Katiba Bora: Waziri kipenzi wa Kenyatta akimbilia mahakama

Katiba Bora: Waziri kipenzi wa Kenyatta akimbilia mahakama

hujanielewa wewe, punguza mihemka ya kipumbavu. Suala la Matiangi ni la kijinai si la kisiasa wala katiba
Kumbe baada ya kukujibu ulikwenda ku edit post yako ya mwanzo Ili uweke matusi?

Huo sasa si ndiyo upumbavu wenyewe tena uliopitiliza?
 
Sipati picha kipindi hicho Mwigulu, huyu Samia, Nape, January, Tulia, Amos Makala watakavyo kua wanasota mahakamani kila siku wapo kwenye karandinga la polisi kwenda kujibu huu utapeli wanao ufanya saivi. Muda huo huyu bibi kakondeana na January kabaki vimifupa tu kama umbwa koko, endeleeni kuichelewesha katiba ila itakuja tu
 
Sipati picha kipindi hicho Mwigulu, huyu Samia, Nape, January, Tulia, Amos Makala watakavyo kua wanasota mahakamani kila siku wapo kwenye karandinga la polisi kwenda kujibu huu utapeli wanao ufanya saivi. Muda huo huyu bibi kakondeana na January kabaki vimifupa tu kama umbwa koko, endeleeni kuichelewesha katiba ila itakuja tu

Misahafu inasema mwenye masikio na asikie
 
Hata umeshindwa kutambua kwa hali yetu leo hapa huyo waziri sasa hivi angekuwa Segerea bila kujali jitihada yoyote ambayo angefanya?

Au ni yale ya kawaida ya chawa tuliowazowea ya kujitekenya na kucheka wenyewe?

Au ghafla umekuwa mgeni na kujiaminisha mahakama zetu Zina uhuru kamili siyo?

Kumbe ule mhimili uliokuwa umejichimbia zaidi umefukuliwa lini?

Ninakazia Kisutu si mbali nenda pale utuletee mrejesho.
Miguna Miguna alipofukuzwa kwa nguvu licha ya mahakama kuamrisha arudishwa nchini, hiyo haikuwa Kenya?, au katiba mpya ilikua haijaandikwa?.

Zitto Kabwe alipoenda mahakamani kupinga uamuzi wa Magufuli kumtoa prof.Assad katika cheo chake Cha CAG, ilikua ni mahakama za Kenya zilizompa ushindi?, au Tanzania tulikua na katiba mpya?
 
Zuzu mbona ni wewe?

Angekuwapo jiwe Zitto angeshinda hiyo kesi? Sabaya angekuwa jela? Mikutano ya siasa ingekuwa inaendelea? LIssu angekuwa barabarani anafanya siasa? Mbowe angekuwa huru? Hela za plea bargain tungejua tulipigwa? Mahakama, polisi, takukuru, magereza zingekuwa leo kuna tume inayofuatilia utendaji wao mbovu? Nk, nk.

Kwa kutuona je vile viazi mbatata nyie?
Kumbe Jiwe ndiye alikua kikwazo sio?, Sasa huyu anayesema Tanzania hatuwezi kwenda mahakamani Kwasababu hatuna katiba mpya utampa jina gani Kama sio zuzu?.

Kwa maelezo yako ni kwamba, hivi Sasa kila kitu kinaenda vizuri baada ya Jiwe kuondoka, kwahiyo katiba mpya Haina umuhimu sio?.[emoji13][emoji13][emoji13]
 
Kumbe Jiwe ndiye alikua kikwazo sio?, Sasa huyu anayesema Tanzania hatuwezi kwenda mahakamani Kwasababu hatuna katiba mpya utampa jina gani Kama sio zuzu?.

Kwa maelezo yako ni kwamba, hivi Sasa kila kitu kinaenda vizuri baada ya Jiwe kuondoka, kwahiyo katiba mpya Haina umuhimu sio?.[emoji13][emoji13][emoji13]

Ni vigumu kutambua Katiba ya Kenya ni Bora kuliko tuliyo nayo?

