Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Katiba imevunjwaje?Ni muendelezo wa uvunjivu wa katiba yetu tena wa waziwazi kabisa. Hii ni aibu kubwa mno.
Mambo ni ku force force king tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katiba imevunjwaje?Ni muendelezo wa uvunjivu wa katiba yetu tena wa waziwazi kabisa. Hii ni aibu kubwa mno.
Mambo ni ku force force king tu.
Nadhani aliteuliwa kuwa Balozi Kwanza ili atimize matakwa ya kuwa Mtumishi wa serikali na baadae kuteuliwa kuwa katibu kiongozi.
Siku ukija kushtuka itakuwa too late brother endelea kutafuna mahindiKwa kifupi JIWE kachemka sana na hakuna mtu wa kumwambia. Chief Secretary ilipaswa atoke miongoni mwa maafisa waandamizi wa serikali siyo mtumishi wa chama cha siasa.
Kwani hizo teuzi haziwezi kuwa simultaneously?..kwenye taarifa ya Ikulu inaonyesha alimteua kuwa katibu mkuu, halafu akamteua kuwa balozi.
Kwa mujibu wa nini/ nani?
Je, mabalozi wao sio watumishi waandamizi?
Bashiru alikuwa mtumishi wa umma alikuwa mwalimu UDSMNafasi za uteuzi za
1. Wakurugenzi
2. DAS + RAS
3. Makatibu
Hawa wotee ni watumishi wa umma.
Huwa kama promotion kwao.
Sasa kwanini Magu anavunja Sheria hii ya utumishi wa umma?
#YNWA
Hahaaaa!..ingekuwa sahihi kama ni balozi aliyetokea ktk kada ya foreign service officers.
..mabalozi wanaoteuliwa toka nje ya serikali ni mabalozi wa kisiasa.
Kwani hizo teuzi haziwezi kuwa simultaneously?
Mbona kuna mawaziri ambao huwa wanateuliwa kuwa wabunge na kuwa mawaziri kwa wakati mmoja....au nakosea?
Aibu kubwa.Watu ni wapuuzi mno! Mijiti mizima inadanganywa na vifungu vya Katiba hewa na inakubali
Mods naomba tuuache uzi huu ujitegemee ili tuweze kupata mwanga wa kikatiba na kisheria kuhusu uteuzi tajwa.Pamekuwa na kambi mbili katika uteuzi huu na msaada wa wadau wa katiba na sheria unaweza kutupa mwanga.
Najua kuna jukwaa la mambo ya sheria lakini uteuzi huu una athari za kisiasa ambazo inawezekana kwa sasa hazipo wazi.
Tusaidieni tujue ukweli ni upi
Katiba imevunjwaje?
Kwahiyo baada ya kuteuliwa kua Katibu wa CCM Taifa aliendelea kua Mwalimu na mtumishi wa umma?Bashiru alikuwa mtumishi wa umma alikuwa mwalimu UDSM
Bashiru alikuwa mtumishi wa umma alikuwa mwalimu UDSM
HahahahaaNdugu yangu utaumiza kichwa jambo la msingi ni kujikinga na corona
Hiyo nafasi ya ualimu haku retire....Kwahiyo baada ya kuteuliwa kua Katibu wa CCM Taifa aliendelea kua Mwalimu na mtumishi wa umma?View attachment 1713332
Again, hiyo ni kwa mujibu wa nini?..ubalozi ni ama upewe nchi ya kuwakilisha, au uwe mkuu wa idara makao makuu ya wizara. sasa Dr.Bashiru alitumikia wapi huo ubalozi?
Jibu swali: katiba imevunjwaje?kaanze kwanza kusoma " The Public Services Act"
Duuh kwahiyo aliendelea kufundisha na kulipwa mshahara?Hiyo nafasi ya ualimu haku retire....
Tanzania tokea ianze hatujawahi kuwa na mabalozi wa vyeo/ hadhi tu ambao hawakuwahi kuiwakilisha nchi au kuwa wakuu wa idara?
Hii ni rasimu ya Warioba siyo katiba ya sasa inavyosemaKwahiyo baada ya kuteuliwa kua Katibu wa CCM Taifa aliendelea kua Mwalimu na mtumishi wa umma?View attachment 1713332