Katiba inakupa uhuru wa kukosoa/kutoa maoni haikupi uhuru wa kutoa lugha za kuudhi na kuchonganisha

Katiba inakupa uhuru wa kukosoa/kutoa maoni haikupi uhuru wa kutoa lugha za kuudhi na kuchonganisha

We mleta ni mnafiki fulani unayeishi kwa kujipendekeza. Sio mara moja au 2 tunasikia viongozi wa serekali na ccm wakiongea lugha za kuudhi na hakuna hatua. Sasa leo unatujia na tapishi refu kutueleza ukidhani unaongea na watoto wadogo. Ni hivi Lissu kaongea ukweli, na wote tunajua ukweli una tabia moja tu ya kuuma. Cha muhimu aliyeambiwa ajirekebishe lakini kumpima Lissu mkojo ni kama kuruka sarakasi huku ukiwa umevaa taulo.
Mkuu Kula Like kibao kwa kumpatia jibu mijaraaabu la kizareendoo

In God we trust
 
"Lugha ya kuudhi " imekuwa kichaka cha kuminya demokrasia ya Tanzania , Tuache mahakama itufafanulie , hatutanyamazishwa kamwe .
Watanzania tuliitwa wapumbavu na malofa hivi hiyo ilikuwa ni kujenga taifa?hii Tanzania ni zaidi ya kituko

In God we trust
 
Kwanini kesi za uchochezi uchunguzi huwa haukamiliki ili tupate hukumu iliyotafsiri what amount to uchochezi as against the freedom of expression pamoja na kazi ya opposition party. Kutegemea tafsiri ya sheria toka Lumumba sio salama kabisa.
Mkuu hakuna marefu yasiyo na ncha

In God we trust
 
Nimemsikia mwanasheria wa Lisu akiongea jana baada ya kesi ya Lisu kuahirishwa na yeye(Lisu) kurudishwa rumande.Napenda tu nimkumbushe huyu mama kuwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inampa mtanzania yeyote uhuru wa kutoa maoni na kukosoa.Lakini katiba hii haikupi uhuru wa kutoa maneno yenye kuudhi na kuchonganisha jamii.

Nikirejea kauli ya Lisu ambayo leo imemfikisha Rumande,alisikika akisema yafuatayo:

1. Alisema anawaomba wahisani wasimsaidie Rais kwa fedha,kwanza nimkosoe kitu kimoja wahisani hawamsaidii Rais wanawasaidia watanzania maskini.Hizo pesa za donors zikija hali Rais na familia yake ni kwa ajili ya watanzania wote wakiwemo na Iramba mashariki ambako ndiko jimboni kwake.

Sasa alipitisha karatasi akachukua maoni yetu wananchi kuwa hatutaki wahisani? Rais alichaguliwa na watanzani walio wengi, kwa kauli ile ya Lisu alitumwa na watanzania wa wapi? Maana ninajua watanzania walio wengi wanamuunga mkono Rais,Wanataka barabara,wanataka huduma za maji,Elimu na hospitali.

Hii ni kauli ya kuudhi.Mimi kama mtanzania nieudhika na kauli hii na nina imani wapo wengi kama mimi ambao pia wameudhiwa na hii kauli.Kutoa lugha ya kuudhi ni kosa kisheria

2. Bwana huyu pia alisikika akisema mawazo aliyotoa Rais Mwinyi ni ujinga? Hivi hili sio tusi? Unamuitaje mtu kuwa katoa mawazo ya kijinga kisa anatofautiana na wewe? Una uhakika gani kama hakuna mtanzania mwingine ambae angependa Rais Magufuli atawale miaka zaidi ya 10?

Unadhibitishaje hili bila kupata maoni ya wananchi? And then unapata authority wapi ya kuyaita mawazo ya Binadamu mwenzio ni ya kijinga? Ok fine let me agree with you kuwa ni ya kijinga and then Yenye akili/hekima ni yapi? na una uhakika upi kuwa watanzania walio wengi wana kuunga mkono kwa hayo yako unayo dhani ndio yana hekima? ,,,,,

Hapa napo kuna kosa la kujibia, Huyu bwana aliongea lugha ya kuudhi, kaniudhi mimi na Mtanzania mwenzangu ambao tuna mawazo kama ya mzee Mwinyi kwa kutuita tuna mawazo ya kijinga ,,,hili ni tusi pia.Huwezi kuniita kuwa nina mawazo ya kijinga wakati hakuna reference point inayonipa mawazo sahihi.

Ungeweza kuniita mjinga endapo ningeshindwa kujibu 1+1=2,,Hapo sawa coz kila mtu at some point anaweza kuwa mjinga wa jambo fulani.Lakini kwa hili la kutoa maoni and then UNAYAITA YA KIJINGA NI TUSI MUBASHARA.

Kama ni katiba, katiba sio msahafu kama wananchi wakitaka katiba ibadilishwe ili Rais aendelee kutawala miaka dahari na dahari hawawi wajinga kwa kufanya hivyo bali ni hekima coz hekima ndio inawaongoza kuamua hivyo kwa kuona potential alizo nazo Rais in comparison na other presidential candidates.

