Katiba Inayopendekezwa imekujali hata wewe unayekaidi na kuipinga.

Katiba Inayopendekezwa imekujali hata wewe unayekaidi na kuipinga.

Sijaafiki mtazamo wako wa kusema "Mchakato wa kutengeneza katiba ulivurugwa kwa ubabe wa CCM, rushwa na vitisho na kukiuka sheria ya mabadiliko ya katiba" kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za mchakato wa kuanzishwa Katiba Mpya. Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83 limezingatia na kuwekwa pamoja mabadiliko yote yaliyofanywa katika Sheria hii tangu ilipotungwa mwaka 2011 hadi tarehe 31 Desemba, 2013 na limechapishwa kwa mujibu wa kifungu cha 4 cha Sheria ya Urekebu Sheria, Sura ya 4. Sheria ni nzuri mno na ipo wazi inaonesha kuanzia Jina lenyewe la Sheria, Matumizi, Tafsiri, Madhumuni, Uundaji wa Tume, Uteuzi wa wajumbe wa Tume, Muundo wa Tume, Hadidu za rejea, Kazi za Tume, Uhuru wa Tume, Kiapo cha wajumbe na Katibu wa Tume, Ukomo wa ujumbe, Sekretarieti, Gharama za Tume, Kinga kwa wajumbe wa Tume na Sekretarieti, Ukaguzi wa Hesabu zaTume, utaratibu wa utendaji kazi wa Tume, kuitisha Bunge Maalum.


Kuhusu hoja yako ya 2. Inayohusu "Muundo wa BMK uliandaliwa mahsusi kuiwezesha CCM kuupiku mjadala mzima" Wewe siyo mfuatiliaji wa mambo, hoja yako hii ni dhahania tu.


Bwana, Kama huna facts usiwadanganye Watanzania. Pennye ukweli tuwe wakweli, Jamani Bunge Maalum lilitishwa Sheria Na. 9 ya mwaka, 2013 na Tangazo la Serikali Na.394 la mwaka 2011 Amri ya 2 aya (r) SEHEMU YA TANO. Sehemu hii inahusu kuitishwa kwa Bunge Maalum ambapo litakalokuwa na wajumbe wafuatao: (a) wabunge wote wa Bunge la Jamhuri ya Muungano; (b) wajumbe wote wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar; (c) wajumbe mia mbili na moja watakaoteuliwa na Rais kwa makubaliano na Rais wa Zanzibar kama ifuatavyo: (i) wajumbe ishirini kutoka Taasisi zisizokuwa za Kiserikali; Sheria ya Mabadiliko ya Katiba [Sura ya 83 Toleo la mwaka 2014] (ii) wajumbe ishirini kutoka Taasisi za Kidini; (iii) wajumbe arobaini na mbili kutoka Vyama vyote vya Siasa vyenye usajili wa kudumu; (iv) wajumbe ishirini kutoka Taasisi za Elimu; (v) wajumbe ishirini kutoka katika makundi ya watu wenye ulemavu; (vi) wajumbe kumi na tisa kutoka Vyama vya Wafanyakazi; (vii) wajumbe kumi kutoka Vyama vinavyowakilisha Wafugaji; (viii) wajumbe kumi kutoka Vyama vinavyowakilisha Wavuvi; (ix) wajumbe ishirini kutoka Vyama vya Wakulima; (x) wajumbe ishirini kutoka makundi mengine yoyote ambayo yana malengo yanayofanana.


Kuhusu hoja yako ya 3. Inayohusu "Maoni yaliyowasilishwa na tume ya mabadiliko ya katiba yalikataliwa hata kabla ya kujadiliwa kulingana na mahitaji ya sheria". Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83 imezingatia na kuweka pamoja mabadiliko yote yaliyofanywa katika Sheria hii tangu ilipotungwa mwaka 2011 hadi tarehe 31 Desemba, 2013kwa kuanzaia ambapo kazi hiyo ilianza na uundwaji wa Tume, utaratibu wa utendaji kazi wa Tume, kwa kuzingatia Utaratibu wa utendaji kazi, Mabaraza ya Katiba, Ripoti ya Tume, Uwasilishaji na uchapishaji wa ripoti hatimaye kuitisha Bunge Maalum ambapo taratibu zote zimefuatwa kwa uhalisia wake.