Ni vigumu kutambua Katiba tunayoitaka ni bora zaidi kuliko waliyo nayo Kenya tukijifunza hata kutoka katika mapungufu yoyote waliyo nayo?

Ama kweli kuwapigia gitaa wanachama pichani ujitoe ufahamu:

Screenshot_20230207-225522.jpg
 
Ni vigumu kutambua Katiba ya Kenya ni Bora kuliko tuliyo nayo?

Ni vigumu kutambua Katiba tunayoitaka ni bora zaidi kuliko waliyo nayo Kenya tukijifunza hata kutoka katika mapungufu yoyote waliyo nayo?

Ama kweli kuwapigia gitaa wanachama pichani ujitoe ufahamu:

View attachment 2512457
Tuambie ni kitu gani cha msingi Kenya wanefaidika kutokana na kuandika katiba mpya?.

Hivi unajua matatizo ya msingi yanayowakabili wakenya?

1)Umasikini
2)Njaa
3)Rushwa
4)Ukosefu wa ajira
5)Insecurity
6)Terrorism
7) Tribalism
8)Land ownership
9)Upatikanaji wa maji

Katika hayo, lipi lililotatuliwa baada ya wakenya kupata katiba mpy?, Wacha kusikiliza maneno ya wanasiasa na wewe ukacheza mziki wao bila kujitambua. Wewe umeshatekwa na kelele za wakenya, Kila wanachofanya wao wanataka kujiona kwamba wapo sahihi na ni lazima nchi zingine zoote ziwaige.
 
Tuambie ni kitu gani cha msingi Kenya wanefaidika kutokana na kuandika katiba mpya?.

Hivi unajua matatizo ya msingi yanayowakabili wakenya?

1)Umasikini
2)Njaa
3)Rushwa
4)Ukosefu wa Akira
5)Insecurity
6)Terrorism
7) Tribalism
8)Land ownership
9)Upatikanaji wa maji

Katika hayo, lipi lililotatuliwa baada ya wakenya kupata katiba mpy?, Wacha kusikiliza maneno ya wanasiasa na wewe ukacheza mziki wao bila kujitambua. Wowo umeshatekwa na kelele za wakenya, Kila wanachofanya wao wanataka kujiona kwamba wapo sahihi na ni lazima nchi zingine zoote ziwaige.

Wewe unayafahamu haya?

Luhaga Mpina: Katiba iliyopo ina matobo ndio maana Viongozi kama Waziri wa Fedha wanalichezea Bunge. Viongozi wasiteuliwe bali wafanyiwe Usaili

Lipi katika uliyoorodhesha hapo lisilotibiwa kwenye Katiba ya ndoto zetu?

Au wewe una vinasaba na hiyo njemba kwenye Kaunda suti? Kwamba ni chawa, au mnufaika mlamba asali fulani tokea pande za msoga huko?

FoVixEVWAAAou0r.jpeg
 
Wewe unayafahamu haya?

Luhaga Mpina: Katiba iliyopo ina matobo ndio maana Viongozi kama Waziri wa Fedha wanalichezea Bunge. Viongozi wasiteuliwe bali wafanyiwe Usaili

Lipi katika uliyoorodhesha hapo lisilotibiwa kwenye Katiba ya ndoto zetu?

Au wewe una vinasaba na hiyo njemba kwenye Kaunda suti? Kwamba ni chawa, au mnufaika mlamba asali fulani tokea pande za msoga huko?

View attachment 2512535
Ninajadiliana na wewe nikiwa na matumaimi kwamba ni mtu mwenye kujitegemea ki mawazo na sio mtu unayeshikiwa akili.

Nimekutajia matatizo ya msingi yanayowakabili raia wa kawaida wa Kenya, nimekuambia unitajie katika hiyo orodha unitajia ni mambo gani ambayo baada ya Kenya kuandika katiba mpya, hizo shida zilitatuliwa.