3. Halafu Bwana huyu alisikika akisema kuwa Rais kafanya ukabila katika teuzi zake,,,Alitoa tuhuma ambazo sio za kweli.Alitaja viongozi wachache ambao Rais aliwataeua and by coincidence wakawa wanatokea kanda ya ziwa.Lakini kuna teuzi nyingi tu Rais kafanya ambazo hazitoki kanda ya ziwa.

Naweza mtajia Teuzi kadhaa hapa: Waziri mkuu,Mh Mwigulu,Mh Kabudi, Mh Mbarawa,Mh Ummy,Mh Kigwangala etc ,....Actually wewe pia unaweza nisaidia kumalizia hii list na mwishoni utagundua kuwa huyu Bwana (Lisu) hakuwa na lengo jingine zaidi ya kuleta chuki za kikanda na kikabila.

Hili nalo ni kosa la kujibu.

Help us spread patriotism by your like and share.
Visit us at:Dr Magufuli For Better Tanzania
Mpumbavu mkubwa wee!! Lugha ya kuudhi na uchonganishi ni IPI?!

Mjinga mkubwa!!!
 
Mtoa mada umetoka musoma wanakoongoza kulima BANGI na Avatar yako unavuta bangi kwenye kibuyu,hakika huwezi kuwa na ufahamu wako kama hujui viongizo wa Lumumba ni WATUSI.
Huenda ni hilo"DAGA"unalopuliza.
 
9bc43b322608fb823617eef0677c4b5d.jpg
 
Nimemsikia mwanasheria wa Lisu akiongea jana baada ya kesi ya Lisu kuahirishwa na yeye(Lisu) kurudishwa rumande.Napenda tu nimkumbushe huyu mama kuwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inampa mtanzania yeyote uhuru wa kutoa maoni na kukosoa.Lakini katiba hii haikupi uhuru wa kutoa maneno yenye kuudhi na kuchonganisha jamii.

Nikirejea kauli ya Lisu ambayo leo imemfikisha Rumande,alisikika akisema yafuatayo:

1. Alisema anawaomba wahisani wasimsaidie Rais kwa fedha,kwanza nimkosoe kitu kimoja wahisani hawamsaidii Rais wanawasaidia watanzania maskini.Hizo pesa za donors zikija hali Rais na familia yake ni kwa ajili ya watanzania wote wakiwemo na Iramba mashariki ambako ndiko jimboni kwake.

Sasa alipitisha karatasi akachukua maoni yetu wananchi kuwa hatutaki wahisani? Rais alichaguliwa na watanzani walio wengi, kwa kauli ile ya Lisu alitumwa na watanzania wa wapi? Maana ninajua watanzania walio wengi wanamuunga mkono Rais,Wanataka barabara,wanataka huduma za maji,Elimu na hospitali.

Hii ni kauli ya kuudhi.Mimi kama mtanzania nieudhika na kauli hii na nina imani wapo wengi kama mimi ambao pia wameudhiwa na hii kauli.Kutoa lugha ya kuudhi ni kosa kisheria

2. Bwana huyu pia alisikika akisema mawazo aliyotoa Rais Mwinyi ni ujinga? Hivi hili sio tusi? Unamuitaje mtu kuwa katoa mawazo ya kijinga kisa anatofautiana na wewe? Una uhakika gani kama hakuna mtanzania mwingine ambae angependa Rais Magufuli atawale miaka zaidi ya 10?

Unadhibitishaje hili bila kupata maoni ya wananchi? And then unapata authority wapi ya kuyaita mawazo ya Binadamu mwenzio ni ya kijinga? Ok fine let me agree with you kuwa ni ya kijinga and then Yenye akili/hekima ni yapi? na una uhakika upi kuwa watanzania walio wengi wana kuunga mkono kwa hayo yako unayo dhani ndio yana hekima? ,,,,,

Hapa napo kuna kosa la kujibia, Huyu bwana aliongea lugha ya kuudhi, kaniudhi mimi na Mtanzania mwenzangu ambao tuna mawazo kama ya mzee Mwinyi kwa kutuita tuna mawazo ya kijinga ,,,hili ni tusi pia.Huwezi kuniita kuwa nina mawazo ya kijinga wakati hakuna reference point inayonipa mawazo sahihi.

Ungeweza kuniita mjinga endapo ningeshindwa kujibu 1+1=2,,Hapo sawa coz kila mtu at some point anaweza kuwa mjinga wa jambo fulani.Lakini kwa hili la kutoa maoni and then UNAYAITA YA KIJINGA NI TUSI MUBASHARA.

Kama ni katiba, katiba sio msahafu kama wananchi wakitaka katiba ibadilishwe ili Rais aendelee kutawala miaka dahari na dahari hawawi wajinga kwa kufanya hivyo bali ni hekima coz hekima ndio inawaongoza kuamua hivyo kwa kuona potential alizo nazo Rais in comparison na other presidential candidates.

3. Halafu Bwana huyu alisikika akisema kuwa Rais kafanya ukabila katika teuzi zake,,,Alitoa tuhuma ambazo sio za kweli.Alitaja viongozi wachache ambao Rais aliwataeua and by coincidence wakawa wanatokea kanda ya ziwa.Lakini kuna teuzi nyingi tu Rais kafanya ambazo hazitoki kanda ya ziwa.

