Kati ya Urusi na Marekani nani ana nguvu kubwa kijeshi?

Aliosababisha machafuko Libya ni nani. Shetani mkuu USA anatumiaga kigezo cha kulinda amani. Huku nyuma ya pazia anatolosha rasilimali za nchi husika. Akishatosheka na wizi, anafanya tukio alafu anasepa
 
1.Waulize wazungu kwa nini walianzisha Muungano wa wa kijeshj (NATO Nchi 28+USA tajiri zaidi duniani) dhidi ya nani??
2.Muulize USA kwa nini kila kukicha ananzisha military base za kijeshi kuizunguka Russia
Hujajibu swali lake
 
Naona mnadaganyika sana na cinema. Mambo ya majeshi yana usiri mkubwa sana. Inasikitisha kuona nyumbu wakibishana mambo ya majeshi kwa kutegemea information zinazopatikana kwenye media kama YouTube
Lete wewe za kwako
 
Wapwa naomba mnisaidie kushinda mabishano, kati ya Mrusi na Mmarekan nani ana strong army yenye technolojia ya silaha kubwa zaidi, nani ana vifaa hatari vya vita, nani mbabe?
Urusi ikiingia marekan n sawa na Jimbo

Marekan ina majimbo manne yenye uchumi mkubwa kuliko Urus
 
Urusi ikiingia marekan n sawa na Jimbo

Marekan ina majimbo manne yenye uchumi mkubwa kuliko Urus
Endeleeni tu kujilisha upepo. Tufanye majaribio. Tuweke sanctions kwenye jimbo moja kati ya hayo majimbo manne yenye uchumi mkubwa alafu tuone kama dunia itatingishika kiuchumi kama ilivyotingishika baada yaa kuiwekea Russia sanctions

Dogo usicheze na uchumi wa Russia. Nusu ya rasilimali zote ktk hii dunia zipo Russia
 
Naona mnadaganyika sana na cinema. Mambo ya majeshi yana usiri mkubwa sana. Inasikitisha kuona nyumbu wakibishana mambo ya majeshi kwa kutegemea information zinazopatikana kwenye media kama YouTube
Hii user name yako mkuu, Pale ulipoandika "Putini bodgurd" ulimaanisha 'Putin bodyguard'?.

Kama ni hivyo, basi kweli wewe utakuwa unazijua za ndani ndani kabisa kuhusu jeshi la Urusi.
Huo mlinganisho ulioko youtube ni moja tu kati ya source nyingi za kuweza kulinganisha, not entirely conclusive!
 

Hao marekani wenyewe wanajua Russia ni nani
 
Nenda hata youtube tu andika military power comparison wanakuletea.

Lazima ujue US nj mabingwa wa propaganda so YouTube ni yao sio kila utakacho kiona ni kweli
Mwanzoni mwa vita vya ukrain biden aliulizwa kama marekani itaingia vitan kuosaidia ukarain
Biden alisema haoni sababu ya kufanya hivyo coz wanadeal na one of the most powerful military in the world
Alaf ww choka mbaya unawachukulia Russia poa
 
Ukitaka kujua USA ndio kila kitu hapo unapochat engine inayokuwezesha kuchat ipo na kuwezeshwa na USA, Russia hana kitu

Sisi ndio watumwa unafikiri Russia anategemea hiyo search engine ya kimarekan
 
Naona mnadaganyika sana na cinema. Mambo ya majeshi yana usiri mkubwa sana. Inasikitisha kuona nyumbu wakibishana mambo ya majeshi kwa kutegemea information zinazopatikana kwenye media kama YouTube

Alaf hawaelew hata hao wanaotoa military rank ni wamarekan unafikir wanaaccess ya kukagua uwezo wa Russia
 
Choka Mbaya ni kikundi cha mziki cha akina Profesa J.

Mimi siwachukulii poa Urusi, Ila Marekani ni namba 1 kiuchumi na kijeshi, labda mpaka miaka ya baadae sana..
 

Wanajeshi wenyewe mashoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…