RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Kenya...MobiusMkuu wapi nitapata gari ya Muafrika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kenya...MobiusMkuu wapi nitapata gari ya Muafrika
Harrier lexus ikoje hio mkuu?Humu watu watakupoteza. Wengine hiyo harrier wanayo iponda wanaionaga kwa macho tu. Chukua Harrier Lexus mpyaaaa. Chukua Black.
Ikiona vp kama una mpungaa Tafuta Nissan Ex Trial New model au Klugger Ule maisha iyo VW itakusumbua na sio Luxury Car wala nn.
Ova
Toyota Harrier ikioana na Lexus RX300 mtoto anaitwa Harrier Lexus! 🙂🙂🙂🙂Harrier lexus ikoje hio mkuu?
nenda ka googleHarrier lexus ikoje hio mkuu?
Sijaiona.nenda ka google
Hahah aiseee naona hata lexus IS300 hua wanaiita Altezza lexusToyota Harrier ikioana na Lexus RX300 mtoto anaitwa Harrier Lexus! 🙂🙂🙂🙂
Cha ajabu ushauri unatoka kwa mtu ambaye anamiliki toyota Duet!Chukua Vw aisee...tatizo wabongo tunaangalia cjui spare ghali na ukutaka kuuza cjui utahangaika sana...vipuri vya Vw vipo sana tu,bei kuchangamka sio inshu..inshu ni kuwa vipuri vinapatikana...toeni uoga ku crem Toyota aisee
Eeh kama ana Million 2-3 za hapa na pale basi VW itakua gari bora zaidi kwake.Ushauri wangu: Usinunue aina ya gari kwasababu uliona tu fulani anayo ama kwasbb tu unaona ndo ipo kwenye chat. Utakuja jutia..
Kama unataka nunua gari na hali yako kiuchumi ama uwezo wa kilihudumia gari ni mdg. Basi nunua harier. Ila km uko vzr kwenye pesa za maintainance etc. Chukua VW
Mkuu natambua uwepo wako.Eeh kama ana Million 2-3 za hapa na pale basi VW itakua gari bora zaidi kwake.
Hili ni angalizo tu ili asije hapa baada ya miezi 6 kuulizia MAF Sensor ya Touareg anaipataje maana kamaliza maduka yote Ilala.
Eeh kama ana Million 2-3 za hapa na pale basi VW itakua gari bora zaidi kwake.
Hili ni angalizo tu ili asije hapa baada ya miezi 6 kuulizia MAF Sensor ya Touareg anaipataje maana kamaliza maduka yote Ilala.
Cha ajabu ushauri unatoka kwa mtu ambaye anamiliki toyota Duet!
Wengine hatuangalii hayo yote. Tunanunua kitu roho inapenda.Kwani factors zipi mtu anatakiwa kuzingatia kabla ya kufanya maamuzi kununua gari? Usiangalie jirani, rafiki au ndugu anamiliki gari gani, nadhani uangalie UCHUMI wako kwanza, nature ya barabara za kwenu na zingine za muhimu.
Si mna vyenu mkuu, ukiwa na vyako hata hujiulizi...ni kuvuta kitu roho inataka!Wengine hatuangalii hayo yote. Tunanunua kitu roho inapenda.
Naam karibu sana ndugu Balozi wa Ujerumani😸Mkuu natambua uwepo wako.
Hapana ni ubishi tu. Usipokuwa mbishi mengi yatakupita.Si mna vyenu mkuu, ukiwa na vyako hata hujiulizi...ni kuvuta kitu roho inataka!
Wabongo hua tunapenda kutishana tuu ukiwasikiliza wabongo hutafanya kitu.Hizi VW Toureg mbona tunatishwa sana, hebu mlizonazo humu mtuambie ukweli maana nishasikia kwamba ukiwa nayo matengenezo lazima uende DTDobie/CFAO maana mafundi wa mtaani wanaharibu sasa bei za huko CFAO unaweza nunua passo, pia mafuta consumption wenye nazo wanasema ipo juu sana.
Cha kushangaza zinazidi kuwa nyingi tu hizo na Landrover discovery sasa sijui uhalisia ukoje au mlizonazo mnataka muwe 'wachache" tu.