwa nini walianzisha Muungano wa wa kijeshj (NATO Nchi 28+USA tajiri zaidi duniani) dhidi ya nani??
2.Muulize USA kwa nini kila kukicha ananzisha military base za kijeshi kuizunguka Russia
Sijui kwanini tunaikosea heshima kiasi hiki USA.
Daa!hii ndio maana ya super power sio watu hawaeleweki eti nao ni supa pawa,nooooooo!USA ina military base zaidi ya 700 duniani, ngapi zimeizunguka Urusi??
Wewe unabishana ukiwa upande upi?Wapwa naomba mnisaidie kushinda mabishano
Mimi na warusi wenzangu wa Namtumbo.Liliteuliwa na Nani?
Nenda hata youtube tu andika military power comparison wanakuletea.Wapwa naomba mnisaidie kushinda mabishano,et kati ya mrusi na mmarekan nani ana strong army yenye technologia ya silaha kubwa zaid,nan ana vifaa hatari vya vita,nan mbabe???