Kati ya vitabu vitamu nilivyowahi kuvisoma

Kuna mtu anakifaham kitab kinaitwa utengano kimeandikwa na mkenya I don't know the author's name af nlikipoteza SA cjui ntapata wap kingne
 
"Sitaogopa" by Rudi Lack
" A Grain of wheat" Ngugi Wa Thiongo
"Betrayal in the city"
Visa vya Rudi vinasisimua.

Mimi nimesoma toleo lake la Kiingereza.

Breakthrough: Taking Gospel through hidden borders.

Well, vitabu vingi nimesoma toka mwaka umeanza. Vingi vinamaudhui mazuri. Vinavutia kusoma.

1. Roots of Conflict in Africa, Causes and Costs - kimeandikwa na jopo la wasomi toka taasisi za elimu tofauti.

2. For this Cross I will kill you - Bruce Olson

3. Gideon Spies - Gordon Thomas

4. Dead Aid - Dambisa Moyo (hiki nimesoma mwaka jana na sasa nakirudia tena)

5. Dreams from my father - Barack Obama

Nimeandika sijazingatia mtoa mada alitaka nini kwenye uzi wake.

Nilifurahi kuona umemsoma Rudolf
 

Kwa kweli mkuu. Natafuta sana hicho kitabu "SITAOGOPA" bila mafanikio. Nilipoteza Copy yangu
 
Mji wa Nawe
Kuku mweusi na Kenge
Mfalme ana masikio marefu kama ya Punda
Na vingine viiiiingi!! dooh, bi Kubwa enzi hizo alivileta home vitabu vingii sana nikasoma vyoote
 
Mji wa Nawe
Kuku mweusi na Kenge
Mfalme ana masikio marefu kama ya Punda
Na vingine viiiiingi!! dooh, bi Kubwa enzi hizo alivileta home vitabu vingii sana nikasoma vyoote
 
"90 minutes at Enttebe"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"This is Living and Other Stories"
The man of the people


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…