Naweza mtajia Teuzi kadhaa hapa: Waziri mkuu,Mh Mwigulu,Mh Kabudi, Mh Mbarawa,Mh Ummy,Mh Kigwangala etc ,....Actually wewe pia unaweza nisaidia kumalizia hii list na mwishoni utagundua kuwa huyu Bwana (Lisu) hakuwa na lengo jingine zaidi ya kuleta chuki za kikanda na kikabila.

Hili nalo ni kosa la kujibu.

Help us spread patriotism by your like and share.
Visit us at:Dr Magufuli For Better Tanzania
Ivi maana ya kutoa mawazo yako nini maana yake?je usifie tuu hauluhusiwi kukosoa?unajua maana ya uhuru wa mawazo?uhuru wamawazo upo pande mbili kusifia au kukosoa.je katba hairuhusu kukosoa?na je unatambua mtu yeyote akikosoa huonekana anakupinga nakuhisi unatukanwa?hayo nimawazo yake binafsi serikali au mkuu kama ime muuzi alipaswa amjibu tundulisi kipointi sio kumkamata.niishie hapo maana jiwe kamwe haliwez kuwa nazi.tuhangaikeni nahii nchi mpaka vitukuu vyetu ndo vitalikomboa hili taifa.
 
Nimemsikia mwanasheria wa Lisu akiongea jana baada ya kesi ya Lisu kuahirishwa na yeye(Lisu) kurudishwa rumande.Napenda tu nimkumbushe huyu mama kuwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inampa mtanzania yeyote uhuru wa kutoa maoni na kukosoa.Lakini katiba hii haikupi uhuru wa kutoa maneno yenye kuudhi na kuchonganisha jamii.

Nikirejea kauli ya Lisu ambayo leo imemfikisha Rumande,alisikika akisema yafuatayo:

1. Alisema anawaomba wahisani wasimsaidie Rais kwa fedha,kwanza nimkosoe kitu kimoja wahisani hawamsaidii Rais wanawasaidia watanzania maskini.Hizo pesa za donors zikija hali Rais na familia yake ni kwa ajili ya watanzania wote wakiwemo na Iramba mashariki ambako ndiko jimboni kwake.

Sasa alipitisha karatasi akachukua maoni yetu wananchi kuwa hatutaki wahisani? Rais alichaguliwa na watanzani walio wengi, kwa kauli ile ya Lisu alitumwa na watanzania wa wapi? Maana ninajua watanzania walio wengi wanamuunga mkono Rais,Wanataka barabara,wanataka huduma za maji,Elimu na hospitali.

Hii ni kauli ya kuudhi.Mimi kama mtanzania nieudhika na kauli hii na nina imani wapo wengi kama mimi ambao pia wameudhiwa na hii kauli.Kutoa lugha ya kuudhi ni kosa kisheria

2. Bwana huyu pia alisikika akisema mawazo aliyotoa Rais Mwinyi ni ujinga? Hivi hili sio tusi? Unamuitaje mtu kuwa katoa mawazo ya kijinga kisa anatofautiana na wewe? Una uhakika gani kama hakuna mtanzania mwingine ambae angependa Rais Magufuli atawale miaka zaidi ya 10?

Unadhibitishaje hili bila kupata maoni ya wananchi? And then unapata authority wapi ya kuyaita mawazo ya Binadamu mwenzio ni ya kijinga? Ok fine let me agree with you kuwa ni ya kijinga and then Yenye akili/hekima ni yapi? na una uhakika upi kuwa watanzania walio wengi wana kuunga mkono kwa hayo yako unayo dhani ndio yana hekima? ,,,,,

Hapa napo kuna kosa la kujibia, Huyu bwana aliongea lugha ya kuudhi, kaniudhi mimi na Mtanzania mwenzangu ambao tuna mawazo kama ya mzee Mwinyi kwa kutuita tuna mawazo ya kijinga ,,,hili ni tusi pia.Huwezi kuniita kuwa nina mawazo ya kijinga wakati hakuna reference point inayonipa mawazo sahihi.

Ungeweza kuniita mjinga endapo ningeshindwa kujibu 1+1=2,,Hapo sawa coz kila mtu at some point anaweza kuwa mjinga wa jambo fulani.Lakini kwa hili la kutoa maoni and then UNAYAITA YA KIJINGA NI TUSI MUBASHARA.

Kama ni katiba, katiba sio msahafu kama wananchi wakitaka katiba ibadilishwe ili Rais aendelee kutawala miaka dahari na dahari hawawi wajinga kwa kufanya hivyo bali ni hekima coz hekima ndio inawaongoza kuamua hivyo kwa kuona potential alizo nazo Rais in comparison na other presidential candidates.

3. Halafu Bwana huyu alisikika akisema kuwa Rais kafanya ukabila katika teuzi zake,,,Alitoa tuhuma ambazo sio za kweli.Alitaja viongozi wachache ambao Rais aliwataeua and by coincidence wakawa wanatokea kanda ya ziwa.Lakini kuna teuzi nyingi tu Rais kafanya ambazo hazitoki kanda ya ziwa.