Badala ya kujibu swali langu kuhusu mafanikio waliyoyapata wakenya baada ya kupata katiba mpya, wewe unarukia habari ya Luaga Mpina. Hivi katika watu wote ambao unaweza kuwatumia Kama "reference" katika mazungumzo yako ni Luaga Mpina?. Wewe kweli ni Zuzu, Luaga Mpina, kweli?, Wacha kujifedhehesha tafadhali Sana.
 
Ninajadiliana na wewe nikiwa na matumaimi kwamba ni mtu mwenye kujitegemea ki mawazo na sio mtu unayeshikiwa akili.

Nimekutajia matatizo ya msingi yanayowakabili raia wa kawaida wa Kenya, nimekuambia unitajie katika hiyo orodha unitajia ni mambo gani ambayo baada ya Kenya kuandika katiba mpya, hizo shida zilitatuliwa.

Badala ya kujibu swali langu kuhusu mafanikio waliyoyapata wakenya baada ya kupata katiba mpya, wewe unarukia habari ya Luaga Mpina. Hivi katika watu wote ambao unaweza kuwatumia Kama "reference" katika mazungumzo yako ni Luaga Mpina?. Wewe kweli ni Zuzu, Luaga Mpina, kweli?, Wacha kujifedhehesha tafadhali Sana.

Jifunze kuandika majina ya watu sawa sawa ndugu. Ustaarabu ni kuheshimu mawazo ya wengine umburula ni kujidhania wewe ni almighty.

FnzAtagX0AIXEAW.jpeg


Yaliyowasaidia wakenya ya nini kwangu wakati miye napigania ya kutusaidia sisi?

Majizi makubwa nyie!
 
Jifunze kuandika majina ya watu sawa sawa ndugu. Ustaarabu ni kuheshimu mawazo ya wengine umburula ni kujidhania wewe ni almighty.

View attachment 2512663

Yaliyowasaidia wakenya ya nini kwangu wakati miye napigania ya kutusaidia sisi?

Majizi makubwa nyie!
Wewe si ndiye uliyetaka kutufahamisha kwamba Kenya Kuna katiba Bora iliyowezesha waziri wa zamani kukimbilia mahakamani?, Kwamba ubora wa katiba unapimwa kwa watu kukimbilia mahakamani ili wasikamatwe?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Kweli waafrika tuna shida
 
Wewe si ndiye uliyetaka kutufahamisha kwamba Kenya Kuna katiba Bora iliyowezesha waziri wa zamani kukimbilia mahakamani?, Kwamba ubora wa katiba unapimwa kwa watu kukimbilia mahakamani ili wasikamatwe?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Kweli waafrika tuna shida

Wacha kujitekenya mwenyewe ndugu.

Katiba inayotoa haki sawa kwa wote yenye kuwa na mihimili ya utawala iliyo huru haikosi mambo mema yenye kuzifanya kuwa bora.

Fnn4deYWYAE-Pmf.jpeg


Kwetu hata kodi tu wapo ambao haiwahusu achilia mbali kuwapa mianya ya kuiba bila kuwajibishwa. Vipi ugumu wa maisha usiwe kwetu na nafuu ya maisha isiwe kwenu?

Kama wewe huwezi kuona namna gani hayo uliyoorodhesha yanaweza kusuluhishwa kwa uwepo na katiba bora, wewe na ukae kwa kutulia kwani madhila yetu yatakuwa hayakuhusu.

Tunajua kuwa kwa walamba asali wote katiba mpya haina msaada kwao. Hilo wala si habari mpya.
 
Wacha kujitekenya mwenyewe ndugu.

Katiba inayotoa haki sawa kwa wote yenye kuwa na mihimili ya utawala iliyo huru haikosi mambo mema yenye kuzifanya kuwa bora.

