Katiba Bora: Waziri kipenzi wa Kenyatta akimbilia mahakama

Katiba Bora: Waziri kipenzi wa Kenyatta akimbilia mahakama

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Ama kweli Katiba bora ni raha sana.

Aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani kwenye serikali ya Kenyatta amekimbilia mahakamani kujiokoa dhidi ya kukamatwa na polisi:

Protect me, former Interior minister Fred Matiang'i tells court

Enyi mlioko madarakani tambueni kuwa vyeo ni dhamana na kuna leo na kesho.

Kwa kukimbilia mahakamani Dr. Matiang'i ameweza kupata fursa kujidhamini mwenyewe kuzuia kukamatwa.

Kwamba kutokea hapo inaweza kuwa mwendo wa appointment tu polisi.

Kwa hakika tunahitaji Katiba mpya itakayo tuhakikishia uhuru kamili wa mahakama, bunge na ule mhimili mwingine uliojichimbia zaidi.

Ni hapo tu ndipo tunaweza kujihakikishia haki zetu zote hapa nchini.
 
Kwanini ameenda mahakamani, I mean kujiokoa na nini?

Kama ilivyo kwenye uzi Kuna tishio la kumkamata kwa jambo asilolijua. Hivyo kakimbilia mahakamani kujiokoa:

"Former Interior Cabinet Secretary Fred Matiang'i has moved to court, seeking to be granted anticipatory bail after police allegedly raided his house on Wednesday night."

Huko ndiko kujiokoa kwenyewe sasa (anticipatory bail).

Tembelea link Kwa habari zaidi.
 
Kama ilivyo kwenye uzi Kuna tishio la kumkamata kwa jambo asilolijua. Hivyo kakimbilia mahakamani kujiokoa:

"Former Interior Cabinet Secretary Fred Matiang'i has moved to court, seeking to be granted anticipatory bail after police allegedly raided his house on Wednesday night."

Huko ndiko kujiokoa kwenyewe sasa (anticipatory bail).

Tembelea link Kwa habari zaidi.
Asante mkuu, nilikurupuka kuuliza kabla sijaingia kwenye hiyo link🙏
 
Ama kweli Katiba bora ni raha sana.

Aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani kwenye serikali ya Kenyatta amekimbilia mahakamani kujiokoa dhidi ya kukamatwa na polisi:

Protect me, former Interior minister Fred Matiang'i tells court

Enyi mlioko madarakani tambueni kuwa vyeo ni dhamana na kuna leo na kesho.

Kwa kukimbilia mahakamani Dr. Matiang'i ameweza kupata fursa kujidhamini mwenyewe kuzuia kukamatwa.

Kwamba kutokea hapo inaweza kuwa mwendo wa appointment tu polisi.

Kwa hakika tunahitaji Katiba mpya itakayo tuhakikishia uhuru kamili wa mahakama, bunge na ule mhimili mwingine uliojichimbia zaidi.

Ni hapo tu ndipo tunaweza kujihakikishia haki zetu zote hapa nchini.
Tulitegemea katiba Bora ingezua unyanyasaji usifanywe na vyombo vya dola, Sasa iweje bado vyombo vya dola vinaendelea kunyanyasa watu?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tulitegemea katiba Bora ingezua unyanyasaji usifanywe na vyombo vya dola, Sasa iweje bado vyombo vya dola vinaendelea kunyanyasa watu?[emoji23][emoji23][emoji23]

Vyombo vya mhimili mmoja vilijaribu kunyanyasa ,mhimili huru umeamua ndivyo sivyo:

Justice Kanyi Kimondo granted Dr Matiang’i a Sh200,000 bail, by way of a personal bond and certified the case as urgent. The judge also said that the police, DPP and the Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) were at liberty to investigate any criminal conduct by Dr Matiang'i. However, they will not arrest or detain him in view of the anticipatory bail.

Nenda Kisutu na ombi kama hili utuletee mrejesho. Ya nini kuandikia mate?
 
Tanzania mtasubilia Sana katiba ya hivo
hiyo ni sheria siyo katiba. hata wewe mtanzania unaweza ukakimbilia mahakamani kuzuia kukamatwa kwa kubambikiziwa kesi. Matiangi amekimbilia mahakamani kwa sababu ya uovu aliofanya au kusimamia ukafanyika. Kuna issue za ukwepaji kodi, mauaji ya watu zaidi ya 200 ambayo yalifanyika yeye akiwa waziri anayehusika na usalama. Anajua ndugu wa marehemu wamemchachamalia rais wa sasa uchunguzi ufanyike, na anajua lazima ipo siku atawajibishwa.
 
Vyombo ya mhimili mmoja vilijaribu kunyanyasa mhimili huru imeamua ndivyo sivyo:

Justice Kanyi Kimondo granted Dr Matiang’i a Sh200,000 bail, by way of a personal bond and certified the case as urgent. The judge also said that the police, DPP and the Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) were at liberty to investigate any criminal conduct by Dr Matiang'i. However, they will not arrest or detain him in view of the anticipatory bail.

Nenda Kisutu na ombi kama hili utuletee mrejesho. Ya nini kuandikia mate?
Hivi wakati Miguna Miguna alipofurushwa nchini kwa nguvu wakati mahakama iliamuru arudishwe nchini lakini vyombo vya Dola vikakataa kumruhusu kuridi Kenya, katiba mpya ilikua wapi?.