Naweza mtajia Teuzi kadhaa hapa: Waziri mkuu,Mh Mwigulu,Mh Kabudi, Mh Mbarawa,Mh Ummy,Mh Kigwangala etc ,....Actually wewe pia unaweza nisaidia kumalizia hii list na mwishoni utagundua kuwa huyu Bwana (Lisu) hakuwa na lengo jingine zaidi ya kuleta chuki za kikanda na kikabila.

Hili nalo ni kosa la kujibu.

Help us spread patriotism by your like and share.
Visit us at:Dr Magufuli For Better Tanzania

Tatizo lako hata wewe ukiitwa kuwa ni "mjinga" waweza kudai ni tusi, umetukanwa....

Ukichagua kuudhika ktk hali yoyote utakuwa umechagua wewe, hujachaguliwa na mtu...

Yesu Kristo (Mfalme wa wafalme wote) alikosolewa sana, alinenewa uongo sana na kusingiziwa sana lakini kamwe hakuchagua kuudhika badala yake aliwapenda wote "waliotaka" audhike...

Kopeni hekima na busara hizi mtaishi maisha marefu na yenye furaha.... lakini mkichagua kuudhika tu hata pasipo na sbb ya kuudhika, hamna haja ya kumlaumu Tundu Lissu... jilaumuni wenyewe kwa sbb kinyago mmekichonga wenyewe haohao !!
 
Toa vifungu vinavyosapoti haya maandishi yako ambayo kimsingi umesema yana msingi wa kisheria/katiba.

Nikukumbushe tu mambo ya kisheri /katiba hayaandikwi kama unavyoandika barua ya mapenzi. Kuandika hayo uliyoyaandika ili yawe na mashiko ni sharti uambatanishe na supporting authority, vinginevyo kusema haya uyasemayo ni vema useme kuwa hayo ni mawazo yako na si kwa mijibu wa sheria/ katiba.
Swadakta .
 
Nimemsikia mwanasheria wa Lisu akiongea jana baada ya kesi ya Lisu kuahirishwa na yeye(Lisu) kurudishwa rumande.Napenda tu nimkumbushe huyu mama kuwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inampa mtanzania yeyote uhuru wa kutoa maoni na kukosoa.Lakini katiba hii haikupi uhuru wa kutoa maneno yenye kuudhi na kuchonganisha jamii.

Nikirejea kauli ya Lisu ambayo leo imemfikisha Rumande,alisikika akisema yafuatayo:

1. Alisema anawaomba wahisani wasimsaidie Rais kwa fedha,kwanza nimkosoe kitu kimoja wahisani hawamsaidii Rais wanawasaidia watanzania maskini.Hizo pesa za donors zikija hali Rais na familia yake ni kwa ajili ya watanzania wote wakiwemo na Iramba mashariki ambako ndiko jimboni kwake.

Sasa alipitisha karatasi akachukua maoni yetu wananchi kuwa hatutaki wahisani? Rais alichaguliwa na watanzani walio wengi, kwa kauli ile ya Lisu alitumwa na watanzania wa wapi? Maana ninajua watanzania walio wengi wanamuunga mkono Rais,Wanataka barabara,wanataka huduma za maji,Elimu na hospitali.

Hii ni kauli ya kuudhi.Mimi kama mtanzania nieudhika na kauli hii na nina imani wapo wengi kama mimi ambao pia wameudhiwa na hii kauli.Kutoa lugha ya kuudhi ni kosa kisheria

2. Bwana huyu pia alisikika akisema mawazo aliyotoa Rais Mwinyi ni ujinga? Hivi hili sio tusi? Unamuitaje mtu kuwa katoa mawazo ya kijinga kisa anatofautiana na wewe? Una uhakika gani kama hakuna mtanzania mwingine ambae angependa Rais Magufuli atawale miaka zaidi ya 10?

Unadhibitishaje hili bila kupata maoni ya wananchi? And then unapata authority wapi ya kuyaita mawazo ya Binadamu mwenzio ni ya kijinga? Ok fine let me agree with you kuwa ni ya kijinga and then Yenye akili/hekima ni yapi? na una uhakika upi kuwa watanzania walio wengi wana kuunga mkono kwa hayo yako unayo dhani ndio yana hekima? ,,,,,

Hapa napo kuna kosa la kujibia, Huyu bwana aliongea lugha ya kuudhi, kaniudhi mimi na Mtanzania mwenzangu ambao tuna mawazo kama ya mzee Mwinyi kwa kutuita tuna mawazo ya kijinga ,,,hili ni tusi pia.Huwezi kuniita kuwa nina mawazo ya kijinga wakati hakuna reference point inayonipa mawazo sahihi.

Ungeweza kuniita mjinga endapo ningeshindwa kujibu 1+1=2,,Hapo sawa coz kila mtu at some point anaweza kuwa mjinga wa jambo fulani.Lakini kwa hili la kutoa maoni and then UNAYAITA YA KIJINGA NI TUSI MUBASHARA.

Kama ni katiba, katiba sio msahafu kama wananchi wakitaka katiba ibadilishwe ili Rais aendelee kutawala miaka dahari na dahari hawawi wajinga kwa kufanya hivyo bali ni hekima coz hekima ndio inawaongoza kuamua hivyo kwa kuona potential alizo nazo Rais in comparison na other presidential candidates.