Cha kusikitisha zaidi ndg MTK, hoja yako ya 4 Inayohusu "Serikali ilijihusisha katika vitendo vya kuihujuma tume ya mabadiliko ya katiba kwa kuivunja kinyemela na kuifunga Tovuti yake ili wananchi wasiyasome maoni ya tume kwa kina. (walikuwa na jambo wanalificha hapa)", MTK, acha uongo,mimi naipenda nchi yangu, siko tayari kwa udanganyifu unaoufanya bila kuwa na uthibitisho wenye uhalali unaoweza kunishawishi kuhusu masuala hayo uliyoyaainisha. Ukweli ni kwamba Kuvunjwa kwa Tume kumefuata hatua zote na halali kisheria zaidi ya hapo kumetambuliwa hata kwenye Tangazo la Serikali Na.394 la mwaka 2011 Amri ya 2 aya (cc) Sheria Na. 9 ya mwaka 2013 kifungu cha 5. Baada ya kuwasilishwa kwa Rasimu ya Katiba kwenye Bunge Maalum chini ya kifungu cha 20(3), Rais, kwa amri iliyochapishwa kwenye Gazeti la Serikali, ataivunja Tume. (2) Kuvunjwa kwa Tume kwa amri ya Rais kutakuwa na maana ya ukomo wa mamlaka ya Tume na Sekretarieti. Jamani wanaJF, watu hawa ambao wanatoa maneno yasiyo na msingi mimi huwa wananikwaza kwa kuwa siyo wakweli bali wanawahadaa Watanzania na wasomaji wa JF. Ndg wachangiaji na wasomaji wa jukwaa hili sitachoka kusema ukweli palipo na ukweli. Sasa basi nchi yetu inaheshimu na kuzingatia misingi ya utu na udugu, uhuru, kujitegemea, haki, usawa, amani na utulivu, umoja na mshikamano katika nyanja zote za maisha yetu, tusikubali wapotoshaji wachache wachafue nchi hii kwa maslahi yao binafsi

Tukumbuke kuijenga, kuikuza na kuendeleza amani, umoja, ujirani mwema na ushirikiano na mataifa mbalimbali ya Afrika na dunia kwa ujumla; urithi tulioachiwa na Waasisi wa Taifa letu wa kujenga nchi yenye umoja wa watu wake ambao hawabaguani kwa misingi ya ukabila, dini, rangi, jinsi, ulemavu au ubaguzi wa aina nyingine yoyote. MUNGU IBARIKI TANZANIA

Hata wewe umekaririshwa tu kama mleta mada mtangulizi! sioni input yako binafsi isipokuwa kunukuu yale uliyokaririshwa! Archaic metality; na bado umegusia baadhi tu ya niliyoyasema; mbona huzungumzii kufungwa kwa tovuti ya tume?! kwa nini huzungumzii katiba kuukana utanganyika wetu?!

Ukweli unaojinasibu nao is a relative term kutegemea maono yako; maslahi is a relative term kutegemea unataka kutetea nini!
Bro read between the lines; think out of the box, usisome katiba au sheria kama unapiga picha.
kumbuka

Una macho lakini huoni! una masikio lakini husikii! una akili! unazibaniabania; hutaki kuziacha zivinjari! hilo swala la katiba pendekezwa ya "nyoka wa makengeza na Six" mpaka limefikia mahali linatolewa matamko makali makali na viongozi wa kiroho na makundi mbali mbali katika jamii; nchi imegawanyika nusura Amani ivunjike kisa hiyo katiba; Rais anatoa msimamo wake kuhusu katiba bado maaskofu wanamjia juu na kusisitizia tamko lao bado wewe unaimba prose; Ngonjera eti wewe ni mkweli mkweli! mkweli kuliko nani na kuhusu nini?! wacha wewe! usijipigie tarumbeta kaka waache watu wakusifie; Do not blow your own trumpet; let others sing praises for you!
Nchi iko njia panda kutokana na katiba hii; juzi serikali imeuweka mswada wa mahakama ya kadhi kwapani; bado tu wewe hjuoni kama kuna tatizo! unachekesha kweli!

KATIBA YA NYOKA WA MAKENGEZA NA SIX kura ni HAPAAAANA; and believe you me; we are a big movement; (VUGUVUGU LA NGUVU) na tuko kazini kuipata kura ya HAPANA. Anza kujiandaa kisaikolojia tafadhali!
 
