Kati ya watumishi wa Mungu wenye majina makubwa na wanaoonekana kwenye TV, hakuna hata mmoja aliyetabiri kinagaubaga vita ya Ukraine.

Kati ya watumishi wa Mungu wenye majina makubwa na wanaoonekana kwenye TV, hakuna hata mmoja aliyetabiri kinagaubaga vita ya Ukraine.

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Sasa nimeamini kuwa kadri elimu inavyoongezeka basi ujinga inapungua na nafasi yake kushikwa na upumbavu.
Kwenye haya makanisa ya kitapeli kuna wasomi wa level zote lakini huwaambii kitu kuhusu kiongozi wao.
Kabla ya vita ya UKRAINE sijasikia mtu wa Mungu yeyote aliyetabiri kwa uwazi mahali peupe kuhusu kuibuka kwa vita hii. Hata sasa hakuna yeyote aliyeweza kushika mike na kusema kinagaubaga hatma ya vita hii ya Ukraine.
Lakini kuna watu wanaitwa manabii, unabii wao huishia tu kuwaambia waumini pokea, mara naona safari, naona pesa zinakuja kisha waumini bila kujali elimu zao huitikia napokea.
 
Nabii bongo!,ukiweza kujua udhaifu wa akili ya mwanadamu basi utatengeneza fedha!.. imani ni kama loop hole kwenye baadhi ya akili za watu fulanifulani zaidi,so ukipita vyema na ukaweza kulitumia dolari zitakufuata... Hili litakuja kuisha karne zijazo huko ma elites watakuwa wameshagundua hole jengine la kupigia watu..
 
Sasa nimeamini kuwa kadri elimu inavyoongezeka basi ujinga inapungua na nafasi yake kushikwa na upumbavu.
Kwenye haya makanisa ya kitapeli kuna wasomi wa level zote lakini huwaambii kitu kuhusu kiongozi wao.
Kabla ya vita ya UKRAINE sijasikia mtu wa Mungu yeyote aliyetabiri kwa uwazi mahali peupe kuhusu kuibuka kwa vita hii. Hata sasa hakuna yeyote aliyeweza kushika mike na kusema kinagaubaga hatma ya vita hii ya Ukraine.
Lakini kuna watu wanaitwa manabii, unabii wao huishia tu kuwaambia waumini pokea, mara naona safari, naona pesa zinakuja kisha waumini bila kujali elimu zao huitikia napokea.
Marehemu Moses Kulola nadhani alitabiri vita ya Urusi na Kuna clip niliwahi kuisikia nikashangaa kbs.
 
Kuna yule tapeli wa Nigeria hakupata hata muda wa kuomba maji
 



Kaa humo...... halaf uache kejeli kwa watu wa Mungu
 
Sasa nimeamini kuwa kadri elimu inavyoongezeka basi ujinga inapungua na nafasi yake kushikwa na upumbavu.
Kwenye haya makanisa ya kitapeli kuna wasomi wa level zote lakini huwaambii kitu kuhusu kiongozi wao.
Kabla ya vita ya UKRAINE sijasikia mtu wa Mungu yeyote aliyetabiri kwa uwazi mahali peupe kuhusu kuibuka kwa vita hii. Hata sasa hakuna yeyote aliyeweza kushika mike na kusema kinagaubaga hatma ya vita hii ya Ukraine.
Lakini kuna watu wanaitwa manabii, unabii wao huishia tu kuwaambia waumini pokea, mara naona safari, naona pesa zinakuja kisha waumini bila kujali elimu zao huitikia napokea.

Kwani manabii wote umewasikia hadi uwahukumu
 
Sasa nimeamini kuwa kadri elimu inavyoongezeka basi ujinga inapungua na nafasi yake kushikwa na upumbavu.
Kwenye haya makanisa ya kitapeli kuna wasomi wa level zote lakini huwaambii kitu kuhusu kiongozi wao.
Kabla ya vita ya UKRAINE sijasikia mtu wa Mungu yeyote aliyetabiri kwa uwazi mahali peupe kuhusu kuibuka kwa vita hii. Hata sasa hakuna yeyote aliyeweza kushika mike na kusema kinagaubaga hatma ya vita hii ya Ukraine.
Lakini kuna watu wanaitwa manabii, unabii wao huishia tu kuwaambia waumini pokea, mara naona safari, naona pesa zinakuja kisha waumini bila kujali elimu zao huitikia napokea.
Hata Shillah?
 
Nabii bongo!,ukiweza kujua udhaifu wa akili ya mwanadamu basi utatengeneza fedha!.. imani ni kama loop hole kwenye baadhi ya akili za watu fulanifulani zaidi,so ukipita vyema na ukaweza kulitumia dolari zitakufuata... Hili litakuja kuisha karne zijazo huko ma elites watakuwa wameshagundua hole jengine la kupigia watu..

Lakini still mchango wao ni mkubwa wa kuleta amani kwenye Jamii
 
Back
Top Bottom