3. Halafu Bwana huyu alisikika akisema kuwa Rais kafanya ukabila katika teuzi zake,,,Alitoa tuhuma ambazo sio za kweli.Alitaja viongozi wachache ambao Rais aliwataeua and by coincidence wakawa wanatokea kanda ya ziwa.Lakini kuna teuzi nyingi tu Rais kafanya ambazo hazitoki kanda ya ziwa.

Naweza mtajia Teuzi kadhaa hapa: Waziri mkuu,Mh Mwigulu,Mh Kabudi, Mh Mbarawa,Mh Ummy,Mh Kigwangala etc ,....Actually wewe pia unaweza nisaidia kumalizia hii list na mwishoni utagundua kuwa huyu Bwana (Lisu) hakuwa na lengo jingine zaidi ya kuleta chuki za kikanda na kikabila.

Hili nalo ni kosa la kujibu.

Help us spread patriotism by your like and share.
Visit us at:Dr Magufuli For Better Tanzania
Wewe ni zaidi ya zumbukuku no 1

In God we trust
 
Nimemsikia mwanasheria wa Lisu akiongea jana baada ya kesi ya Lisu kuahirishwa na yeye(Lisu) kurudishwa rumande.Napenda tu nimkumbushe huyu mama kuwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inampa mtanzania yeyote uhuru wa kutoa maoni na kukosoa.Lakini katiba hii haikupi uhuru wa kutoa maneno yenye kuudhi na kuchonganisha jamii.

Nikirejea kauli ya Lisu ambayo leo imemfikisha Rumande,alisikika akisema yafuatayo:

1. Alisema anawaomba wahisani wasimsaidie Rais kwa fedha,kwanza nimkosoe kitu kimoja wahisani hawamsaidii Rais wanawasaidia watanzania maskini.Hizo pesa za donors zikija hali Rais na familia yake ni kwa ajili ya watanzania wote wakiwemo na Iramba mashariki ambako ndiko jimboni kwake.

Sasa alipitisha karatasi akachukua maoni yetu wananchi kuwa hatutaki wahisani? Rais alichaguliwa na watanzani walio wengi, kwa kauli ile ya Lisu alitumwa na watanzania wa wapi? Maana ninajua watanzania walio wengi wanamuunga mkono Rais,Wanataka barabara,wanataka huduma za maji,Elimu na hospitali.

Hii ni kauli ya kuudhi.Mimi kama mtanzania nieudhika na kauli hii na nina imani wapo wengi kama mimi ambao pia wameudhiwa na hii kauli.Kutoa lugha ya kuudhi ni kosa kisheria

2. Bwana huyu pia alisikika akisema mawazo aliyotoa Rais Mwinyi ni ujinga? Hivi hili sio tusi? Unamuitaje mtu kuwa katoa mawazo ya kijinga kisa anatofautiana na wewe? Una uhakika gani kama hakuna mtanzania mwingine ambae angependa Rais Magufuli atawale miaka zaidi ya 10?

Unadhibitishaje hili bila kupata maoni ya wananchi? And then unapata authority wapi ya kuyaita mawazo ya Binadamu mwenzio ni ya kijinga? Ok fine let me agree with you kuwa ni ya kijinga and then Yenye akili/hekima ni yapi? na una uhakika upi kuwa watanzania walio wengi wana kuunga mkono kwa hayo yako unayo dhani ndio yana hekima? ,,,,,

Hapa napo kuna kosa la kujibia, Huyu bwana aliongea lugha ya kuudhi, kaniudhi mimi na Mtanzania mwenzangu ambao tuna mawazo kama ya mzee Mwinyi kwa kutuita tuna mawazo ya kijinga ,,,hili ni tusi pia.Huwezi kuniita kuwa nina mawazo ya kijinga wakati hakuna reference point inayonipa mawazo sahihi.

Ungeweza kuniita mjinga endapo ningeshindwa kujibu 1+1=2,,Hapo sawa coz kila mtu at some point anaweza kuwa mjinga wa jambo fulani.Lakini kwa hili la kutoa maoni and then UNAYAITA YA KIJINGA NI TUSI MUBASHARA.

Kama ni katiba, katiba sio msahafu kama wananchi wakitaka katiba ibadilishwe ili Rais aendelee kutawala miaka dahari na dahari hawawi wajinga kwa kufanya hivyo bali ni hekima coz hekima ndio inawaongoza kuamua hivyo kwa kuona potential alizo nazo Rais in comparison na other presidential candidates.

3. Halafu Bwana huyu alisikika akisema kuwa Rais kafanya ukabila katika teuzi zake,,,Alitoa tuhuma ambazo sio za kweli.Alitaja viongozi wachache ambao Rais aliwataeua and by coincidence wakawa wanatokea kanda ya ziwa.Lakini kuna teuzi nyingi tu Rais kafanya ambazo hazitoki kanda ya ziwa.

Naweza mtajia Teuzi kadhaa hapa: Waziri mkuu,Mh Mwigulu,Mh Kabudi, Mh Mbarawa,Mh Ummy,Mh Kigwangala etc ,....Actually wewe pia unaweza nisaidia kumalizia hii list na mwishoni utagundua kuwa huyu Bwana (Lisu) hakuwa na lengo jingine zaidi ya kuleta chuki za kikanda na kikabila.

