Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuna mpango wa kumuuza mahondawKama huna mpango wa kuuza... Volkswagen...
Kama unampango wa kuuza... Harrie
Humu watu watakupoteza. Wengine hiyo harrier wanayo iponda wanaionaga kwa macho tu. Chukua Harrier Lexus mpyaaaa. Chukua Black.
Ikiona vp kama una mpungaa Tafuta Nissan Ex Trial New model au Klugger Ule maisha iyo VW itakusumbua na sio Luxury Car wala nn.
Ova
Ilo lidude litamsumbuaUnless kma hujawahi kuiendesha wala kukaa ndani, Touareg ni luxury SUV.
Pia kuna tofauti kati ya Toyota Harrier na Lexus RX300. Ni gari mbili tofauti kuanzia class mpk bei, sijajua unamshauri kwenye ipi?
Kuna mtu ame hack account yako?!Nimetoka kwenye VW mda huu zile gari aisee.. kuna jamaa yangu aliniachia.. yaani dah.. 🙂.. kitu kimenyooka hadi raha
Hamna mkuu, ni mie mwenyewe. Jana jioni kwa mala ya kwanza nikaendesha hiyo machine hata ndani unaona upo kwenye gari kweli, zipo tofauti kabisa na Gari zetu hizi zingine.Kuna mtu ame hack account yako?!
Mkuu gari karibia zote spare hua ni ghaliKwa usalama wa maisha na afya ya akili nakushauri chagua Harrier...
Spare parts sake zinapatikana kirahisi na mafundi ni wengi pia.Hapo kwenye Touareg mafundi ni wachache ma spare ni bei changamsha akili kweli kweli.
Mkuu wapi nitapata gari ya MuafrikaGari ya mzungu ni shida
Litanisumbua kwenye nini mkuu?Ilo lidude litamsumbua
Ukitaka gari ambayo haili kabisa mafuta, please take a bicycleOngeza vigezo babu. Durability, fuel consumption, availability of spare parts and prices, comfort, off road handling, etc
Chukua Renault Duster, designed for Africa. Bei ni 30ml, 1ltr inaenda 18 kmMkuu wapi nitapata gari ya Muafrika
Pia kuna "Expensive, more expensive na most expensive" . . .Mkuu gari karibia zote spare hua ni ghali
Embu taja kwa mfano...Pia kuna "Expensive, more expensive na most expensive" . . .