Kati ya Yanga na Simba nani anapigika leo kwenye Kariakoo Derby?

Kati ya Yanga na Simba nani anapigika leo kwenye Kariakoo Derby?

Yanga vs Simba| Nani anashinda leo?


  • Total voters
    9
  • Poll closed .

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Haya Wababe wa Jangwani na Msimbazi Kariakoo leo wanazichapa nyasi za kwa Mkapa. Kila timu ina wachezaji matata, usajili mpya, jezi mpya na kila kitu ila matokeo yataamua nani anaondoka na shangwe!

Kwa unavyoona maandalizi nani anamchapa mwenzake leo?
 
Usije na matokeo na uwanjani ,
utalala na viatu


Hii ni angalizo wakuu
 
Back
Top Bottom