Hili nalo ni kosa la kujibu.

Help us spread patriotism by your like and share.
Visit us at:Dr Magufuli For Better Tanzania
Unabugia bhange kwenye buyuu

In God we trust
 
Nimemsikia mwanasheria wa Lisu akiongea jana baada ya kesi ya Lisu kuahirishwa na yeye(Lisu) kurudishwa rumande.Napenda tu nimkumbushe huyu mama kuwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inampa mtanzania yeyote uhuru wa kutoa maoni na kukosoa.Lakini katiba hii haikupi uhuru wa kutoa maneno yenye kuudhi na kuchonganisha jamii.

Nikirejea kauli ya Lisu ambayo leo imemfikisha Rumande,alisikika akisema yafuatayo:

1. Alisema anawaomba wahisani wasimsaidie Rais kwa fedha,kwanza nimkosoe kitu kimoja wahisani hawamsaidii Rais wanawasaidia watanzania maskini.Hizo pesa za donors zikija hali Rais na familia yake ni kwa ajili ya watanzania wote wakiwemo na Iramba mashariki ambako ndiko jimboni kwake.

Sasa alipitisha karatasi akachukua maoni yetu wananchi kuwa hatutaki wahisani? Rais alichaguliwa na watanzani walio wengi, kwa kauli ile ya Lisu alitumwa na watanzania wa wapi? Maana ninajua watanzania walio wengi wanamuunga mkono Rais,Wanataka barabara,wanataka huduma za maji,Elimu na hospitali.

Hii ni kauli ya kuudhi.Mimi kama mtanzania nieudhika na kauli hii na nina imani wapo wengi kama mimi ambao pia wameudhiwa na hii kauli.Kutoa lugha ya kuudhi ni kosa kisheria

2. Bwana huyu pia alisikika akisema mawazo aliyotoa Rais Mwinyi ni ujinga? Hivi hili sio tusi? Unamuitaje mtu kuwa katoa mawazo ya kijinga kisa anatofautiana na wewe? Una uhakika gani kama hakuna mtanzania mwingine ambae angependa Rais Magufuli atawale miaka zaidi ya 10?

Unadhibitishaje hili bila kupata maoni ya wananchi? And then unapata authority wapi ya kuyaita mawazo ya Binadamu mwenzio ni ya kijinga? Ok fine let me agree with you kuwa ni ya kijinga and then Yenye akili/hekima ni yapi? na una uhakika upi kuwa watanzania walio wengi wana kuunga mkono kwa hayo yako unayo dhani ndio yana hekima? ,,,,,

Hapa napo kuna kosa la kujibia, Huyu bwana aliongea lugha ya kuudhi, kaniudhi mimi na Mtanzania mwenzangu ambao tuna mawazo kama ya mzee Mwinyi kwa kutuita tuna mawazo ya kijinga ,,,hili ni tusi pia.Huwezi kuniita kuwa nina mawazo ya kijinga wakati hakuna reference point inayonipa mawazo sahihi.

Ungeweza kuniita mjinga endapo ningeshindwa kujibu 1+1=2,,Hapo sawa coz kila mtu at some point anaweza kuwa mjinga wa jambo fulani.Lakini kwa hili la kutoa maoni and then UNAYAITA YA KIJINGA NI TUSI MUBASHARA.

Kama ni katiba, katiba sio msahafu kama wananchi wakitaka katiba ibadilishwe ili Rais aendelee kutawala miaka dahari na dahari hawawi wajinga kwa kufanya hivyo bali ni hekima coz hekima ndio inawaongoza kuamua hivyo kwa kuona potential alizo nazo Rais in comparison na other presidential candidates.

3. Halafu Bwana huyu alisikika akisema kuwa Rais kafanya ukabila katika teuzi zake,,,Alitoa tuhuma ambazo sio za kweli.Alitaja viongozi wachache ambao Rais aliwataeua and by coincidence wakawa wanatokea kanda ya ziwa.Lakini kuna teuzi nyingi tu Rais kafanya ambazo hazitoki kanda ya ziwa.

Naweza mtajia Teuzi kadhaa hapa: Waziri mkuu,Mh Mwigulu,Mh Kabudi, Mh Mbarawa,Mh Ummy,Mh Kigwangala etc ,....Actually wewe pia unaweza nisaidia kumalizia hii list na mwishoni utagundua kuwa huyu Bwana (Lisu) hakuwa na lengo jingine zaidi ya kuleta chuki za kikanda na kikabila.

Hili nalo ni kosa la kujibu.

Help us spread patriotism by your like and share.
Visit us at:Dr Magufuli For Better Tanzania
Wewe ni "KILAZA" in maguful voice.
 
Nimemsikia mwanasheria wa Lisu akiongea jana baada ya kesi ya Lisu kuahirishwa na yeye(Lisu) kurudishwa rumande.Napenda tu nimkumbushe huyu mama kuwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inampa mtanzania yeyote uhuru wa kutoa maoni na kukosoa.Lakini katiba hii haikupi uhuru wa kutoa maneno yenye kuudhi na kuchonganisha jamii.

