Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
Ndio unadanganywa kitoto hivi? Ibara ya 116 ya katiba ya JMT inasema hivyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio unadanganywa kitoto hivi? Ibara ya 116 ya katiba ya JMT inasema hivyo?
Ndio unadanganywa kitoto hivi? Ibara ya 116 ya katiba ya JMT inasema hivyo?
Rais anajiamulia tu, anatuchukuliaje watanzania lakini?Hii hapa mkuuView attachment 1713309
Mkuu MIGNON, nimeshawishika nami kujiunga katika mjadala huu wa 'kuelimishana' juu ya katiba na sheria.Naomba unisome vizuri.JF ni sehemu ya kuelimishana nami najua kuwa atakalo rais liwe huwa linakuwa ila Kikatiba na kisheria.Ningetegemea uweke vifungu vya katiba/sheria ili tuwe na mjadala mzuri!
Ujanjaujanja Mwingi Unafki BhalaaNadhani aliteuliwa kuwa Balozi Kwanza ili atimize matakwa ya kuwa Mtumishi wa serikali na baadae kuteuliwa kuwa katibu kiongozi.
Ahsante sana mkuu. Bila shaka wakuuJoka Kuu na MIGNON watafaidika na msaada huu ulioweka hapa.Hii hapa mkuuView attachment 1713309
Unayo Katiba ya Tanzania?? Ibara ya 116 haihusiani kabisa na ulichopost hapoHii hapa mkuuView attachment 1713309
Watu ni wapuuzi mno! Mijitu mizima inadanganywa na vifungu vya Katiba hewa na inakubaliNdio unadanganywa kitoto hivi? Ibara ya 116 ya katiba ya JMT inasema hivyo?
Nafasi za uteuzi zaSijui unataka kujua nini. Kikatiba raisi anayo haki ya kumteua Katibu kiongozi. Kama matakwa ya kikatiba yamekidhi huenda ya kisheria yamekidhi pia. Anayaeteuliwa anatakiwa awe mwananchi. Aliyeteuliwa ni Nshomile Mtanzania halisi wala si Mganda Kyaka. Hii ina maana naye amekidhi matakwa ya kikatiba na kwa hiyo ya kisheria. Una swali lingine?
Ni hivyo, hata mkulima anaweza kuwa mtumishi wa serikali muda wowote na kuwa katibu kiongozi, mbona Hatu shangai mawaziri ambao wanateuliwa kuwa wabunge then anakuwa waziri, mambo ni Yale yale tuUjanjaujanja Mwingi Unafki Bhalaa
Watumishi waandamizi wa umma ni nani na nani?..katibu mkuu kiongozi anatakiwa ateuliwa toka miongoni mwa watumishi waandamizi wa umma.
👍Nadhani aliteuliwa kuwa Balozi Kwanza ili atimize matakwa ya kuwa Mtumishi wa serikali na baadae kuteuliwa kuwa katibu kiongozi.
Watumishi waandamizi wa umma ni nani na nani?
Kachemkaje kikatiba na kisheria?Kifupi wewe fahamu tu, kikatiba, kisheria na kikanuni Rais Magufuli kashemka vibaya.
Kaokota tu mtu huko Lumumba na kumpa cheo cha juu serikalini.
Swadaktaaa,ni kuelimishana kwani hatuwezi kubadili.Kule Jamhuri ya Twitter naona vipengele vimeanza kuwekwa na fununu za kuwa "afisa kipenyo"Mkuu MIGNON, nimeshawishika nami kujiunga katika mjadala huu wa 'kuelimishana' juu ya katiba na sheria.
Sijaona ukipewa jibu la kukuelimisha/kutuelimisha.
Lakini, pengine iwe ni kutumia tu fursa kuelimika, na sio kwamba hicho kilichomo kwenye sheria/Katiba kinamanufaa yoyote kwa wakati huu tuliomo; kwani Katiba na sheria hata kama zipo zinazozungumzia uteuzi huu, mteuzi kama ujuavyo hadi sasa hazuiwi na Katiba au sheria yoyote kufanya anayoona yeye yanafaa.
Kuna mifano mingi inayoonyesha kuwa kiongozi huyu hazuiwi na sheria wala katiba. Kwa hiyo pengine kuhoji/kuelimishwa unakotafuta hapa kutokana na uteuzi huu, pengine ni kujiridhisha tu kuwa Katiba na sheria zipo zinazohusu aina ya uteuzi huu, hata kama hazifuatwi.
Nami pia ningependa kuelimika tu juu ya hili, hata kama sihoji chochote juu yake, kwa kujua kuwa ni utaratibu wa kawaida wa mteuzi.
Kwa mujibu wa nini/ nani?..utumishi wa umma ni serikali kuu na taasisi zake.
..watumishi waandamizi ni manaibu katibu wakuu, makatibu wakuu, na wateule wa raisi ktk taasisi za serikali.
Aste aste tusije kuweka vifungu vya rasimu ya WariobaAhsante sana mkuu. Bila shaka wakuuJoka Kuu na MIGNON watafaidika na msaada huu ulioweka hapa.