View attachment 2513409

Kwetu hata kodi tu wapo ambao haiwahusu achilia mbali kuwapa mianya ya kuiba bila kuwajibishwa. Vipi ugumu wa maisha usiwe kwetu na nafuu ya maisha isiwe kwenu?

Kama wewe huwezi kuona namna gani hayo uliyoorodhesha yanaweza kusuluhishwa kwa uwepo na katiba bora, wewe na ukae kwa kutulia kwani madhila yetu yatakuwa hayakuhusu.

Tunajua kuwa kwa walamba asali wote katiba mpya haina msaada kwao. Hilo wala si habari mpya.
Samahani Sana ila utanisamehe kwa kukuita zuzu, ila wewe ni zuzu hasa, Tena ni zuzu wa kiwango Cha mwendokasi, hujui lolote zaidi ya kupiga Domo na kushikiwa akili mitandaoni.

Katiba ya Tanzania, Haina kipengele chochote kinachoruhusu mtu yeyote asitozwe Kodi. Katiba ya Kenya Kuna kifungu maalumu ambacho kinamtaja rais kwa jina lake binafsi kwamba hapaswi kutozwa Kodi yeye binafsi na biashara zake.

Katiba ya Tanzania inaruhusu mtu yeyote kwenda mahakamani kuishitaki serikali, Mzee Mtikila alishaishitaki serikali na kupata ushindi mara 3, Zitto Kabwe hivi karibu alishinda Kesi dhidi ya serikali.

Kenya, pamoja na Miguna Miguna kuishinda serikali na mahakama kuamuru aruhusiwe kurudi nchini, lakini serikali ilikaidi kutii amri ya mahakama, Sasa hiyo katiba mpya inawasaidia nini?.

Nimekuuliza utajie faida walizopata wakenya baada ya kuandika katiba mpya katika kutatua matatizo ya msingi ya wakenya, umeshindwa kutaja hata tatizo Moja lililotatuliwa na katiba mpya.

Hata hizo lawama za kusema kwamba uchaguzi haupo huru kutokana na kutokuwepo kwa tume huru ya uchaguzi, huko Kenya kwenye tume huru, unasikia kinachotokea?.

Wewe punguza kushabikia mambo kwa mkumbo, Wacha kubebwa na wanasiasa kichwakichwa.
 
Samahani Sana ila utanisamehe kwa kukuita zuzu, ila wewe ni zuzu hasa, Tena ni zuzu wa kiwango Cha mwendokasi, hujui lolote zaidi ya kupiga Domo na kushikiwa akili mitandaoni.

Katiba ya Tanzania, Haina kipengele chochote kinachoruhusu mtu yeyote asitozwe Kodi. Katiba ya Kenya Kuna kifungu maalumu ambacho kinamtaja rais kwa jina lake binafsi kwamba hapaswi kutozwa Kodi yeye binafsi na biashara zake.

Katiba ya Tanzania inaruhusu mtu yeyote kwenda mahakamani kuishitaki serikali, Mzee Mtikila alishaishitaki serikali na kupata ushindi mara 3, Zitto Kabwe hivi karibu alishinda Kesi dhidi ya serikali.

Kenya, pamoja na Miguna Miguna kuishinda serikali na mahakama kuamuru aruhusiwe kurudi nchini, lakini serikali ilikaidi kutii amri ya mahakama, Sasa hiyo katiba mpya inawasaidia nini?.

Nimekuuliza utajie faida walizopata wakenya baada ya kuandika katiba mpya katika kutatua matatizo ya msingi ya wakenya, umeshindwa kutaja hata tatizo Moja lililotatuliwa na katiba mpya.

Hata hizo lawama za kusema kwamba uchaguzi haupo huru kutokana na kutokuwepo kwa tume huru ya uchaguzi, huko Kenya kwenye tume huru, unasikia kinachotokea?.

Wewe punguza kushabikia mambo kwa mkumbo, Wacha kubebwa na wanasiasa kichwakichwa.