Nikirejea kauli ya Lisu ambayo leo imemfikisha Rumande,alisikika akisema yafuatayo:

1. Alisema anawaomba wahisani wasimsaidie Rais kwa fedha,kwanza nimkosoe kitu kimoja wahisani hawamsaidii Rais wanawasaidia watanzania maskini.Hizo pesa za donors zikija hali Rais na familia yake ni kwa ajili ya watanzania wote wakiwemo na Iramba mashariki ambako ndiko jimboni kwake.

Sasa alipitisha karatasi akachukua maoni yetu wananchi kuwa hatutaki wahisani? Rais alichaguliwa na watanzani walio wengi, kwa kauli ile ya Lisu alitumwa na watanzania wa wapi? Maana ninajua watanzania walio wengi wanamuunga mkono Rais,Wanataka barabara,wanataka huduma za maji,Elimu na hospitali.

Hii ni kauli ya kuudhi.Mimi kama mtanzania nieudhika na kauli hii na nina imani wapo wengi kama mimi ambao pia wameudhiwa na hii kauli.Kutoa lugha ya kuudhi ni kosa kisheria

2. Bwana huyu pia alisikika akisema mawazo aliyotoa Rais Mwinyi ni ujinga? Hivi hili sio tusi? Unamuitaje mtu kuwa katoa mawazo ya kijinga kisa anatofautiana na wewe? Una uhakika gani kama hakuna mtanzania mwingine ambae angependa Rais Magufuli atawale miaka zaidi ya 10?

Unadhibitishaje hili bila kupata maoni ya wananchi? And then unapata authority wapi ya kuyaita mawazo ya Binadamu mwenzio ni ya kijinga? Ok fine let me agree with you kuwa ni ya kijinga and then Yenye akili/hekima ni yapi? na una uhakika upi kuwa watanzania walio wengi wana kuunga mkono kwa hayo yako unayo dhani ndio yana hekima? ,,,,,

Hapa napo kuna kosa la kujibia, Huyu bwana aliongea lugha ya kuudhi, kaniudhi mimi na Mtanzania mwenzangu ambao tuna mawazo kama ya mzee Mwinyi kwa kutuita tuna mawazo ya kijinga ,,,hili ni tusi pia.Huwezi kuniita kuwa nina mawazo ya kijinga wakati hakuna reference point inayonipa mawazo sahihi.

Ungeweza kuniita mjinga endapo ningeshindwa kujibu 1+1=2,,Hapo sawa coz kila mtu at some point anaweza kuwa mjinga wa jambo fulani.Lakini kwa hili la kutoa maoni and then UNAYAITA YA KIJINGA NI TUSI MUBASHARA.

Kama ni katiba, katiba sio msahafu kama wananchi wakitaka katiba ibadilishwe ili Rais aendelee kutawala miaka dahari na dahari hawawi wajinga kwa kufanya hivyo bali ni hekima coz hekima ndio inawaongoza kuamua hivyo kwa kuona potential alizo nazo Rais in comparison na other presidential candidates.

3. Halafu Bwana huyu alisikika akisema kuwa Rais kafanya ukabila katika teuzi zake,,,Alitoa tuhuma ambazo sio za kweli.Alitaja viongozi wachache ambao Rais aliwataeua and by coincidence wakawa wanatokea kanda ya ziwa.Lakini kuna teuzi nyingi tu Rais kafanya ambazo hazitoki kanda ya ziwa.

Naweza mtajia Teuzi kadhaa hapa: Waziri mkuu,Mh Mwigulu,Mh Kabudi, Mh Mbarawa,Mh Ummy,Mh Kigwangala etc ,....Actually wewe pia unaweza nisaidia kumalizia hii list na mwishoni utagundua kuwa huyu Bwana (Lisu) hakuwa na lengo jingine zaidi ya kuleta chuki za kikanda na kikabila.

Hili nalo ni kosa la kujibu.

Help us spread patriotism by your like and share.
Visit us at:Dr Magufuli For Better Tanzania
Kuhoji ukiukwaji wa mfumo wa kikatiba wa vyama vingi vya siasa siyo uchochezi
 
Mkapa alirudia tusi mbele ya JPM kwa mara ya pili akiwatukana watanzania zaidi ya mil 6 kuwa ni wapumbavu na malofa,JPM akakenua meno akichekelea!Kwako hilo sio tusi wala lugha ya kuudhi!
Mkapa hakutoa Tusi ,alisema ukweli.Tanzania ilishakombolewa siku nyingi na watu walipoteza Maisha katika harakati za kuikomboa Tanzania,Mfano vita vya majimaji nk...Mwalimu Nyerere alipoteza kazi ya ualimu Pugu alipoamua kuingia kwenye siasa za ukombozi wa Tanganyika leo mtu anakuja na hoja ya kutaka kuikomboa Tanzania ,,,,? Are you serious,is Tanzania in the hands of colonial Masters? Unapokuwa hujui kitu na hutaki kuelimishwa hapo ndio unapo itwa mpumbau......Rais mkapa alitoa jina sahihi kwa watu sahihi
 
Nimemsikia mwanasheria wa Lisu akiongea jana baada ya kesi ya Lisu kuahirishwa na yeye(Lisu) kurudishwa rumande.Napenda tu nimkumbushe huyu mama kuwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inampa mtanzania yeyote uhuru wa kutoa maoni na kukosoa.Lakini katiba hii haikupi uhuru wa kutoa maneno yenye kuudhi na kuchonganisha jamii.