Ninyi wakenya ni watu wa mdomo mtupu, katiba mpya haijasaidia lolote zaidi ya kutengeneza vyeo vya kisiasa na kuongeza mzigo kwa walipa Kodi.
 
hiyo ni sheria siyo katiba. hata wewe mtanzania unaweza ukakimbilia mahakamani kuzuia kukamatwa kwa kubambikiziwa kesi. Matiangi amekimbilia mahakamani kwa sababu ya uovu aliofanya au kusimamia ukafanyika. Kuna issue za ukwepaji kodi, mauaji ya watu zaidi ya 200 ambayo yalifanyika yeye akiwa waziri anayehusika na usalama. Anajua ndugu wa marehemu wamemchachamalia rais wa sasa uchunguzi ufanyike, na anajua lazima ipo siku atawajibishwa.
Na hayo yote maovu uliyoyataja yalifanyika chini ya hiyo katiba mpya, Sasa huyu zuzu anajaribu kutetea ujinga.

Zitto alipokwenda mahakamani kupinga kitendo Cha Magufuli kutomteua Tena Prof.Assad kuwa CAG na baadae Zitto kushindwa Kesi, hiyo ni katiba mpya?
 
Na hayo yote maovu uliyoyataja yalifanyika chini ya hiyo katiba mpya, Sasa huyu zuzu anajaribu kutetea ujinga.

Zitto alipokwenda mahakamani kupinga kitendo Cha Magufuli kutomteua Tena Prof.Assad kuwa CAG na baadae Zitto kushindwa Kesi, hiyo ni katiba mpya?
kinachosikitisha wengi wanaodai katiba mpya, hata ya sasa hawajawahi kuisoma
 
hiyo ni sheria siyo katiba. hata wewe mtanzania unaweza ukakimbilia mahakamani kuzuia kukamatwa kwa kubambikiziwa kesi. Matiangi amekimbilia mahakamani kwa sababu ya uovu aliofanya au kusimamia ukafanyika. Kuna issue za ukwepaji kodi, mauaji ya watu zaidi ya 200 ambayo yalifanyika yeye akiwa waziri anayehusika na usalama. Anajua ndugu wa marehemu wamemchachamalia rais wa sasa uchunguzi ufanyike, na anajua lazima ipo siku atawajibishwa.

Hata umeshindwa kutambua kwa hali yetu leo hapa huyo waziri sasa hivi angekuwa Segerea bila kujali jitihada yoyote ambayo angefanya?

Au ni yale ya kawaida ya chawa tuliowazowea ya kujitekenya na kucheka wenyewe?

Au ghafla umekuwa mgeni na kujiaminisha mahakama zetu Zina uhuru kamili siyo?

Kumbe ule mhimili uliokuwa umejichimbia zaidi umefukuliwa lini?

Ninakazia Kisutu si mbali nenda pale utuletee mrejesho.
 
Kwahiyo unashaurije?
Tuseiwe na katiba mpya kwa kuwa ya zamani hatujasoma? we mwehu kweli
ni lazima utukane? wazazi wako walikukuza uwe hivyo? acha kudhalilisha heshima ya wazazi wako. Hawakukuzaa ili uje uwe mtukanaji unapokosa hoja na majibu. Jifunze kuwa mstaarabu hata kwa 5%
 
Hata umeshindwa kutambua kwa hali yetu leo hapa huyo waziri sasa hivi angekuwa Segerea bila kujali jitihada yoyote ambayo angefanya?

Au ni yale ya kawaida ya chawa tuliowazowea ya kujitekenya na kucheka wenyewe?

Au ghafla umekuwa mgeni na kujiaminisha mahakama zetu Zina uhuru kamili siyo?

Kumbe ule mhimili uliokuwa umejichimbia zaidi umefukuliwa lini?

Ninakazia Kisutu si mbali nenda pale utuletee mrejesho.
hujanielewa wewe, punguza mihemko ya kipumbavu. Suala la Matiangi ni la kijinai si la kisiasa wala katiba
 
Na hayo yote maovu uliyoyataja yalifanyika chini ya hiyo katiba mpya, Sasa huyu zuzu anajaribu kutetea ujinga.

Zitto alipokwenda mahakamani kupinga kitendo Cha Magufuli kutomteua Tena Prof.Assad kuwa CAG na baadae Zitto kushindwa Kesi, hiyo ni katiba mpya?

Zuzu mbona ni wewe?

Angekuwapo jiwe Zitto angeshinda hiyo kesi? Sabaya angekuwa jela? Mikutano ya siasa ingekuwa inaendelea? LIssu angekuwa barabarani anafanya siasa? Mbowe angekuwa huru? Hela za plea bargain tungejua tulipigwa? Mahakama, polisi, takukuru, magereza zingekuwa leo kuna tume inayofuatilia utendaji wao mbovu? Nk, nk.

Kwa kutuona je vile viazi mbatata nyie?
 
hujanielewa wewe. suala na matiangi ni la kijinai zaidi si suala la kisiasa wala katiba
Mada ni kuhusu haki za msingi za watu. Jiridhishe uko ndani ya mada. Suala la Matiang'i ni suala la haki zake kama mkenya kwa mujibu wa Katiba.
 
Back
Top Bottom