Hata wewe umekaririshwa tu kama mleta mada mtangulizi! sioni input yako binafsi isipokuwa kunukuu yale uliyokaririshwa! Archaic metality; na bado umegusia baadhi tu ya niliyoyasema; mbona huzungumzii kufungwa kwa tovuti ya tume?! kwa nini huzungumzii katiba kuukana utanganyika wetu?!

Ukweli unaojinasibu nao is a relative term kutegemea maono yako; maslahi is a relative term kutegemea unataka kutetea nini!
Bro read between the lines; think out of the box, usisome katiba au sheria kama unapiga picha.
kumbuka

Una macho lakini huoni! una masikio lakini husikii! una akili! unazibaniabania; hutaki kuziacha zivinjari! hilo swala la katiba pendekezwa ya "nyoka wa makengeza na Six" mpaka limefikia mahali linatolewa matamko makali makali na viongozi wa kiroho na makundi mbali mbali katika jamii; nchi imegawanyika nusura Amani ivunjike kisa hiyo katiba; Rais anatoa msimamo wake kuhusu katiba bado maaskofu wanamjia juu na kusisitizia tamko lao bado wewe unaimba prose; Ngonjera eti wewe ni mkweli mkweli! mkweli kuliko nani na kuhusu nini?! wacha wewe! usijipigie tarumbeta kaka waache watu wakusifie; Do not blow your own trumpet; let others sing praises for you!
Nchi iko njia panda kutokana na katiba hii; juzi serikali imeuweka mswada wa mahakama ya kadhi kwapani; bado tu wewe hjuoni kama kuna tatizo! unachekesha kweli!

KATIBA YA NYOKA WA MAKENGEZA NA SIX kura ni HAPAAAANA; and believe you me; we are a big movement; (VUGUVUGU LA NGUVU) na tuko kazini kuipata kura ya HAPANA. Anza kujiandaa kisaikolojia tafadhali!
Unajua maana ya MTK? Au wewe unaraha tu kujiita hivyo, kumbe akili huna, sasa maana ya MTK ni Matako sasa badili hiyo Id au tumia zile zako za Tyta au Tetty. Acha porojo humu ndani.
 
Unajua maana ya MTK? Au wewe unaraha tu kujiita hivyo, kumbe akili huna, sasa maana ya MTK ni Matako sasa badili hiyo Id au tumia zile zako za Tyta au Tetty. Acha porojo humu ndani.

Tii kiu yako; tukana mpaka uchoke kama inakuongezea tija au heshima kwa Utu wako!! niite jina lolote huku Duniani na hata ukiweza kutoka akhera! kwani jina ni kitu gani bwana; waingereza husema ; After all what is in a name?! sitapungukiwa na chochote! faraja yangu kubwa ni kwamba nimekubwaga kwa hoja sasa unatamani nitishike ninyamaze au labda ungeweza uniue ili ushinde hoja; basi kwa kuwa hilo haliwezekani pia basi kubali umekosa bara na Pwani; Bila, brush! ha hah ha ha !!

Pole kwani ID yako inatanabaisha Hulka na haiba yako bila kuacha chembe ya mashaka; SIKULAUMU!

Matendo na kauli za mtu ni kielelezo kikubwa sana kufahamu kama mtu husika ana akili zinamtosha au la hasha!! Sitakuhukumu bali tafakari mwnyewe uchukue hatua stahiki.

Itoshe mie kukamilisha malumbano yetu single sided kwa kusema: KATIBA YA NYOKA WA MAKENGEZA NA SIX kura ni HAPAAAANA; and believe you me; we are a big movement; (VUGUVUGU LA NGUVU) na tuko kazini kuipata kura ya HAPANA kwa kishindo. Anza kujiandaa kisaikolojia tafadhali!

 
Watanzani baadhi wamekuwa wavivu wa kusoma na hili ni janga ktk taifa letu, maaana kusoma hawataki lkn wanaamini tu kwa yale wanayoambiwa na watu wa pembeni jambo ambalo si zuri hususani katka suala hili muhimu la katiba, mtu kama hukuisoma vema katiba hii basi isiwe kero humu kukaidi na kujigamba kuwa wewe utapiga hapana, kuwa na busara tafuta muda isome vema na utagundua kuwa asilimia ya watu wengi wanaoipinga na kuikejeli hawajaisoma na ndo walioko mstari wa mbele ktika kuipinga, je watu hawa tuwaite Wazalendo au Wasaliti?