Zuzu ni wewe ndugu. Tena katika mazuzu wewe inaonekana kuwa ndilo baba lao!

"Sasa kama kuna zuzu la mwendo kasi jipige picha kujitambua baba lao liko je."

Hilo ndilo litakuwa wewe sasa.

Kulipa kodi kiini macho hakufuzu kuitwa kulipa kodi huko. Kuwepo kwa mishahara na marupurupu fiche ni kwenye mwendelezo wa kukwepa kodi.

Kwamba Kodi stahiki hamlipi kwa kisingizio chochote huko ndiko kutokulipa kodi kwenyewe na ndipo mfahamu pia kuwa hatukuafiki.

Kwamba mmejichimbia kiasi cha kuzipa maelekezo mahakama hata bunge?

Mkafie mbele huko!

Kwamba kwa mujibu wa katiba kuna awaye yote ambaye hashitakiwi: ndiyo mianya mnayoitumia kutuuwa, kuzikiuka haki zetu na hata kituibia.

Fahamuni kuwa Ile kujidhania nyie ni watu zaidi au kuwa mna haki zaidi kuliko wengine hilo limefikia mwisho.

Tambueni hakipo kitakacho tusimamisha na tunawatamani mno kwa amani au hata kwa shari.

Habari ndiyo hiyo.
 
Zuzu ni wewe ndugu. Tena katika mazuzu wewe inaonekana kuwa ndilo baba lao!

"Sasa kama kuna zuzu la mwendo kasi jipige picha kujitambua baba lao liko je."

Hilo ndilo litakuwa wewe sasa.

Kulipa kodi kiini macho hakufuzu kuitwa kulipa kodi huko. Kuwepo kwa mishahara na marupurupu fiche ni kwenye mwendelezo wa kukwepa kodi.

Kwamba Kodi stahiki hamlipi kwa kisingizio chochote huko ndiko kutokulipa kodi kwenyewe na ndipo mfahamu pia kuwa hatukuafiki.

Kwamba mmejichimbia kiasi cha kuzipa maelekezo mahakama hata bunge?

Mkafie mbele huko!

Kwamba kwa mujibu wa katiba kuna awaye yote ambaye hashitakiwi: ndiyo mianya mnayoitumia kutuuwa, kuzikiuka haki zetu na hata kituibia.

Fahamuni kuwa Ile kujidhania nyie ni watu zaidi au kuwa mna haki zaidi kuliko wengine hilo limefikia mwisho.

Tambueni hakipo kitakacho tusimamisha na tunawatamani mno kwa amani au hata kwa shari.

Habari ndiyo hiyo.
Sasa huko Kenya unakosifia Kuna katiba Bora, huko ndio kwenye vipengele vyote vinavyoruhusu baadhi ya watu wasitozwe Kodi, ndiko kwenye mianya mikubwa ya misamaha ya Kodi, ndani ya katiba Yao, ndiko kulikokubuhu kwa rushwa, katika viwango vya "demojrasia duniani, "Democracy perception Index", Tanzania tumewapita. Wewe endelea kushikiwa akili na Luhaga Mpina, hovyo Sana wewe jamaa.
 
Sasa huko Kenya unakosifia Kuna katiba Bora, huko ndio kwenye vipengele vyote vinavyoruhusu baadhi ya watu wasitozwe Kodi, ndiko kwenye mianya mikubwa ya misamaha ya Kodi, ndani ya katiba Yao, ndiko kulikokubuhu kwa rushwa, katika viwango vya "demojrasia duniani, "Democracy perception Index", Tanzania tumewapita. Wewe endelea kushikiwa akili na Luhaga Mpina, hovyo Sana wewe jamaa.

Nimekukumbusha mara kadhaa kujikita kwenye hoja. Post #34 ilikuitisha pia:

" .. ya wakenya ya nini kwangu wakati miye napigania ya kutusaidia sisi?"