Nikirejea kauli ya Lisu ambayo leo imemfikisha Rumande,alisikika akisema yafuatayo:

1. Alisema anawaomba wahisani wasimsaidie Rais kwa fedha,kwanza nimkosoe kitu kimoja wahisani hawamsaidii Rais wanawasaidia watanzania maskini.Hizo pesa za donors zikija hali Rais na familia yake ni kwa ajili ya watanzania wote wakiwemo na Iramba mashariki ambako ndiko jimboni kwake.

Sasa alipitisha karatasi akachukua maoni yetu wananchi kuwa hatutaki wahisani? Rais alichaguliwa na watanzani walio wengi, kwa kauli ile ya Lisu alitumwa na watanzania wa wapi? Maana ninajua watanzania walio wengi wanamuunga mkono Rais,Wanataka barabara,wanataka huduma za maji,Elimu na hospitali.

Hii ni kauli ya kuudhi.Mimi kama mtanzania nieudhika na kauli hii na nina imani wapo wengi kama mimi ambao pia wameudhiwa na hii kauli.Kutoa lugha ya kuudhi ni kosa kisheria

2. Bwana huyu pia alisikika akisema mawazo aliyotoa Rais Mwinyi ni ujinga? Hivi hili sio tusi? Unamuitaje mtu kuwa katoa mawazo ya kijinga kisa anatofautiana na wewe? Una uhakika gani kama hakuna mtanzania mwingine ambae angependa Rais Magufuli atawale miaka zaidi ya 10?

Unadhibitishaje hili bila kupata maoni ya wananchi? And then unapata authority wapi ya kuyaita mawazo ya Binadamu mwenzio ni ya kijinga? Ok fine let me agree with you kuwa ni ya kijinga and then Yenye akili/hekima ni yapi? na una uhakika upi kuwa watanzania walio wengi wana kuunga mkono kwa hayo yako unayo dhani ndio yana hekima? ,,,,,

Hapa napo kuna kosa la kujibia, Huyu bwana aliongea lugha ya kuudhi, kaniudhi mimi na Mtanzania mwenzangu ambao tuna mawazo kama ya mzee Mwinyi kwa kutuita tuna mawazo ya kijinga ,,,hili ni tusi pia.Huwezi kuniita kuwa nina mawazo ya kijinga wakati hakuna reference point inayonipa mawazo sahihi.

Ungeweza kuniita mjinga endapo ningeshindwa kujibu 1+1=2,,Hapo sawa coz kila mtu at some point anaweza kuwa mjinga wa jambo fulani.Lakini kwa hili la kutoa maoni and then UNAYAITA YA KIJINGA NI TUSI MUBASHARA.

Kama ni katiba, katiba sio msahafu kama wananchi wakitaka katiba ibadilishwe ili Rais aendelee kutawala miaka dahari na dahari hawawi wajinga kwa kufanya hivyo bali ni hekima coz hekima ndio inawaongoza kuamua hivyo kwa kuona potential alizo nazo Rais in comparison na other presidential candidates.

3. Halafu Bwana huyu alisikika akisema kuwa Rais kafanya ukabila katika teuzi zake,,,Alitoa tuhuma ambazo sio za kweli.Alitaja viongozi wachache ambao Rais aliwataeua and by coincidence wakawa wanatokea kanda ya ziwa.Lakini kuna teuzi nyingi tu Rais kafanya ambazo hazitoki kanda ya ziwa.

Naweza mtajia Teuzi kadhaa hapa: Waziri mkuu,Mh Mwigulu,Mh Kabudi, Mh Mbarawa,Mh Ummy,Mh Kigwangala etc ,....Actually wewe pia unaweza nisaidia kumalizia hii list na mwishoni utagundua kuwa huyu Bwana (Lisu) hakuwa na lengo jingine zaidi ya kuleta chuki za kikanda na kikabila.

Hili nalo ni kosa la kujibu.

Help us spread patriotism by your like and share.
Visit us at:Dr Magufuli For Better Tanzania
Wewe kada ngoja nikuulize swali dogo tu kuwa unasema Lissu kuita kauli ya mzee Mwinyi kutaka kipindi cha Rais wetu Magufuli badala ya kuwa cha miaka 10 badala yake awe Life President wetu kuwa ni mawazo ya kijinga unayaita hayo ni matusi na ndiyo yaliyomfanya hadi sasa aendelee kusota rumande kule Keko hadi Leo....

Hivi kama ndiyo hivyo, ni kwanini Mkapa hadi leo bado yuko uraiani anatanua hajakamatwa na Polisi wakati majuzi kule Chato alituita watanzania wote wapumbavu na malofa?

Hivi kati ya mtu aliyeita matamshi ya mzee Mwinyi ni ya kijinga na yule aliyesema watanzania wote ni wapumbavu na malofa, hivi kati ya hayo wawili ni nani hasa aliyetukana?

Naomba unijibu bila kutumbukiza ukada wako....
 
Back
Top Bottom