Tukumbuke ya kuwa Katiba Inayopendekezwa imewajali watu wote pasipo upendeleo wowote na hilo halina ubishi, hata wewe unayekaidi na kuipinga jua ya kwamba imekujali uwe mtoto, kijana, mzee n.k ujue kuwa haki zako zimo mule ndani, sasa kama kila kilichokizuri kimo iweje sasa uipinge tena kwa kusikiliza maneno ya watu? Huko ni kukosa uzalendo kwa nchi yako ukiwa kama Mtanzania.


Wito wangu kwako ewe mtanzania ni kwamba tuweni wazalendo, tuijenge nchi yetu kwa kuhakikisha kuwa katiba hii inapita kwa kura nyingi za Ndiyo hapo muda utakapowadia, maendeleo ya nchi hii huletwa na mimi pamoja na wewe na sio kwa kubisha bisha na kupotosha wengine kuichukia hii katiba, haitakuwa na maana kuendelea kuitumia hii ya 1977 kwani tumeshaona kuwa ina mapungufu kibao.


Kwa mfano mzuri, Katiba Inayopendekezwa imewajali Wasanii kwa mara ya kwanza katika ibara ile ya 59, pia tumeona kuwa PCCB kwa mara ya kwanza imewekwa katika ibara ya 249 pamoja na mambo mengine mengi ambayo kwenye hii ya 1977 hayakuwepo.


Nahitimisha kwa kusisitiza watanzania wote kuisoma katiba hii kwa makini na mwisho wa siku tuipigie kura nyingi za NDIYOOOOOO!


MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA, Long live KATIBA INAYOPENDEKEZWA.
View attachment 241719View attachment 241720
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Tii kiu yako; tukana mpaka uchoke kama inakuongezea tija au heshima kwa Utu wako!! niite jina lolote huku Duniani na hata ukiweza kutoka akhera! kwani jina ni kitu gani bwana; waingereza husema ; After all what is in a name?! sitapungukiwa na chochote! faraja yangu kubwa ni kwamba nimekubwaga kwa hoja sasa unatamani nitishike ninyamaze au labda ungeweza uniue ili ushinde hoja; basi kwa kuwa hilo haliwezekani pia basi kubali umekosa bara na Pwani; Bila, brush! ha hah ha ha !!

Pole kwani ID yako inatanabaisha Hulka na haiba yako bila kuacha chembe ya mashaka; SIKULAUMU!

Matendo na kauli za mtu ni kielelezo kikubwa sana kufahamu kama mtu husika ana akili zinamtosha au la hasha!! Sitakuhukumu bali tafakari mwnyewe uchukue hatua stahiki.

Itoshe mie kukamilisha malumbano yetu single sided kwa kusema: KATIBA YA NYOKA WA MAKENGEZA NA SIX kura ni HAPAAAANA; and believe you me; we are a big movement; (VUGUVUGU LA NGUVU) na tuko kazini kuipata kura ya HAPANA kwa kishindo. Anza kujiandaa kisaikolojia tafadhali!

View attachment 241721
 
  • Thanks
Reactions: MTK
hatuwezi kuchaguliwa kutengenezewa katiba na FISADI MAKENGEZA CHENGE
 
Wwe fara kama mafara wenzio tu labda imekujari wwe na familia yko mambo mhimu ya kuwabana wameyatoa wameweka ya kuwalinda unaongopa eti imekujali labda huko kwenu ndiyo imewajali.
 
hatuwezi kuchaguliwa kutengenezewa katiba na FISADI MAKENGEZA CHENGE


Hee na wewe kumbe umo umeongeza idadi ya watu waliopewa limbwata na Chenge, bila kumtaja huoni raha jiangalie wewe Chenge hana Katiba usilete dharau kwa watanzania.
 
Wwe fara kama mafara wenzio tu labda imekujari wwe na familia yko mambo mhimu ya kuwabana wameyatoa wameweka ya kuwalinda unaongopa eti imekujali labda huko kwenu ndiyo imewajali.

Mzee wa Ukweli unakura bange wewe sio bure kama huelewi huelewi tu, mtu akisema katiba imemjali si poa tu, mi mwenyewe naiona iko poa tu sasa wewe unajifanya unajua mitusi endelea kufunguka tu afu utaona!
 