Kama unataka kupigania katiba mpya Kenya si uende huko?

Sisi tunataka katiba mpya hapa ikiwamo kuwadhibiti ninyi mnaotuletea umaskini, njaa, rushwa, ukosefu wa ajira, dhuluma nk:

IMG_20230211_114343.jpg


"Kwani wewe hapo ndiyo lile bonge lenye green vest nyeupe?"
 
Nimekukumbusha mara kadhaa kujikita kwenye hoja. Post #34 ilikuitisha pia:

" .. ya wakenya ya nini kwangu wakati miye napigania ya kutusaidia sisi?"

Kama unataka kupigania katiba mpya Kenya si uende huko?

Sisi tunataka katiba mpya hapa ikiwamo kuwadhibiti ninyi mnaotuletea umaskini, njaa, rushwa, ukosefu wa ajira, dhuluma nk:

View attachment 2513533

"Kwani wewe hapo ndiyo lile bonge lenye green vest nyeupe?"
Wewe si ndiye uliyefungua huu Uzi kwa kusema katiba Bora Kenya, Waziri kipenzi amekimbilia mahakamani?, Katika maelezo yako ukasifia Hilo na kusema Tanzania Hilo haliwezikani kwasababu hatuna katiba mpya?, Mbona Sasa hutaki tena kuzingumzia habari ya Kenya?, Umegundua kwamba ulikua umetekwa na kelele za wakenya bila kujijua?

Kwanza futa kauli yako kwamba Kenya Kuna katiba Bora, ukifanya hovyo ndio tunaweza kuzingumzia kuhusu katiba mpya, huku Tanzania.

Kaka, muhimu ni kufanya KAZI kwa juhudi na maarifa ndio ufumbuzi wa maendeleo ya mtu binafsi, hizi kelele za kulaumu Kila mtu kwasababu ya shida na umasiki wako hazitokusaidia. Wachagga, wakinga, wahindi, wapemba, wahaya, wanafanya vizuri maishani, sio kwasababu ya katiba, wazaramo, waluguru, wakutu, na watu wa jamii zinazoishi pwani, zinaishi maisha ya dhiki na umasiki sio kwasababu ya katiba. Fanya KAZI kwa bidii, punguza uvivu, utaolewa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe si ndiye uliyefungua huu Uzi kwa kusema katiba Bora Kenya, Waziri kipenzi amekimbilia mahakamani?, Katika maelezo yako ukasifia Hilo na kusema Tanzania Hilo haliwezikani kwasababu hatuna katiba mpya?, Mbona Sasa hutaki tena kuzingumzia habari ya Kenya?, Umegundua kwamba ulikua umetekwa na kelele za wakenya bila kujijua?

Kwanza futa kauli yako kwamba Kenya Kuna katiba Bora, ukifanya hovyo ndio tunaweza kuzingumzia kuhusu katiba mpya, huku Tanzania.

Kaka, muhimu ni kufanya KAZI kwa juhudi na maarifa ndio ufumbuzi wa maendeleo ya mtu binafsi, hizi kelele za kulaumu Kila mtu kwasababu ya shida na umasiki wako hazitokusaidia. Wachagga, wakinga, wahindi, wapemba, wahaya, wanafanya vizuri maishani, sio kwasababu ya katiba, wazaramo, waluguru, wakutu, na watu wa jamii zinazoishi pwani, zinaishi maisha ya dhiki na umasiki sio kwasababu ya katiba. Fanya KAZI kwa bidii, punguza uvivu, utaolewa[emoji23][emoji23][emoji23]

Tuko busy Magomeni kudai katiba ndugu:

Lipumba yuko Magomeni leo, kulikoni baridi hivi?

Ya Kenya yanaishia kwenye kutambua walifanikiwa kuiondoa katiba mbovu hata iliyokuwa imewavua kina Miguna uraia.

Kwamba tukikomaa kumbe katiba mpya ipo.
 
Back
Top Bottom