Kati ya Urusi na Marekani nani ana nguvu kubwa kijeshi?

Kati ya Urusi na Marekani nani ana nguvu kubwa kijeshi?

angalia tu uhalisia. Urusi inapigana na ukraine. Ukraine ni wazungu toleo la mwisho. sio nchi yenye nguvu kijeshi wala kiuchumi na wana share nae mpaka lakini hadi leo wanahangaika karibia mwaka unataka kupita. Af linganisha na iraq ambao walikua kati ya nchi zenye majeshi makubwa duniani wana uchumi mkubwa na walikua wako mbali na usa yan usa ilibidi asafirishe vifaa na wanajeshi wote kwa meli au ndege kwenda kupigana uwanja wa ugenini lakini hata miezi miwili haijafika usa kashalibomoa jeshi lote la iraq na wamechukua mji mkuu Baghdad. Wamebaki wanapigana na vikundi vidogo vya kigaidi. Urusi unaweza kufananisha na nchi kama hii?

Yaani ww umekurupuka kwanza iraq asimia kubwa ya wananchi walikua hawamtaki sadam,pili nitajie nchi zilizojitokeza kumsupport iraq, tatu nitajie nchi zilizoungana na marekani kumshinda sadam

Ni kama tanzania tulivyoshinda vita ya kagera ni baada ya wananchi wengi wa uganda kusupport wanajeshi wa TZ lakini ingekua tofaut tusingeiweza uganda kirahis
 
mwezi wa 9 sasa tunaenda , walisema saa 72 , bado unahisi ni nguvu za mtandaoni

Kwani hadi saiv unahisi nani ameshinda


Unahisi anaepata hasara nj nani maana kila siku anadundwa
 
Endeleeni tu kujilisha upepo. Tufanye majaribio. Tuweke sanctions kwenye jimbo moja kati ya hayo majimbo manne yenye uchumi mkubwa alafu tuone kama dunia itatingishika kiuchumi kama ilivyotingishika baada yaa kuiwekea Russia sanctions

Dogo usicheze na uchumi wa Russia. Nusu ya rasilimali zote ktk hii dunia zipo Russia
Una tambo za kitoto sana.
 
Aliosababisha machafuko Libya ni nani. Shetani mkuu USA anatumiaga kigezo cha kulinda amani. Huku nyuma ya pazia anatolosha rasilimali za nchi husika. Akishatosheka na wizi, anafanya tukio alafu anasepa
hv Boris angeng'ang'ania madaraka km ASSAD au GHADAF , je UK ingekuwa salama ?
 
Endeleeni tu kujilisha upepo. Tufanye majaribio. Tuweke sanctions kwenye jimbo moja kati ya hayo majimbo manne yenye uchumi mkubwa alafu tuone kama dunia itatingishika kiuchumi kama ilivyotingishika baada yaa kuiwekea Russia sanctions

Dogo usicheze na uchumi wa Russia. Nusu ya rasilimali zote ktk hii dunia zipo Russia
Uchumi mzima wa russia ni budget ya jeshi ya mwaka mmoja ya marekan

Acha bange kenge ww
 
Back
Top Bottom