Tii kiu yako; tukana mpaka uchoke kama inakuongezea tija au heshima kwa Utu wako!! niite jina lolote huku Duniani na hata ukiweza kutoka akhera! kwani jina ni kitu gani bwana; waingereza husema ; After all what is in a name?! sitapungukiwa na chochote! faraja yangu kubwa ni kwamba nimekubwaga kwa hoja sasa unatamani nitishike ninyamaze au labda ungeweza uniue ili ushinde hoja; basi kwa kuwa hilo haliwezekani pia basi kubali umekosa bara na Pwani; Bila, brush! ha hah ha ha !!

Pole kwani ID yako inatanabaisha Hulka na haiba yako bila kuacha chembe ya mashaka; SIKULAUMU!

Matendo na kauli za mtu ni kielelezo kikubwa sana kufahamu kama mtu husika ana akili zinamtosha au la hasha!! Sitakuhukumu bali tafakari mwnyewe uchukue hatua stahiki.

Itoshe mie kukamilisha malumbano yetu single sided kwa kusema: KATIBA YA NYOKA WA MAKENGEZA NA SIX kura ni HAPAAAANA; and believe you me; we are a big movement; (VUGUVUGU LA NGUVU) na tuko kazini kuipata kura ya HAPANA kwa kishindo. Anza kujiandaa kisaikolojia tafadhali!





Limbwata la Chenge mwaka huu litawaua ni noma naona idadi inaongezeka na wewe umejiingiza humo bila kumtaja hamuoni raha nyie sijui kawaroga huyu mtajiju!!! Kura ya Ndiyo haina mpinzani wewe jiandae kisaikolojia kulia mpaka upasuke na usipopokua makini utahama nchi ----- wewe!
 
We bro,unajua hizo fani za watu mambo ya kifungu cha 5 ibara 6(a) na marekebisho yake kutoka mstari 3(d)hadi mstari 6(g). kwangu mimi mtu wa vitu vya umeme wapi na wapi
 


Limbwata la Chenge mwaka huu litawaua ni noma naona idadi inaongezeka na wewe umejiingiza humo bila kumtaja hamuoni raha nyie sijui kawaroga huyu mtajiju!!! Kura ya Ndiyo haina mpinzani wewe jiandae kisaikolojia kulia mpaka upasuke na usipopokua makini utahama nchi ----- wewe!

yaani nyie mafisadi mnaotetea ujinga wenu mnaofanya! katiba ,uwizi , mnawaona wa tz wajinga kabisa, amini nawaambia huku kitaa wananchi wanawa mind , wanawajua mafisadi wote kwa sura na majina, wanawalia timing nyie wajinga na wanajua mtateleza tu amini nawaambia siku hiyo hamta amini, kama kweli hawa ni wa tz its about time,na ni nyie ndio mtahama nchi
 
Hata wewe umekaririshwa tu kama mleta mada mtangulizi! sioni input yako binafsi isipokuwa kunukuu yale uliyokaririshwa! Archaic metality; na bado umegusia baadhi tu ya niliyoyasema; mbona huzungumzii kufungwa kwa tovuti ya tume?! kwa nini huzungumzii katiba kuukana utanganyika wetu?!

Ukweli unaojinasibu nao is a relative term kutegemea maono yako; maslahi is a relative term kutegemea unataka kutetea nini!
Bro read between the lines; think out of the box, usisome katiba au sheria kama unapiga picha.
kumbuka

Una macho lakini huoni! una masikio lakini husikii! una akili! unazibaniabania; hutaki kuziacha zivinjari! hilo swala la katiba pendekezwa ya "nyoka wa makengeza na Six" mpaka limefikia mahali linatolewa matamko makali makali na viongozi wa kiroho na makundi mbali mbali katika jamii; nchi imegawanyika nusura Amani ivunjike kisa hiyo katiba; Rais anatoa msimamo wake kuhusu katiba bado maaskofu wanamjia juu na kusisitizia tamko lao bado wewe unaimba prose; Ngonjera eti wewe ni mkweli mkweli! mkweli kuliko nani na kuhusu nini?! wacha wewe! usijipigie tarumbeta kaka waache watu wakusifie; Do not blow your own trumpet; let others sing praises for you!
Nchi iko njia panda kutokana na katiba hii; juzi serikali imeuweka mswada wa mahakama ya kadhi kwapani; bado tu wewe hjuoni kama kuna tatizo! unachekesha kweli!

