BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Haya Wababe wa Jangwani na Msimbazi Kariakoo leo wanazichapa nyasi za kwa Mkapa. Kila timu ina wachezaji matata, usajili mpya, jezi mpya na kila kitu ila matokeo yataamua nani anaondoka na shangwe!
Kwa unavyoona maandalizi nani anamchapa mwenzake leo?
Kwa unavyoona maandalizi nani anamchapa mwenzake leo?