Kati ya wanawake na wanaume nani wanaongoza kutangaza madhaifu ya wenzao?

Nadra kusikia mwanaume anasema kuwa demu ana bwawa lakini ni kawaida kwa wanawake kuita wanaume vibamia na mashoga.

Ukikosana na mwanamke tu la kwanza analokimbilia ni kudhalilisha uanaume wako.
 
Umeonaa ee.
Mi mwenyewe huwa nashangaa. Sijui kwanini wako hivyo?
Mwanamke kua na Mwanaume Huwa sio habari kwakua mmeumbwa kupendwa.

Mwanaume kumpata mwanamke hii ndio habari kwakua sio Kila mwanamke utakayemtaka atakukubalia.


Sasa baadhi ya wanaume ambao wakipatawanamke nikwa bahati hivi, ikitokea wametofautiana na mwanamke, mwanaume huyo hujiwaisha kuanza kumtangaza madhaifu ya mwanamke huyo.
 
mwanaume akiwa na pungufu dogo tu linalovumilika mwanamke anaweza waambia shosti zake karibia wote.....mfano labda anadaiwa mkopo......
Siwezi kukataa inategemea na mazingira! Ila ni nadra sana kusikia mwanamke anasema kwa mfano mme wangu ni mchafu au hajui chochote; lakini kwa mwanaume anaweza kusema tena kwa kuomba ushauri kwa wenzake wa namna ya kumuacha.
 
Siwezi kukataa inategemea na mazingira! Ila ni nadra sana kusikia mwanamke anasema kwa mfano mme wangu ni mchafu au hajui chochote; lakini kwa mwanaume anaweza kusema tena kwa kuomba ushauri kwa wenzake wa namna ya kumuacha.
hapo naona ni kweli 😂
 
Na comment uzi wa mwsho nalala, ni sisi wanaume Mara nyingi wanawake wanatangaza madhaifu tukimwagana ila sisi ni wakat mjomba hasa kwa wavulana na bdo pmj na kutangza ila anarudi hapohpo kuzagamua akikwma
 
Wanawake
 
Wanawake wasikuhiz mkizinguana tu hukawii kutangazwa Unakibamia🤣
 
Ke na me wajifunze kusitiriana na kuheshimu mahusiono yeo kutangaza nje kwa mashosti na michepuko ni kujidharirisha, tunajifunza kwa makosa na kosa si kutenda kosa kosa ni kurudia makosa .
 
Umeonaa ee.
Mi mwenyewe huwa nashangaa. Sijui kwanini wako hivyo?
Unajua hii tabia ya kujifanya wanawake humu kumbe ni wanaume mnaboa kishenzi sasa imekua kero haivutii,
 
Ke na me wajifunze kusitiriana na kuheshimu mahusiono yeo kutangaza nje kwa mashosti na michepuko ni kujidharirisha, tunajifunza kwa makosa na kosa si kutenda kosa kosa ni kurudia makosa .
 
Wanaume....

Mfano utasikia yule dada nyuchi inatema,oohh yule dada ana bwawa la Mtera,oohh yule dada hajui ku sex,mara yule dada mdomo unanuka,Yaani full kuabisha wanawake😩
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…