KATIBA YA NYOKA WA MAKENGEZA NA SIX kura ni HAPAAAANA; and believe you me; we are a big movement; (VUGUVUGU LA NGUVU) na tuko kazini kuipata kura ya HAPANA. Anza kujiandaa kisaikolojia tafadhali!


MTK hapa umefanya analysis isiyoeleweka huna jjipya eti unadai Tanganyika yako?by the way wewe ni nani, Tanganyika unayoidai unajua ilikotoka, do you really know the origin of Tanganyika?wewe ndio u- think out of the box kulazimisha mambo usiyokuwa na uwezo nayo!!! unapiga kelele nchi iko njia panda tuambie njia panda ya wapi? meningless words, tuliza akili utaeleweka sio unapinga kila kitu unarukia mada usiyokuwa na uwezo nayo!!

Unaleta hoja ya kufungwa kwa tovuti ya Tume, minor issue, ulitaka nini kwenye tovuti hiyo? ulitaka reference gani so more, information unazochangia humu sasa hivi unazipata kwenye tovuti hiyo? usiwe vuvuzela kwa kujifanya unajua sana fungua yako basi uifinance mwenyewe maana hiyo unayosema iko out of date!! kwa heri.
 
tii kiu yako; tukana mpaka uchoke kama inakuongezea tija au heshima kwa utu wako!! Niite jina lolote huku duniani na hata ukiweza kutoka akhera! Kwani jina ni kitu gani bwana; waingereza husema ; after all what is in a name?! sitapungukiwa na chochote! Faraja yangu kubwa ni kwamba nimekubwaga kwa hoja sasa unatamani nitishike ninyamaze au labda ungeweza uniue ili ushinde hoja; basi kwa kuwa hilo haliwezekani pia basi kubali umekosa bara na pwani; bila, brush! Ha hah ha ha !!

pole kwani id yako inatanabaisha hulka na haiba yako bila kuacha chembe ya mashaka; sikulaumu!

matendo na kauli za mtu ni kielelezo kikubwa sana kufahamu kama mtu husika ana akili zinamtosha au la hasha!! Sitakuhukumu bali tafakari mwnyewe uchukue hatua stahiki.

Itoshe mie kukamilisha malumbano yetu single sided kwa kusema: katiba ya nyoka wa makengeza na six kura ni hapaaaana; and believe you me; we are a big movement; (vuguvugu la nguvu) na tuko kazini kuipata kura ya hapana kwa kishindo. Anza kujiandaa kisaikolojia tafadhali!


hivi vitoto vimedumbukizwa humu juzi tu afu vinajifanya vinajua mafisadi kumbe mburula tupu
 
  • Thanks
Reactions: MTK
MTK hapa umefanya analysis isiyoeleweka huna jjipya eti unadai Tanganyika yako?by the way wewe ni nani, Tanganyika unayoidai unajua ilikotoka, do you really know the origin of Tanganyika?wewe ndio u- think out of the box kulazimisha mambo usiyokuwa na uwezo nayo!!! unapiga kelele nchi iko njia panda tuambie njia panda ya wapi? meningless words, tuliza akili utaeleweka sio unapinga kila kitu unarukia mada usiyokuwa na uwezo nayo!!

Unaleta hoja ya kufungwa kwa tovuti ya Tume, minor issue, ulitaka nini kwenye tovuti hiyo? ulitaka reference gani so more, information unazochangia humu sasa hivi unazipata kwenye tovuti hiyo? usiwe vuvuzela kwa kujifanya unajua sana fungua yako basi uifinance mwenyewe maana hiyo unayosema iko out of date!! kwa heri.

Jazba tupu; hii ligi kubwa bro; Chandimu utabugi hapa; huwezi kitu.
 
Jazba tupu; hii ligi kubwa bro; Chandimu utabugi hapa; huwezi kitu.
Unajua maana ya MTK? kirefu chake ni M=MA, T=TA, K=KO hahahahw inamana wewe umeamua kujipa jina hilo chafu kijana, lkn ckushangai ndo maana akili zako zimekaa kimatakomatako.
 
Back
Top Bottom